Huduma ya usafirishaji wa magari kutoka Afrika Kusini - Tanzania

Huduma ya usafirishaji wa magari kutoka Afrika Kusini - Tanzania

Screenshot_20231026_104854_Chrome.jpg
 
mm issue yangu ...Mano nataka discovery 4 to seme ni rand 300,000 utaraibu wa malipo unakuaje?

Mbili gari unanitafutia au natafuta mwenyewe then ww kazi yako nikunisafirishia tu/

Tatu ,nitakuami vipi mfano nimesha kurushia hela yangu?

Mfano nataka AC Commpressor ya ford ranger najua huko ni cheap. utaratibu wa malipo unakuaje?
 
Kama umenunua Gari lako South Africa, unatafuta Dereva mzoefu wakulileta popote ulipo kwanjia ya barabara niko hapo.

Nchi tunazosafurisha Magari.

1. Kenya
2. Uganda
3. Rwanda
4. Burundi
5. Zambia
6. Malawi
7. Congo DRC
8. Tanzania


Ducoments muhumu:

1. Interpol,
2. SADC
3. Police clearance
4. Export permit

Kujua gharama za mafuta kutoka SA na gharama nyingine za njiani nitajie aina ya Gari.

Njia nazopita

1. Botswana
2. Zambia

Boda
1. Koffonten South Africa West
2. Kazungula Zambia
3. Tunduma Tanzania
4. Kasumbalesa
5. Kobero

Pia kama unataka kitu chochote vitu vidogovido dhami isizidi 500k kutoka SouthAfrica niambie nakununulia na kusafirisha pia.

Kama unataka Gari utalipia Rand 1,000 gharama za kutafuta Gari au mashine.

Kwamaelezo zaidi nicheki whatspp +27 71 821 9244

View attachment 2755903
Habari mkuu,

Pole na majukumu ya kazi mkuu,hivi kusafirisha Magari kutoka Durbun kwenda DRC kube kwenye car caring Gari moja bei gani?
 
Ahsante kwa taarifa...

Habari mkuu,

Pole na majukumu ya kazi mkuu,hivi kusafirisha Magari kutoka Durbun kwenda DRC kube kwenye car caring Gari moja bei gani?
Salama mkuu,
1. Unataka bei ya kusafirisha Magari kwenda DRC upande upi?
2.Magari ni mapya au used?
3.Yanatokea SouthAfrica au Ulaya au Japan.
4.Wingi kiasigani?
 
mm issue yangu ...Mano nataka discovery 4 to seme ni rand 300,000 utaraibu wa malipo unakuaje?

Mbili gari unanitafutia au natafuta mwenyewe then ww kazi yako nikunisafirishia tu/

Tatu ,nitakuami vipi mfano nimesha kurushia hela yangu?

Mfano nataka AC Commpressor ya ford ranger najua huko ni cheap. utaratibu wa malipo unakuaje?
Kuhudu malipo unaweza kunilipa mimi au ikalipa moja kwamoja kwenye showroom zinazouza Magari.

Gari uwezi kutaffutaje wewe ukiwa Tanzania?unaweza kunipa pesa nikununulie usipoamini unaweza Kuja mwenye pia inawezeka.

Siwezi kupokea Gari kwanjia ya simu nfano nipigiwe simu na mtu anielekeze kwenda sehemu kuchukua Gari siwezi kwenda labda kama umenunua Gari kwenye kampuny kubwa kama Toyota.

Compressor siwezi kujua bei zake hadi kutafuta,lakini Ford Ranger ziko aina nyingi lazima utoe details zakutosha.
 
Kwa bajeti ya 10m or below naweza kupata gari gani kutoka SA? Lengo langu nataka kujua kama naweza kusave pesa badala ya kuagiza gari ndogo used kutoka Japan!

Sent from my Infinix X6716B using JamiiForums mobile app
 
Tangazo Tangazo!!

Habari za asubuhi wana JF!

kuanzia Tarehe 05 mwezi 11 mwaka 2023, kutakuwa na Searching frees kulinga na bidhaa unayohitaji,hii fee tunaiweka makusudi kuna baadhi ya watu wanamzaha hawako serious na biashara za watu wengi,tutaweza kukutambua kama mteja wetu endapo utafanya mambo yafutayo.

1.)Utalipia Searching fees kupata bei ya bidhaa.
2.)Au Member Ship kwa mwaka.
Asanteni sana.
 
Back
Top Bottom