GP Logistics Company
JF-Expert Member
- Feb 12, 2022
- 407
- 548
- Thread starter
- #61
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei inaendaje ikiwa SA? Specs zikoje?
Kuanzia 70ml kwendelea inategemea na km na mwaka.Spare zipo zakutosha.
Sawa nisaidie majina yake nikipata nafasi nizitafute.Kuwa unapost vitu kama music system za kisasa na electronics ambazo hazipatikani Tanzania
Naongezea nyama hapa kidogo. Nafikiri Kuna vitu huko vinauzwa Bei ya chini na vinapendwa au kuhitajika na WA TANZANIA wengi. Zile bidhaa unazo ziona huko ziko cheap kuwa unatupostia hapa mkuu.Kuwa unapost vitu kama music system za kisasa na electronics ambazo hazipatikani Tanzania
Asante sana,vyote nitavifanyia kaziNaongezea nyama hapa kidogo. Nafikiri Kuna vitu huko vinauzwa Bei ya chini na vinapendwa au kuhitajika na WA TANZANIA wengi. Zile bidhaa unazo ziona huko ziko cheap kuwa unatupostia hapa mkuu.
Bidhaa kama
[emoji736]Tv
[emoji736]Majiko ya kisasa
[emoji736] Redio/ music system/ home theaters
[emoji736]Laptops
[emoji736]Vifaa vya gyms
[emoji736]Sofa
[emoji736]Viatu
[emoji736]Nguo
Etc
Unapost hapa Bei zake na makadirio ya Kila kitu mpaka Tz hapo itakuwa safi sana
Nahitaji mwanamke wa Xosa awe na nyungu ya mawe, utamleta kwa bei gani?Kwamaelezo zaidi nicheki whatspp +27 71 821 9244
Hii ni bidhaa gani mkuu?Nahitaji mwanamke wa Xosa awe na nyungu ya mawe, utamleta kwa bei gani?
Ebu tuongee kiume nataka kuwa dereva wa IT nini vigezo vyakeKuna wakati nilikuwa napeleka gari za IT congo kupitia rwanda. Kabla ya kutoka hapa dar kuanzia safari kuelekea congo lazima ikatwe insurance ya mda mfupi ukiwa ndani ya tz. Tukiwa boda ya RUSUMO upande wa tz, kuelekea rwanda tunakata tena ya muda mfupi. Tukiwa boda bukavu upande wa rwanda/goma upande wa congo tunakata tena insurance kuelekea congo.. Kwa ufupi utaratibu ndio huo.
Mfano hai mwingine nikiwa naelekea MOMBASA kupitia border ya horohoro upande tz/Lunga Lunga upande wa kenya. Kabla hatujavuka lazima ukate insurance ata kama unaenda leo unarudi kesho.. Natamani nikewee baadhi ya document [emoji405] kwa uhakika na ushahidi zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngungu ya mawe, kiburudishoHii ni bidhaa gani mkuu?
1.Lesen class E au C.Ebu tuongee kiume nataka kuwa dereva wa IT nini vigezo vyake
Asante mkuu.Mkuu wewe ni mpambanaji. Pambana.