Huduma ya RITA inatia mashaka, nawashauri wajitathimini

Huduma ya RITA inatia mashaka, nawashauri wajitathimini

Wamekosea hadi cheti cha mtoto msemaji mkuu wa serikali, yaani ikitokea kiongozi akaita watu wenye malalamiko juu ya hawa viumbe embu awatembelee pale RITA ni hovyo hovyo tu
pafumuliwe pale waletwe watu wapya, waliopo wanafanya kwa mazoea
 
Nina mashaka makubwa sana na uwezo wa watendaji RITA hususani kitengo cha usajili wa vizazi na vifo!

Ukichunguza kwa makini vyeti 8 kati ya 10 vilivyotolewa na RITA lazima utakuta dosari au changamoto!

Miongoni mwa dosari hizo ni kama zifuatazo!
1. Mteja anaweza kuwa anaitwa ABDALLA lakini cheti usishangae wakakitoa kikisomeka ABDULLA
2. Mteja anaweza kuwa amezaliwa 1969 lakini usishangae cheti wakakitoa kinasomeka 1996
3. Mteja anaweza kuwa anaitwa KHANIFA lakini usishangae kabisa kukuta wametoa cheti kinachosomeka HANIFA
4. Vyeti vingi wasipokosea jina la mtoto basi watakosea jina la wazazi iwe either baba au mama kisarufi, kiufupi ukichukua cheti RITA ukakiangalia kwa makini hukosi kasoro!

Ukiwauliza kwanini mnakosea watakujibu wao wanazingatia viambatanisho! Lakini hata pale mteja atathibitisha viambatanisho kuwa sahihi lakini bado hukosea vilevile

Hiii inatia sana mashaka uwezo wa watoa huduma hao huenda utaratibu wao wa ajira Rita hauna viwango stahiki!

Taasisi nyeti kama RITA Haikupaswa kabisa kuwa hivi karne 21

Kwa makosa wanayoyafanya kwenye Vyeti ingekuwa oparesheni ya afya ya mwili basi 80% ya wateja wao wangekuwa na vilema kwa makosa wanayoyafanya RITA.

Nashindwa kuelewa kwanini wameshindwa hata kuweka CUSTOMER PREVIEW ili mteja athibitishe taarifa kabla hawaja PRINT CHETI.

Mbali na cheti,
kwanza ukitaka kujua huduma ni mbovu hata ukifika ofisi zao pale jengo la RITA TOWER DSM utaona walivyo too disorganized (very local)

Mtakumbuka Kwa wale mliofika kwenye maonesho pale sabasaba mtakubaliana na Mimi kuwa wale wahudumu pale walionyesha kuwa na uelewa mdogo sana kichwani (dizaini kama RITA wanaajili vishoia kwenye idara kwenye baadhi ya idara)

Hata banda lao kwenye maonesho ya sabasaba lilitoa ujumbe wa huduma mbovu, "Lilikuwa banda bovu kuliko mabanda yote pale sabasaba!

Siamini hata kama RITA Wana mkurugenzi maana mambo yao yapo vululuvululu tu bora liende!

Inje ya huduma Jengo la RITA TOWER ni zuri sana na refu lakini pia inashangaza sana katika LIFT 4 zilizopo lakini inashangaza zinazofanya kazi pale ni mbili tu!

Hivyo siyo ajabu kabisa kwenye jengo la RITA mteja akasubiri LIFT kwa nusu saa!

Kiufupi huduma iliyopo sasa ukitaka kwenda RITA AGANA NA NYONGA! ile panda shuka ya ngazi kwa miguu.
Nina mashaka makubwa sana na uwezo wa watendaji RITA hususani kitengo cha usajili wa vizazi na vifo!

Ukichunguza kwa makini vyeti 8 kati ya 10 vilivyotolewa na RITA lazima utakuta dosari au changamoto!

Miongoni mwa dosari hizo ni kama zifuatazo!
1. Mteja anaweza kuwa anaitwa ABDALLA lakini cheti usishangae wakakitoa kikisomeka ABDULLA
2. Mteja anaweza kuwa amezaliwa 1969 lakini usishangae cheti wakakitoa kinasomeka 1996
3. Mteja anaweza kuwa anaitwa KHANIFA lakini usishangae kabisa kukuta wametoa cheti kinachosomeka HANIFA
4. Vyeti vingi wasipokosea jina la mtoto basi watakosea jina la wazazi iwe either baba au mama kisarufi, kiufupi ukichukua cheti RITA ukakiangalia kwa makini hukosi kasoro!

Ukiwauliza kwanini mnakosea watakujibu wao wanazingatia viambatanisho! Lakini hata pale mteja atathibitisha viambatanisho kuwa sahihi lakini bado hukosea vilevile

Hiii inatia sana mashaka uwezo wa watoa huduma hao huenda utaratibu wao wa ajira Rita hauna viwango stahiki!

Taasisi nyeti kama RITA Haikupaswa kabisa kuwa hivi karne 21

Kwa makosa wanayoyafanya kwenye Vyeti ingekuwa oparesheni ya afya ya mwili basi 80% ya wateja wao wangekuwa na vilema kwa makosa wanayoyafanya RITA.

Nashindwa kuelewa kwanini wameshindwa hata kuweka CUSTOMER PREVIEW ili mteja athibitishe taarifa kabla hawaja PRINT CHETI.

