Huenda Safari ya 'Mafahari' Wawili wa Tanzania zikaishia Angola na Sudan

Huenda Safari ya 'Mafahari' Wawili wa Tanzania zikaishia Angola na Sudan

Nitajie wachezaji wazoefu wanne wa Yanga kwenye Michuano ya Africa ambao wamewahi kugusa hata robo fainali ya Shirikisho au champions league , nimekaaa pale uniite paka.Usiongee ongee tu Bangla ,djuma ndio team yao ilikuwa inaishia nafasi ya nne Kila wakikutana na Simba kwenye makundi ,muulize azizi ki atakueleza ugumu wa kuingia robofainali .mchezaji ni mmoja tu Morison kanusa Robo fainali .Hii ni michuano wa vilabu bingwa sio team zenye mkusanyiko wa wachezaji wazuri
djuma na bangala wamecheza fainali ya shirikisho wakiwa na as vita msimu wa 20?17/18 wakiongozwa na kocha ibenge. Walifungwa na waydad
 
Nabii asiyeona! 😀
Leo natabiri mapema hapa kwa niliowaona wa kule Angola na wa Sudan ama Mafahari Wawili Wakatolewa ( Wakafurumushwa ) Wote au Mmoja wao tu ndiyo akabahatika Kufuzu Kundini lakini siyo Wote kwa pamoja ( kama Mafahari ) ndiyo watapita.

Wengine tumeumbwa kuwa Wakweli halafu tuna Macho ya Kimpira ambao kwa Levels zetu tumebahatika Kucheza hivyo tukisema Jambo kutokana na Macho yetu Pevu ya Michezo na Kiufundi huwa tunamaanisha na tuna uhakika nayo.
 
Kitu Ambacho haukijui sio Kwa ubora wa team unaingia makundi ila Kwa uzoeefu tutakutana hapa na usianze kutukana ohh mpira wa Africa ,Narudia Al hilal kuingia makundi sio story Kila mwaka wanafanya hivyo wanachotaka ni robo fainali pia Kwa El mereck muda utasema na wote wanamalizia nyumbani kama kawaida Yao.
Ndo usubili muda uongee mmezoea maisha ya kukariri na mpira auwezi kuukariri utaishia pabaya, mpira umebadilika uyo Al hilal wako unaemsujudia usije ukamkataa badae na kuokoteza sababu nyingine zisizokuwa na kichwa wala miguu, yanga imejipanga ndani ya uwanja na nje ya uwanja nafikiri unatakiwa ulijue hilo maana naona unajiegemeza kwenye visababu vya nje ya uwanja zaidi sasa nakwambia tu yanga anatinga makundi upende usipende itakuwa ivyo
 
Yanga wana miaka 24 mfululizo hawajafika CCC group stage.
 
Kitu Ambacho haukijui sio Kwa ubora wa team unaingia makundi ila Kwa uzoeefu tutakutana hapa na usianze kutukana ohh mpira wa Africa ,Narudia Al hilal kuingia makundi sio story Kila mwaka wanafanya hivyo wanachotaka ni robo fainali pia Kwa El mereck muda utasema na wote wanamalizia nyumbani kama kawaida Yao.
Simba ilipoingia makundi ilikuwa na wachezaji wazoefu? Na huo uzoefu unaousema unatokeaje labda, alafu kitu ambacho ukijui kumalizia nyumbani sio tiket ya kukuvusha ni mjinga tu anaweza kuongea huo utumbo
 
Ibenge ana rekodi ya kucheza fainali ya shirikisho akiwa na as vita

Na pia ana rekodi ya kuuwaa kombe la shirikisho akiwa na ras berkane
Kuwa na kocha mzuri sio ubora wa wachezaji.
.
Tuna imani kwa mwamko wa michezo tulionao kwa team za Tanzania hasa vilabu VIWILI vikubwa nchini,Africa itashuhudia maajabu
 
Simba ilipoingia makundi ilikuwa na wachezaji wazoefu? Na huo uzoefu unaousema unatokeaje labda, alafu kitu ambacho ukijui kumalizia nyumbani sio tiket ya kukuvusha ni mjinga tu anaweza kuongea huo utumbo
Hawa ni wajinga walioanza kuufatilia Mpira juzi hawana walijuwalo.

Yanga ya akina Aziz Hunter ilishapinduwa meza Zimbabwe na kuwapiga mbili bila wenyeji wao na kusonga mbele.

Yanga Kampala Uganda ya kina Lunyamila ilipiga vigogo wote wa Uganda SC Villa na Express na kurudi na kumbe Dar es salaam, kina how as imbues mbumbumbu ni chuki imewajaa.

Yanga hii inaingia kwenye makundi kibabe na tunapiga mtu nje ndani.
 
