kuchunga kanisa si lelemama, kanisani unalea huduma na vipawa vyote walivyo navyo waumini unaowachunga. Sasa kama mizozo ya ndoa ikitokea miongoni mwa waumini wake atawezaje kusuluhisha ikiwa yeye mwenyewe ana ushuhuda mbaya kwa ndoa yake aliyoiacha? Hatakuwa mwalimu mzuri kwa wanandoa wapyakaanzisha kanisa lake?
kwa sikuhizi kanisa ni investment km investment zingine. Inawezekana kaona fursa itayomlipa baadae.
Kuhusu hilo la mumewe huyo dada aseme ukweli aache kusingizia hiyo kazi ya kanisa.
AminaNijambo jema kama uko poa! , na mi pia niko vizuri nashukuru Mungu. Asante kwa kunijulia khali.
shenzi, mbona kama unataka kumtetea, alichokifanya na kukisema unaona kiko sawa kiimani ya kikristo?Amechanganyikiwa kwa sababu anawaza tofauti na watu wengine? Au kwa sababu anawaza tofauti na wewe?
Anawaiga mapadriNdoa hufungishwa na wachungaji sasa yeye atawapaje huduma waumini wakati kajiondoa kwenye hilo jukumu
HarmoYupi aliyetambaa hapo sasa, Harmonizer au huyo queen sheba?
Nataka nifahamu sawa sawa ili niongeze credit za kupondea.
HahahahahaMalaya tu kama Malaya wengine aliona atabanwa katika kudanga kwake
Je daktari akimchungulia anaondoka nayo?Asee
[emoji3][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787]Miaka ya 90 mwishoni Anko wangu alikuwa na ugomvi mkubwa na mkewe baada ya mkewe kubadili dini toka RC kwenda SDA. Siku moja mida ya mchana akapata ugeni kutoka SDA church.. anko aliwapokea vizuri na kuwakaribisha sebuleni. Walikuwepo watu wa makamo kadhaa na jamaa mwingine ambaye alikuwa kijana kama wa early 30s. Yule kijana ndo alikuwa mzungumzaji mkuu kumshauri anko kuhusu mambo ya ndoa na mambo mengine ya kiimani. Mwisho wa mazungumzo Anko akamuuliza kijana kama ameoa... akajibu HAJAOA na bado yupo chuo anasomea uchungaji. Anko alipandwa na hasira na kuanza kutembeza mkong'oto kwa huyo dogo na waliokuwepo. Walifanikiwa kukimbia ila hawakuwahi kurudi tena kwa ishu ya ushauri.
KIMSINGI Christina akiwa kama malaya wa karne amekengeuka kabisa. Hafai kusikilizwa na mstaarabu yeyote. Hao waumini wa kanisa lake ni misukule kama ilivyo misukule mingine.
Walishindwana na mkewe enzi hizooooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi Bulldozer hana ndoa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Atakuwa anakula kondoo, na hivi wanaenda walionona