Tetesi: Huenda Waziri mkubwa akaachia ngazi wakati wowote

Tetesi: Huenda Waziri mkubwa akaachia ngazi wakati wowote

[emoji867]

Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
20230215_120116.jpg
 
Nitajie huyo mwanasiasa wa Tanzania amabe ana plan B huko ccm tuanzie hapo.
Point yangu ni kubwa mshukiwa angekuwa na plan B angejiuzulu Mara baada ya kifo cha mwenda zake. Lakini kwa sababu hana namna nyingine ya kuishi mijini akabaki, na akawa bado anatetea misimamo ya zama za mwendazake. Ona sasa anaibika mchana kweupe. Mwangalie Mizengo ponda yupo kimya anadeal na mashamba yake.
 
Point yangu ni kubwa mshukiwa angekuwa na plan B angejiuzulu Mara baada ya kifo cha mwenda zake. Lakini kwa sababu hana namna nyingine ya kuishi mijini akabaki, na akawa bado anatetea misimamo ya zama za mwendazake. Ona sasa anaibika mchana kweupe. Mwangalie Mizengo ponda yupo kimya anadeal na mashamba yake.
Africa hakuna ambae Huwa anajiuzulu.

Ona watu wanavyofurahia vyeo hapa 👇

View: https://twitter.com/ortamisemitz/status/1697176275075412394?t=_Unp69c3lSWa8G5r4u4T9A&s=19
 
Sawia!... Kitendo cha kumchagua kaimu "Waziri Mkuu" tena mwenye portfolio nyingine ni kiashiria tosha kuwa.... Hamkani!... Lakini si shwari tena. Yanayoendelea kiutawala kwa sasa hakuna tofauti na management za Simba na Yanga. [emoji24]
Naibu waziri mkuu na waziri wa mambo ya ndani ya chi mh Augustino Mrema. Naibu waziri mkuu na waziri wa nishati mh Biteko . Tuanzie hapo.
 
Kadiri ya joto la kisiasa linavyopanda na kasi ya mabadiliko tajika nchini kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024-2025. Mbinyo, mgandamizo, songo mbingo, vitimbi, mazonge visa na mikasa ya kisiasa ni dhahiri vitamsukuma muungwana nje ya game na kulazimika kuwajibika mapema kabla ya mwaka ujao.

Nia, Dhamira, Malengo, Lugha ktk masuala kadha wa kadha , mathalani, dipi weldi, 2025 elections n.k. body language, facial expressions, and tones haisikilizani kabisa, from the party to the gov
Yule mpaka supa blaki
 
Usijiuzulu hata kidogo. komaa tu jifanye hamnazo. Labda akufukuze kitu ambacho hawezi maana italeta picha mbaya. Mama ana wasiwasi mkubwa na team JPM (Ndugai, Majaliwa, Bashiru, Polepole na Sukuma Gang). Ukijiuzulu mwenyewe yatakukuta kama yale ya Ndugai.

Akijiuzulu atakuwa kajimaliza na atakuwaa amemumaliza spika asiyeona mbali....shimo limefika kiunoni yeye bado anashangaa sijui shule alienda kutoa kamasi?
 
Back
Top Bottom