Mesut90
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 537
- 626
Wewe pia unaingizwa katika mijadala hii ya kipumbavu??Mbaya zaidi wakati wanajadiliana 'huyu tayari, saa tisa alasiri tumpige chepe' wewe unawasikia ila huna cha kufanya 😎😎😎
Mbona unaonekana kuwa Bora kuliko hivi??
Waachie hawa vijana wadogo haya mambo ya kipumbavu. You are better than this.