Huenda Safari ya 'Mafahari' Wawili wa Tanzania zikaishia Angola na Sudan

Huenda Safari ya 'Mafahari' Wawili wa Tanzania zikaishia Angola na Sudan

Wasudani ni watu wa hovyo sana msimu huu timu lao bovu sana ila figisu nje ya uwanja ndo zitawabeba..utopolo kitachowaponza ni ugeni na presha ya michuano..Makolo fc wao wana faida ya kuanzia ugenini bila shaka wanaweza kufuzu kwani kwao sio ishu kubwa
 
Winga Morrison, Winga Kisinda …Kumi Stephane Ki, Mbele King Of The Game “Mayele”, Kati Kati Aucho Na Fei, Kushoto Na Kulia Farid Musa Na Djuma, Nyuma Nazima Mwenyewe MVP Mzee Wa Kazi Chafu Na Mwng Wa Nguvu International Defender Dickson Kazi Af Golini Mdaka Mishale Diarra…..HIVI TUNATOLEWAJE? TUNATOLEWAJE KWA MFANO? MAMAEE!! [emoji28]

Mpira ungekuwa hayo majina basi ingekuwa rahisi sana
 
Winga Morrison, Winga Kisinda …Kumi Stephane Ki, Mbele King Of The Game “Mayele”, Kati Kati Aucho Na Fei, Kushoto Na Kulia Farid Musa Na Djuma, Nyuma Nazima Mwenyewe MVP Mzee Wa Kazi Chafu Na Mwng Wa Nguvu International Defender Dickson Kazi Af Golini Mdaka Mishale Diarra…..HIVI TUNATOLEWAJE? TUNATOLEWAJE KWA MFANO? MAMAEE!! [emoji28]
Hii timu ya kawaida Sana Kwa level za CAF. Kwanza hapo golini ni pazia Bora aanze mshery. Hicho kiungo chenu cha fei na aucho Bora mmoja aanzie benchi halafu mauya aanze. Kiufupi ni timu inayofungika kirahisi Sana, rejea Sopu alichofanya.
 
Hii timu ya kawaida Sana Kwa level za CAF. Kwanza hapo golini ni pazia Bora aanze mshery. Hicho kiungo chenu cha fei na aucho Bora mmoja aanzie benchi halafu mauya aanze. Kiufupi ni timu inayofungika kirahisi Sana, rejea Sopu alichofanya.

Mauya?? [emoji28][emoji28][emoji28], Una Haki Ya Kuwa Kolo..
 
Back
Top Bottom