Huenda Safari ya 'Mafahari' Wawili wa Tanzania zikaishia Angola na Sudan

Huenda Safari ya 'Mafahari' Wawili wa Tanzania zikaishia Angola na Sudan

Ona awa wasauzi

Je wajua yanga haijawahi kumpanga Lazarus kambole hata kwenye mechi moja ya pre season au kwenye league na walivyoona wamepigwa wakasema ni majeruhi wakati ni uongo walimchukua nchimbi pro max.
 
Makundi ya umiseta labda hakuna team inacheza mechi zote mbili za Caf champions league halafu wanakuja kupiga kelele tu huku ndio maana team zinapewa goli la ugenini sasa team inatoka kigamboni mpaka kwa mkapa halafu wanasema wamesafiri kweli kule ni mambumbu fc.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnooooo.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Nitajie wachezaji wazoefu wanne wa Yanga kwenye Michuano ya Africa ambao wamewahi kugusa hata robo fainali ya Shirikisho au champions league , nimekaaa pale uniite paka.Usiongee ongee tu Bangla ,djuma ndio team yao ilikuwa inaishia nafasi ya nne Kila wakikutana na Simba kwenye makundi ,muulize azizi ki atakueleza ugumu wa kuingia robofainali .mchezaji ni mmoja tu Morison kanusa Robo fainali .Hii ni michuano wa vilabu bingwa sio team zenye mkusanyiko wa wachezaji wazuri
Iyo ni line up 2018 as vita anacheza final na Raj uwe basi unafatilia mpira bangala moloko Kisinda juma shabani wote walikuwepo kwenye iyo fainal
Screenshot_20220919-123047.jpg


Sent from my INE-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Leo natabiri mapema hapa kwa niliowaona wa kule Angola na wa Sudan ama Mafahari Wawili Wakatolewa ( Wakafurumushwa ) Wote au Mmoja wao tu ndiyo akabahatika Kufuzu Kundini lakini siyo Wote kwa pamoja ( kama Mafahari ) ndiyo watapita.

Wengine tumeumbwa kuwa Wakweli halafu tuna Macho ya Kimpira ambao kwa Levels zetu tumebahatika Kucheza hivyo tukisema Jambo kutokana na Macho yetu Pevu ya Michezo na Kiufundi huwa tunamaanisha na tuna uhakika nayo.
GENTAMYCINE tuambie tu tujue nani atatoka tujiandae kisaikolojia manake hukoseagi
 
Hakuna timu ya Sudani itakayo cheza Makundi ya Caf champion league msimu huu, Wana timu mbovu sana, zinaweza zisi ingie ata Makundi ya shirikisho.
Unazani hao wanatoka kule kwa Zolan sijui Zalan. Shauri yenu
 
Yanga inawachezaji wazoefu wa michuano ya Africa kuliko ao Al hilal wenye timu mpya, mpira unachezwa uwanjani sio mdomoni. Kwasasa Yanga wapo vizuri, hakuna wa kumzuia asiende Makundi.
Una akili au matope, unajua profile ya wachezaji wa al hilal ama unaropoka tu
 
KWA HILI NATABIRI KINYUME CHAKO, HIZI TIMU ZOTE 2 ZITAKWENDA MAKUNDI.
 
Back
Top Bottom