Huenda kuna waislam wengi duniani wameshazikwa wakiwa hai

Ngoja waamke watakupa muongozo
 
Angekuwa afrika tungeshamsahau na mke wake angekuwa single mother tayari,ila jamaa anakula bata tu[emoji23]
 
Hivi madaktari huwa wanafanya juhudi za kumuookoa yule ambaye wanaona ameshakufa? Au mimi ndio sijakuelewa?

Kwani kifo huthibitishwa vipi?

Na kwa pointi yako inamaana juhudi zifanyike hata kwa yule ambaye tunaona ameshakufa, hiyo maana yake hatuwezi kuthibitisha kifo.
 
ACHA KUIZUNGUMZIA DINI YA HAKI WEWEEEE

Maamuma watakushambulia hadi ukome
Acha kauli zako za kejeli, Eti 'maamuma',

Wewe unadhani watu walioamini katika imani zao ambazo ndio walizaliwa wanaombea nazo, wakioa wanolewa nazo, wakizaa wanaombea familia zao na wakizikwa wanazikwa kwa taratibu zake ni watu ambao hawaelewielewi nini wanafanya??
Acha kabisa kejeli kwenye imani za watu, acha kabisa

Kama unachangia hoja Changia kisayansi, kwa hoja, sio kejeli,
 
Kwani wewe u nashauri tusubiri siku ngapi kujua kama mzima au la??
 
Iko hivi..huwezi kusema fulani amekufa kisa tu haitikii au anekuwa wa baridi,kuna vifaa vya kupima mapigo ya noyo,msukumo wa damu na ubongo kama unarespond ndio vinatoa majibu ya uhakika.huyo mchezaji moyo ulisimama kabisa ila kuna kitu wazungu walipima wakasema huyu bado mzima,wakampiga shoti sijui wanajua wenyewe akaamka.ingekuwa bongo kwenye barafu kitambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…