Mm nataka moja y lita tano y elfu 25. Tunafanyaje kuhusu malipo.Niko DarHii Juicy mzuri sana tamu ya Sweet Rose inatengezwa SouthAfrica,ujazo ni lita tano, utaipata kati ya elfu 25 hadi 30 itategemea na ujubwa wa oder yako,leta order yako nikupakilie mzigo.
View attachment 2769186
Lipa 30 mkuu.Mm nataka moja y lita tano y elfu 25. Tunafanyaje kuhusu malipo.Niko Dar
Baada y kulipia mzigo naupata baada y cku ngapi?Lipa 30 mkuu.
View attachment 2769298
Ndani ya week mbili.Baada y kulipia mzigo naupata baada y cku ngapi?
SouthAfrica kuna wizi wa magari lakini sio kila Gari likitoka SouthAfrica la wizi, ukiangalia hapo juu kwenye list ya Ducoments ni pamoja na police clearance,uwezi kujua kama Gali la wizi au la bila kukaguliwa na police,kabla ya kununua Gari lazima likaguliwe na Police lasivyo utalia.hii kitu ni nzuri sana, though huwa siamini sana magari yanayotoka south kama sio ya wizi au kama ni bora. sikatishi tamaa, wahusina mtueleweshe tu tuwe na imani katika hilo.
shukran kwa ufafanuzi. kama kuna police clearance basi interpol hawatakusumbua ukiwa bongo. thanks.SouthAfrica kuna wizi wa magari lakini sio kila Gari likitoka SouthAfrica la wizi, ukiangalia hapo juu kwenye list ya Ducoments ni pamoja na police clearance,uwezi kujua kama Gali la wizi au la bila kukaguliwa na police,kabla ya kununua Gari lazima likaguliwe na Police lasivyo utalia.
Kuhusu swala la ubora SouthAfrica kuna viwanda vya makampuni yale yale yanayouza Magari bongo nfano Toyota,Benz,Scania,Mitsubishi sioni kampuni mpya sijui hofu yako ya ubora inatokea wapi?
Pomaja na police clearance boda ya SouthAfrica Police wana access ya kuangalia kama Gari lina issues au la wakati wa ku exit pia kila boda kuna police wana access ya kuangalia kama gari limeripotiwa kuibiwa au linatafutwa,nadhani wezi wa magari watakuwa nakazi kubwa sana kama wapo.shukran kwa ufafanuzi. kama kuna police clearance basi interpol hawatakusumbua ukiwa bongo. thanks.
kama ni hivyo, basi kuna uwezekano ukasafirisha gari toka south kwa bei ndogo kuliko hizo tunaagiza japan na uingereza.Pomaja na police clearance boda ya SouthAfrica Police wana access ya kuangalia kama Gari lina issues au la wakati wa ku exit pia kila boda kuna police wana access ya kuangalia kama gari limeripotiwa kuibiwa au linatafutwa,nadhani wezi wa magari watakuwa nakazi kubwa sana kama wapo.
Iko hivyo kunatofauti kubwa ya bei kwasabukama ni hivyo, basi kuna uwezekano ukasafirisha gari toka south kwa bei ndogo kuliko hizo tunaagiza japan na uingereza.
wengi wanasema gari ya kijapani ni nzuri kuliko ya kisouth mkuu... sina utaalam na magari hivyo mimi msikilizaji tuuuKwa uzoefu wangu,Magari ya Kisouth Africa sio rafiki kwa mtu anayenza maisha.
Nfano unaweza kununua Lend Rover Discovery 3 kwa bei ya 15ml pamoja na usafiri,ukalipia ushuru 17ml jumla 35ml,likizingua buster zake linagoma kunyanyuka juu likishuka chini linataga mazima uwezi kulitoa ,bei ya buster 4 hapo dar nikati ya 4ml lakini ukifunga mkataba unaweza tumia zaidi ya miaka minne.
Kama unaanza maisha bora ukaangalia Japan spare zake zipo nyingi used pale ilala na mikoani, bei zake ni ndogo ukilinganisha na spare za Land Rover,Ford au 4Turner na Hilux . Pia Spare za Toyota za kisouth zinagoma kuingilina na Toyota ya Japan.
Magari ya kisouth spare zake hapo dar zipo nyingi pia, lakini sio bei rafiki kwa watu wenye kipato kidogo.
Kwenye ubora,ugumu, confability magari ya kisouth ni magumu sana mazuri,yametengezwa kulingana na mazingira ya barabara zetu za kiafrica ukilinganisha na magari ya Kijapan.
Kwanza hakuna Gari za SouthAfrica na Kijapan bali ni kampuni moja tu,nfano Toyota ni kampuny ya Kijapani yenye branch Duniani kote pamoja na SouthAfrica,pili kampuni utengeneza magari kulingana na mazingira ya sehemu magari yataenda kutumika.wengi wanasema gari ya kijapani ni nzuri kuliko ya kisouth mkuu... sina utaalam na magari hivyo mimi msikilizaji tuuu
Office dar ipo mkuu,jirani na kigogo Polisi Post njia ya kwenda Matumbi,kuhudu instagram sina account ila na plan kufungu website yangu kwajili ya kuweka bei za gharama za usafirishaji wa Magari kutoka SouthAfrica kwenda nchi mbalimbali.Vipi mku inayo ofisi kwa Dar es Salaam? Na vipi unatumia Instagram? Page yako ni ipi?.
Kama unatumia Instagram ni vema ikawa unaweka picha na details za Magari ili iwe rahisi kwetu kupata taarifa. Kuna namna mtu anaweza kudharau pesa yake kumbe ingetosha kuagiza gari
Pia unaweka makadirio ya gharama mpaka kufika Bongo
Kuna wakati nilikuwa napeleka gari za IT congo kupitia rwanda. Kabla ya kutoka hapa dar kuanzia safari kuelekea congo lazima ikatwe insurance ya mda mfupi ukiwa ndani ya tz. Tukiwa boda ya RUSUMO upande wa tz, kuelekea rwanda tunakata tena ya muda mfupi. Tukiwa boda bukavu upande wa rwanda/goma upande wa congo tunakata tena insurance kuelekea congo.. Kwa ufupi utaratibu ndio huo.Sidhani kama Bima wanaweza kukulipa,na kama wanaweza kulipa ni Bima ya wapi?Wakati kote huko utapita kama transit.
Fanya mambo kuongeza kuaminika kwa wateja.Office dar ipo mkuu,jirani na kigogo Polisi Post njia ya kwenda Matumbi,kuhudu instagram sina account ila na plan kufungu website yangu kwajili ya kuweka bei za gharama za usafirishaji wa Magari kutoka SouthAfrica kwenda nchi mbalimbali.
Poa.Fanya mambo kuongeza kuaminika kwa wateja.