Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,564
- 5,884
Wasudani ni watu wa hovyo sana msimu huu timu lao bovu sana ila figisu nje ya uwanja ndo zitawabeba..utopolo kitachowaponza ni ugeni na presha ya michuano..Makolo fc wao wana faida ya kuanzia ugenini bila shaka wanaweza kufuzu kwani kwao sio ishu kubwa