Mbali na cheti,
kwanza ukitaka kujua huduma ni mbovu hata ukifika ofisi zao pale jengo la RITA TOWER DSM utaona walivyo too disorganized (very local)

Mtakumbuka Kwa wale mliofika kwenye maonesho pale sabasaba mtakubaliana na Mimi kuwa wale wahudumu pale walionyesha kuwa na uelewa mdogo sana kichwani (dizaini kama RITA wanaajili vishoia kwenye idara kwenye baadhi ya idara)

Hata banda lao kwenye maonesho ya sabasaba lilitoa ujumbe wa huduma mbovu, "Lilikuwa banda bovu kuliko mabanda yote pale sabasaba!

Siamini hata kama RITA Wana mkurugenzi maana mambo yao yapo vululuvululu tu bora liende!

Inje ya huduma Jengo la RITA TOWER ni zuri sana na refu lakini pia inashangaza sana katika LIFT 4 zilizopo lakini inashangaza zinazofanya kazi pale ni mbili tu!

Hivyo siyo ajabu kabisa kwenye jengo la RITA mteja akasubiri LIFT kwa nusu saa!

Kiufupi huduma iliyopo sasa ukitaka kwenda RITA AGANA NA NYONGA! ile panda shuka ya ngazi kwa miguu.
kuna haja kubwa ya serikali kupitia tena taasisi hii,wananchi wanateseka sana.
 
Nina mashaka makubwa sana na uwezo wa watendaji RITA hususani kitengo cha usajili wa vizazi na vifo!

Ukichunguza kwa makini vyeti 8 kati ya 10 vilivyotolewa na RITA lazima utakuta dosari au changamoto!

Miongoni mwa dosari hizo ni kama zifuatazo!
1. Mteja anaweza kuwa anaitwa ABDALLA lakini cheti usishangae wakakitoa kikisomeka ABDULLA
2. Mteja anaweza kuwa amezaliwa 1969 lakini usishangae cheti wakakitoa kinasomeka 1996
3. Mteja anaweza kuwa anaitwa KHANIFA lakini usishangae kabisa kukuta wametoa cheti kinachosomeka HANIFA
4. Vyeti vingi wasipokosea jina la mtoto basi watakosea jina la wazazi iwe either baba au mama kisarufi, kiufupi ukichukua cheti RITA ukakiangalia kwa makini hukosi kasoro!

Ukiwauliza kwanini mnakosea watakujibu wao wanazingatia viambatanisho! Lakini hata pale mteja atathibitisha viambatanisho kuwa sahihi lakini bado hukosea vilevile

Hiii inatia sana mashaka uwezo wa watoa huduma hao huenda utaratibu wao wa ajira Rita hauna viwango stahiki!

Taasisi nyeti kama RITA Haikupaswa kabisa kuwa hivi karne 21

Kwa makosa wanayoyafanya kwenye Vyeti ingekuwa oparesheni ya afya ya mwili basi 80% ya wateja wao wangekuwa na vilema kwa makosa wanayoyafanya RITA.

Nashindwa kuelewa kwanini wameshindwa hata kuweka CUSTOMER PREVIEW ili mteja athibitishe taarifa kabla hawaja PRINT CHETI.

Mbali na cheti,
kwanza ukitaka kujua huduma ni mbovu hata ukifika ofisi zao pale jengo la RITA TOWER DSM utaona walivyo too disorganized (very local)

Mtakumbuka Kwa wale mliofika kwenye maonesho pale sabasaba mtakubaliana na Mimi kuwa wale wahudumu pale walionyesha kuwa na uelewa mdogo sana kichwani (dizaini kama RITA wanaajili vishoia kwenye idara kwenye baadhi ya idara)

Hata banda lao kwenye maonesho ya sabasaba lilitoa ujumbe wa huduma mbovu, "Lilikuwa banda bovu kuliko mabanda yote pale sabasaba!

Siamini hata kama RITA Wana mkurugenzi maana mambo yao yapo vululuvululu tu bora liende!

Inje ya huduma Jengo la RITA TOWER ni zuri sana na refu lakini pia inashangaza sana katika LIFT 4 zilizopo lakini inashangaza zinazofanya kazi pale ni mbili tu!

Hivyo siyo ajabu kabisa kwenye jengo la RITA mteja akasubiri LIFT kwa nusu saa!

Kiufupi huduma iliyopo sasa ukitaka kwenda RITA AGANA NA NYONGA! ile panda shuka ya ngazi kwa miguu.
Uko sahihi kabisa,

Mimi mwanangu ana vyeti vitano, yaani toka alivoomba mara ya kwanza wakakosea mara 4 ndo ya tano kikaja kiko correct.
 
Uko sahihi kabisa,

Mimi mwanangu ana vyeti vitano, yaani toka alivoomba mara ya kwanza wakakosea mara 4 ndo ya tano kikaja kiko correct.
Hatari tupu
 
Na sana sana ni wadada ndio wenye changamoto kubwa ukimkuta asubuhi ofisini kachoka hata kabla ya kuanza kazi mara kuchat mara kubinua midomo yani tabu tupu na anajua Huna cha kumfanya kama ajila keshapata tena Serikalini
Sijabahatikaga kuwakuta wa namna hiyo mbona ntamtemea mate mie
 
Taasisi nyingi za kiserikali zinafanya kazi kwa mazoea na kivivu sana. Huduma zinazotoka ni bora liende.

Niliwai enda taasisi fulani kufata fomu fulani unaambia fomu huwa inatolewa mwisho saa 4. Utasema baada ya saa 4 iyo fomu inakua sio part ya ofisi
RITA imezidi sana, labda ni kwa sababu hamna damu changa kule.
 
Huu uzi ulihitajika. Hawa RITA wanazingua mengi sana
 
Back
Top Bottom