Huduma ya usafirishaji wa magari kutoka Afrika Kusini - Tanzania

Huduma ya usafirishaji wa magari kutoka Afrika Kusini - Tanzania

20231007_195159.jpg
 
Kuwa unapost vitu kama music system za kisasa na electronics ambazo hazipatikani Tanzania
Naongezea nyama hapa kidogo. Nafikiri Kuna vitu huko vinauzwa Bei ya chini na vinapendwa au kuhitajika na WA TANZANIA wengi. Zile bidhaa unazo ziona huko ziko cheap kuwa unatupostia hapa mkuu.

Bidhaa kama
[emoji736]Tv
[emoji736]Majiko ya kisasa
[emoji736] Redio/ music system/ home theaters
[emoji736]Laptops
[emoji736]Vifaa vya gyms
[emoji736]Sofa
[emoji736]Viatu
[emoji736]Nguo
Etc

Unapost hapa Bei zake na makadirio ya Kila kitu mpaka Tz hapo itakuwa safi sana
 
Naongezea nyama hapa kidogo. Nafikiri Kuna vitu huko vinauzwa Bei ya chini na vinapendwa au kuhitajika na WA TANZANIA wengi. Zile bidhaa unazo ziona huko ziko cheap kuwa unatupostia hapa mkuu.

Bidhaa kama
[emoji736]Tv
[emoji736]Majiko ya kisasa
[emoji736] Redio/ music system/ home theaters
[emoji736]Laptops
[emoji736]Vifaa vya gyms
[emoji736]Sofa
[emoji736]Viatu
[emoji736]Nguo
Etc

Unapost hapa Bei zake na makadirio ya Kila kitu mpaka Tz hapo itakuwa safi sana
Asante sana,vyote nitavifanyia kazi
 
Kuna wakati nilikuwa napeleka gari za IT congo kupitia rwanda. Kabla ya kutoka hapa dar kuanzia safari kuelekea congo lazima ikatwe insurance ya mda mfupi ukiwa ndani ya tz. Tukiwa boda ya RUSUMO upande wa tz, kuelekea rwanda tunakata tena ya muda mfupi. Tukiwa boda bukavu upande wa rwanda/goma upande wa congo tunakata tena insurance kuelekea congo.. Kwa ufupi utaratibu ndio huo.

Mfano hai mwingine nikiwa naelekea MOMBASA kupitia border ya horohoro upande tz/Lunga Lunga upande wa kenya. Kabla hatujavuka lazima ukate insurance ata kama unaenda leo unarudi kesho.. Natamani nikewee baadhi ya document [emoji405] kwa uhakika na ushahidi zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu tuongee kiume nataka kuwa dereva wa IT nini vigezo vyake
 
Back
Top Bottom