Huenda Safari ya 'Mafahari' Wawili wa Tanzania zikaishia Angola na Sudan

Ona awa wasauzi

Je wajua yanga haijawahi kumpanga Lazarus kambole hata kwenye mechi moja ya pre season au kwenye league na walivyoona wamepigwa wakasema ni majeruhi wakati ni uongo walimchukua nchimbi pro max.
 
Huenda, huenda, huenda! Nenda ukabeti kwenye makampuni husika huko, sasa unatuletea ramli zako halafu sisi tufanye nini?
Naona Unawashwa tafuta wa Kukukuna sawa?
 
Ushabiki kazi Sana kwa kweli
Mkuu hao wasikuumize kichwa wenye akili ni wawili tu ukiona wanavyoiyongelea yanga ni kama wanaiongelea Barcelona vile.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnooooo.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Iyo ni line up 2018 as vita anacheza final na Raj uwe basi unafatilia mpira bangala moloko Kisinda juma shabani wote walikuwepo kwenye iyo fainal

Sent from my INE-LX1 using JamiiForums mobile app
 
GENTAMYCINE tuambie tu tujue nani atatoka tujiandae kisaikolojia manake hukoseagi
 
Hakuna timu ya Sudani itakayo cheza Makundi ya Caf champion league msimu huu, Wana timu mbovu sana, zinaweza zisi ingie ata Makundi ya shirikisho.
Unazani hao wanatoka kule kwa Zolan sijui Zalan. Shauri yenu
 
Yanga inawachezaji wazoefu wa michuano ya Africa kuliko ao Al hilal wenye timu mpya, mpira unachezwa uwanjani sio mdomoni. Kwasasa Yanga wapo vizuri, hakuna wa kumzuia asiende Makundi.
Una akili au matope, unajua profile ya wachezaji wa al hilal ama unaropoka tu
 
Naona Unawashwa tafuta wa Kukukuna sawa?
Mzee wa matusi hujambo? Eti nawewe uliwahi kuwa mtoto wa kigogo na matusi hayo, loh! Kwenda huko na huenda huenda yako. Hatufanyii kazi ramli sisi.
 
KWA HILI NATABIRI KINYUME CHAKO, HIZI TIMU ZOTE 2 ZITAKWENDA MAKUNDI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…