olando da costa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 505
- 379
Hata Yesu Alayhi Salaam ushahidi wote wa ndani ya Biblia unaonesha alipoingizwa ndani ya "chumba" au pango (sepulcher) cha kuzikiwa alikuwa yu hai. Maana hata kina Mary Magdalene alipokuja kuhakikisha, likathibitika hilo. la kuwa yu hai. Anaebisha hili asikurupuke, ni kwa ushahidi kabisa wa Biblia.
Kwa ufupi, unalosema linawezekana kwa sababu tofauti, kuna kesi nyingi za watu, hata madaktari wanahakikisha kafa, lakini bado yu mzima.
Ninavyowapenda waislamu wa huku Kimara ni kwambaACHA KUIZUNGUMZIA DINI YA HAKI WEWEEEE
Maamuma watakushambulia hadi ukome
Tartiiib. Anza na hii utoe majibu...Tuwekee hapa hilo andiko la kwenye biblia tulisome
Hizo ni fikra potofu, ukizikwa mzima uelewe kua ndio majaaliwa yako au ndio njia uliyojichagulia ukiwa hai.sio Waislam ila Africa tumezikana sana tukiwa Wazima kutokana na kukosa vifaa vya kisasa..
Hizo ni fikra potofu, ukizikwa mzima uelewe kua ndio majaaliwa yako au ndio njia uliyojichagulia ukiwa hai.
Jifikirie wewe mwenyewe kwanza, hivi sasa unafanya nini ili usizikwe ukiwa mzima? Wengi wenu mnajizika wenyewe mkiwa wazima bila kujielewa.
Kwanza Uislamu hauna Madhaifu bali waislamu ndo wenye madhaifu mana dini hii imetoka kwa Muumba mbingu na Ardhi na vyote vilivyomoMkuu hata kama uislam una madhaifu kiasi gani ila kitendo cha upande wa pili kufungusha ndoa za jinsia moja tena kwenye nyumba za ibada ni cha kipuuzi ila hawakiongelei wanakuja na mada za kuzika watu.
Bahati mbaya ukute siku kuna tatizo la mtandao piaMuhimu watu wazikwe na simu zao zikiwa full charge na kifurushi kama alizimia akazinduka anapiga simu, afukuliwe
Hao ni Waislamu jina tuu Muislamu safi hawezi kua kama hao ata siku mojaNinavyowapenda waislamu wa huku Kimara ni kwamba
Wanaamini dhambi ni kula kiti Moto tuh.
Wanaamini kufunga kipindi Cha mfungo ndio njia Bora ya kuiona mbingu.
Wao kunywa pombe, kumdhulumu mtu , kumsimanga mtu na kuzini ruksa.
Msikitini hawaendi Hadi mwezi wa ramadhani.
Wanapenda Sana ubwabwa hasa kwenye mikusanyiko Kama harusi na misiba.
Wengi wao wanapenda Sana wanawake wenye vyura.
Hiyo hell yako ndiko huko kuzikwa mzima. Hujaacha hata vijumba vya watu kugombania urithi! Who gives a shit ukizikwa mzima au umekufa? Think.To hell hayo majaaliwa ya kuzikwa mzima
Tartiiib. Anza na hii utoe majibu...
Yohana 20:1
Hata siku ya kwanza ya juma Mariamu Magdalene alikwenda kaburini alfajiri, kungali giza bado; akaliona lile jiwe limeondolewa kaburini.
Sasa toa jibu, nani kaliondoa hilo jiwe "kaburini"?
Mitandao yenyewe ya kwetu huko kuna sehemu mpaka upande juu ya mti ndio mtandao usome. Sasa chini huko itakuwaje?Muhimu watu wazikwe na simu zao zikiwa full charge na kifurushi kama alizimia akazinduka anapiga simu, afukuliwe
Basi matajiri wakifa wapewe angalau siku 2, makapuku nusu saa tu.ThinkHiyo hell yako ndiko huko kuzikwa mzima. Hujaacha hata vijumba vya watu kugombania urithi! Who gives a shit ukizikwa mzima au umekufa? Think.
Waislam ni dini ya wajanja wajanja ndo maana dua ya chakula wameaeka fupi utisikia BISMILAH
Wapo humu kwajili ya kejeli juu ya waialamu. Unajisumbua bure hawataki kuelimikaHakuna Muislamu anayefariki bila uthibitisho wa daktari.Huko Oman ndio kabisa,katika mambo ya mazishi na makaburi yana wizara ya serekali,inayoshughulikia,huwezi kumzika mtu,bila cheti cha uthibitisho wa daktari,kwa maelezo ya kina,kafa na nini,kifo chake kumesababishwa na nini,ameumwa,ajali,ameuliwa,ameanguka kwa presha,moyo,sukari nk.
Hivi kukafini maana yake ni nini?.Yaani huyo mtu hadi wanamkafini lakini hastuki halafu bado useme amezimia!
Hahahahah wewe mama nishakwambia mpokee Yesu uokoe nafsi yako usije ukaangamia
Sasa hilo andiko ndio linaeleza kwamba alizikwa hai?
Kuhusu nani aliondoa hilo jiwe andiko hili hapa
Mathayo : 28 : 2 - Na tazama, palikuwa na tetemeko kubwa la nchi; kwa sababu malaika wa Bwana alishuka kutoka mbinguni, akaja akalivingirisha lile jiwe akalikalia.
Tubu na usiseme uongo tena.
Matajiri hawazikwi kabisa, soma! Kina Firauni na mi mali yao walikataa kuzikwa walikuwa na sayansi zao za kuhifadhiwa, wa juzi juzi kina Kenyatta nao kwa sayansi za jana hawaakuzikwa. Jiulize kwanini?Basi matajiri wakifa wapewe angalau siku 2, makapuku nusu saa tu.Think
Kwanza acha kuongea kijinga. Uoneshe huo "uongo" wangu uko wapi? Acha kubishana Kisimba na Yanga.Hahahahah wewe mama nishakwambia mpokee Yesu uokoe nafsi yako usije ukaangamia
Sasa hilo andiko ndio linaeleza kwamba alizikwa hai?
Kuhusu nani aliondoa hilo jiwe andiko hili hapa
Mathayo : 28 : 2 - Na tazama, palikuwa na tetemeko kubwa la nchi; kwa sababu malaika wa Bwana alishuka kutoka mbinguni, akaja akalivingirisha lile jiwe akalikalia.
Tubu na usiseme uongo tena.
Sio kwel Mkuu, hizi ni porojoUnaweza ukawa sahihi. Nilishawahi shuhudia tukio la jilani yetu binti wa kiislamu akizikwa kwa muda usipoungua masaa mawili tangu afariki baada ya kuanguka alipokua anapika chakula jikoni. Mbaya zaidi hata mama yake aliyekua sokoni hakuwahi kuzika.