Msonjo
JF-Expert Member
- Oct 13, 2019
- 1,356
- 2,342
Vipi kama nitasema wale ambao hucheleweshwa kuzikwa wachunguzwe zaidi huwenda bado hawajafa, nitakuwa nimekosea?
Na kama nimekosea hivyo kuna tofauti gani ya kumzika huyo mtu masaa machache baada ya kufa au kumzika baada ya masiku kadhaa?
Otherwise useme waislamu hawawezi kuthibitisha kama mtu amekufa, hapo tutakulewa tu kuwa umeamua kutukandia.
Na kama nimekosea hivyo kuna tofauti gani ya kumzika huyo mtu masaa machache baada ya kufa au kumzika baada ya masiku kadhaa?
Otherwise useme waislamu hawawezi kuthibitisha kama mtu amekufa, hapo tutakulewa tu kuwa umeamua kutukandia.