Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point yangu ni kubwa mshukiwa angekuwa na plan B angejiuzulu Mara baada ya kifo cha mwenda zake. Lakini kwa sababu hana namna nyingine ya kuishi mijini akabaki, na akawa bado anatetea misimamo ya zama za mwendazake. Ona sasa anaibika mchana kweupe. Mwangalie Mizengo ponda yupo kimya anadeal na mashamba yake.Nitajie huyo mwanasiasa wa Tanzania amabe ana plan B huko ccm tuanzie hapo.
Africa hakuna ambae Huwa anajiuzulu.Point yangu ni kubwa mshukiwa angekuwa na plan B angejiuzulu Mara baada ya kifo cha mwenda zake. Lakini kwa sababu hana namna nyingine ya kuishi mijini akabaki, na akawa bado anatetea misimamo ya zama za mwendazake. Ona sasa anaibika mchana kweupe. Mwangalie Mizengo ponda yupo kimya anadeal na mashamba yake.
Hii her siyo nzuri kwakeKwani kishoa anasemaje?
Toka lini CCM.ikaangushwa kwenye kura mzeeeKatelephone akiziunga upinzani wawe na ummoja wao wamsimamishe kama mgombea 2025 maza ataangushwa mbaya maana amechoka mbaya ndo maana anaanzisha wizara mpya baada ya bajeti ya mwaka wa fedha
Ajiuzulu namungo Nani atawalipa mishahara na shabani mdg ake ataishijeAkijiuzuru ndoto za kuwa rais asahau kabisa lakini naamini hawezi kujizuru
Namungo si timu ya halmashauri?Ajiuzulu namungo Nani atawalipa mishahara na shabani mdg ake ataishije
Naibu waziri mkuu na waziri wa mambo ya ndani ya chi mh Augustino Mrema. Naibu waziri mkuu na waziri wa nishati mh Biteko . Tuanzie hapo.Sawia!... Kitendo cha kumchagua kaimu "Waziri Mkuu" tena mwenye portfolio nyingine ni kiashiria tosha kuwa.... Hamkani!... Lakini si shwari tena. Yanayoendelea kiutawala kwa sasa hakuna tofauti na management za Simba na Yanga. [emoji24]
Kwa hiyo hoja yako hapa ni ipi? 😳Naibu waziri mkuu na waziri wa mambo ya ndani ya chi mh Augustino Mrema. Naibu waziri mkuu na waziri wa nishati mh Biteko . Tuanzie hapo.
Hapo ujue utendaji hamna kitu. Kuna mahali pesa lazima zichukuliwe ili kuendesha hizo wizara nje ya bajeti kwa maana hiyo serekali imekosa planningUmeongea kitu hapa,sikuwaza hili hivi itakuwaje kugawa wizara na bajet zake.
Yule mpaka supa blakiKadiri ya joto la kisiasa linavyopanda na kasi ya mabadiliko tajika nchini kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024-2025. Mbinyo, mgandamizo, songo mbingo, vitimbi, mazonge visa na mikasa ya kisiasa ni dhahiri vitamsukuma muungwana nje ya game na kulazimika kuwajibika mapema kabla ya mwaka ujao.
Nia, Dhamira, Malengo, Lugha ktk masuala kadha wa kadha , mathalani, dipi weldi, 2025 elections n.k. body language, facial expressions, and tones haisikilizani kabisa, from the party to the gov
Kabisa nchi imemshindaNasimama na PM..
MAMA ANAIVURUGA NCHI.
Usijiuzulu hata kidogo. komaa tu jifanye hamnazo. Labda akufukuze kitu ambacho hawezi maana italeta picha mbaya. Mama ana wasiwasi mkubwa na team JPM (Ndugai, Majaliwa, Bashiru, Polepole na Sukuma Gang). Ukijiuzulu mwenyewe yatakukuta kama yale ya Ndugai.
Ulivyoandika kwa uchungu. Itakuwa wewe ni mwalimuWaziri mkuu anaacha walimu wakilalamika ilhali naye alikuwa mwalimu.Any way mchawi wa mwalimu ni mwalimu🤣🤣🤣
halafu chawa wanakuimbia nyimbo za sifa hakuna kama weweC Kwa Tz hii mtu kuachia Madaraka kirahic .
Zile salute na misafara ya magarii 50 50 una raha yake asikwambie mtu babu