Simba ilipoingia makundi ilikuwa na wachezaji wazoefu? Na huo uzoefu unaousema unatokeaje labda, alafu kitu ambacho ukijui kumalizia nyumbani sio tiket ya kukuvusha ni mjinga tu anaweza kuongea huo utumbo
Ni mjinga pekee ndiye anaeweza ku-ignore advantage ya kumalizia nyumbani kwenye mashindano ya mtoano, hata kama sio guarantee ya kufuzu.
 
Hawa ni wajinga walioanza kuufatilia Mpira juzi hawana walijuwalo.

Yanga ya akina Aziz Hunter ilishapinduwa meza Zimbabwe na kuwapiga mbili bila wenyeji wao na kusonga mbele.

Yanga Kampala Uganda ya kina Lunyamila ilipiga vigogo wote wa Uganda SC Villa na Express na kurudi na kumbe Dar es salaam, kina how as imbues mbumbumbu ni chuki imewajaa.

Yanga hii inaingia kwenye makundi kibabe na tunapiga mtu nje ndani.
Ninayaona ya Vipers yakijirudia kwa mkapa.
 
Nitajie wachezaji wazoefu wanne wa Yanga kwenye Michuano ya Africa ambao wamewahi kugusa hata robo fainali ya Shirikisho au champions league , nimekaaa pale uniite paka.Usiongee ongee tu Bangla ,djuma ndio team yao ilikuwa inaishia nafasi ya nne Kila wakikutana na Simba kwenye makundi ,muulize azizi ki atakueleza ugumu wa kuingia robofainali .mchezaji ni mmoja tu Morison kanusa Robo fainali .Hii ni michuano wa vilabu bingwa sio team zenye mkusanyiko wa wachezaji wazuri
Tatizo munaishi kwa mazoea.
Nyie ndio munaeamini timu kutoka Tanzania ikicheza na timu za ukanda wa waarabu lazima ifungwe.

Kwa sasa ligi yetu imekomaa, tofauti na miaka ya nyuma.

Chochote kinaweza tokea, na yeyote anaweza tolewa.
 
Kujuwa tofauti kati ya Khartoum Sudan na South Sudan Juba hili wala hakihusiani na Mpira, haya ni mambo ya kisiasa, usijitowe ufahamu.
Ona sasa ulivyo utopolo? Unashindwa kujua kuwa mpira unahusiana na sisasa kwa 100%.
 
Genta, Zungumzia Yanga sio Simba! Tunapozungumzia soka la kimataifa Simba ni timu nyingine kabisa kwa hapa Tz huwezi linganisha na hawa Yanga ambao kuchukua ubingwa wa NBC tu mpaka wacheze sana rafu za nje ya uwanja!
Kama tunaanzia game Angola mimi nina uhakika 98% Simba itavuka labda majirani zetu hao vyura!
 
Leo natabiri mapema hapa kwa niliowaona wa kule Angola na wa Sudan ama Mafahari Wawili Wakatolewa ( Wakafurumushwa ) Wote au Mmoja wao tu ndiyo akabahatika Kufuzu Kundini lakini siyo Wote kwa pamoja ( kama Mafahari ) ndiyo watapita.

Wengine tumeumbwa kuwa Wakweli halafu tuna Macho ya Kimpira ambao kwa Levels zetu tumebahatika Kucheza hivyo tukisema Jambo kutokana na Macho yetu Pevu ya Michezo na Kiufundi huwa tunamaanisha na tuna uhakika nayo.
Huenda, huenda, huenda! Nenda ukabeti kwenye makampuni husika huko, sasa unatuletea ramli zako halafu sisi tufanye nini?
 
Genta, Zungumzia Yanga sio Simba! Tunapozungumzia soka la kimataifa Simba ni timu nyingine kabisa kwa hapa Tz huwezi linganisha na hawa Yanga ambao kuchukua ubingwa wa NBC tu mpaka wacheze sana rafu za nje ya uwanja!
Kama tunaanzia game Angola mimi nina uhakika 98% Simba itavuka labda majirani zetu hao vyura!
Simba hii hii ya kina Kibu
Simba hii hii ya kina Kiyombo na Mzamiru
Simba hii ya kina Kapama na Mzungu
Hii timu haifiki popote na hata kwenye ligi itashika nafasi ya tatu
 
Makundi ya WhatsApp labda, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Makundi ya umiseta labda hakuna team inacheza mechi zote mbili za Caf champions league halafu wanakuja kupiga kelele tu huku ndio maana team zinapewa goli la ugenini sasa team inatoka kigamboni mpaka kwa mkapa halafu wanasema wamesafiri kweli kule ni mambumbu fc.
 
Back
Top Bottom