Winga Morrison, Winga Kisinda …Kumi Stephane Ki, Mbele King Of The Game “Mayele”, Kati Kati Aucho Na Fei, Kushoto Na Kulia Farid Musa Na Djuma, Nyuma Nazima Mwenyewe MVP Mzee Wa Kazi Chafu Na Mwng Wa Nguvu International Defender Dickson Kazi Af Golini Mdaka Mishale Diarra…..HIVI TUNATOLEWAJE? TUNATOLEWAJE KWA MFANO? MAMAEE!! [emoji28]
We unafikiri huko makundi ni yeyote yule hata timu ya vipofu nao ni kufuzu tu?Makolo wote watateseka pale watapoona Yanga imefuzu makundi na kucheza Hadi nusu Fainali..
Kolo ni watu wenye roho mbaya hapa Tz..
Hii timu ya kawaida Sana Kwa level za CAF. Kwanza hapo golini ni pazia Bora aanze mshery. Hicho kiungo chenu cha fei na aucho Bora mmoja aanzie benchi halafu mauya aanze. Kiufupi ni timu inayofungika kirahisi Sana, rejea Sopu alichofanya.Winga Morrison, Winga Kisinda …Kumi Stephane Ki, Mbele King Of The Game “Mayele”, Kati Kati Aucho Na Fei, Kushoto Na Kulia Farid Musa Na Djuma, Nyuma Nazima Mwenyewe MVP Mzee Wa Kazi Chafu Na Mwng Wa Nguvu International Defender Dickson Kazi Af Golini Mdaka Mishale Diarra…..HIVI TUNATOLEWAJE? TUNATOLEWAJE KWA MFANO? MAMAEE!! [emoji28]
Hii timu ya kawaida Sana Kwa level za CAF. Kwanza hapo golini ni pazia Bora aanze mshery. Hicho kiungo chenu cha fei na aucho Bora mmoja aanzie benchi halafu mauya aanze. Kiufupi ni timu inayofungika kirahisi Sana, rejea Sopu alichofanya.
Hujui mpira utoMauya?? [emoji28][emoji28][emoji28], Una Haki Ya Kuwa Kolo..