Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aachie haraka Doto akalie ,kwani nani ana shida nae?Kadiri ya joto la kisiasa linavyopanda na kasi ya mabadiliko tajika nchini kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024-2025. Mbinyo, mgandamizo, songo mbingo, vitimbi, mazonge visa na mikasa ya kisiasa ni dhahiri vitamsukuma muungwana nje ya game na kulazimika kuwajibika mapema kabla ya mwaka ujao.
Nia, Dhamira, Malengo, Lugha ktk masuala kadha wa kadha , mathalani, dipi weldi, 2025 elections n.k. body language, facial expressions, and tones haisikilizani kabisa, from the party to the gov
Ajiuzulu tu 2025 achukue fomu..wakimzuia aende upinzani..alipo Kassim na sie tupo.Kadiri ya joto la kisiasa linavyopanda na kasi ya mabadiliko tajika nchini kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024-2025. Mbinyo, mgandamizo, songo mbingo, vitimbi, mazonge visa na mikasa ya kisiasa ni dhahiri vitamsukuma muungwana nje ya game na kulazimika kuwajibika mapema kabla ya mwaka ujao.
Nia, Dhamira, Malengo, Lugha ktk masuala kadha wa kadha , mathalani, dipi weldi, 2025 elections n.k. body language, facial expressions, and tones haisikilizani kabisa, from the party to the gov
Hana hiyo jeuri wewe huyo PM wako,na Kwa taarifa Yako hakuna mjinga atakubali mtu ambae amekuwa PM eti awe Rais.Nakupa Siri Sasa mama enu Hana NGUVU watanganyika waliopo serikalini wanasubiri tu wakulianzisha, na Kwa taarifa Sasa MAJALIWA atachukua form 2025 na mama enu atarud paje zenji
Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Nyie mnajidanganya sana,mtu wenu huyo PM hakubaliki na wenzie.Ajiuzulu tu 2025 achukue fomu..wakimzuia aende upinzani..alipo Kassim na sie tupo.
Hata kama wataiba kura ila ujumbe utakuwa umeenda. Ya Mungu mengi. Inaweza hata chama chenyewe 2025 kikafika vipande vipande.
Usiishi kwa historia lolote linawesekana, save the postHana hiyo jeuri wewe huyo PM wako,na Kwa taarifa Yako hakuna mjinga atakubali mtu ambae amekuwa PM eti awe Rais.
Kama ni form tuu hata Pinda,Malechela nk wote walichukua ila Rais akawa mwingine
Nasema hivi huyo PM wako hana chochote Cha maana anachoweza onesha.Usiishi kwa historia lolote linawesekana, save the post
Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Haina haja ya kusitisha uchaguzi,fukuza PM panga safu upya,JK na Mwinyi Wakifanya hivyo.Kwa sasa ni kama viongozi wa serikali hawasomani. Ni bora Rais aitishe uchaguzi mpya.
Dogo mbona kama unanichamba?Nasema hivi huyo PM wako hana chochote Cha maana anachoweza onesha.
Anazidiwa na kina Doto, Mwigulu na wengine wengi tuu.
Nitajie huyo mwanasiasa wa Tanzania amabe ana plan B huko ccm tuanzie hapo.Ukiwa kwenye siasa lazima uwe na plan B ili kulinda heshima na misimamo yako. Kama unachumia tumbo na unategemea siasa ili ule. Lazima utakuwa kama bendera inayofuata upepo.
Dogo ni mama Yako.Mizani ni utendaji wao.Dogo mbona kama unanichamba?
Unalopoka tu uliwapima Kwa mzani gan? Doto ana nn? Cha special Zaid ya kunyenyekea tu na kusujudia
Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Habis laamar kijana, sabiiihhh matako ya bibi ako kabsa kijana mtiifu wa genge la wahuni ccm kenge wa brown wwDogo ni mama Yako.Mizani ni utendaji wao.
PM wako Toka enzi za Mwendazake anapwaya tuu.
Mdanganyeni tuu kama Lowasa sawa? Mwana ccm yupi wa kupigia kura Machadema Ili mwisho wa siku iwaje? Wawe wapenzi watazamaji au?Katelephone akiziunga upinzani wawe na ummoja wao wamsimamishe kama mgombea 2025 maza ataangushwa mbaya maana amechoka mbaya ndo maana anaanzisha wizara mpya baada ya bajeti ya mwaka wa fedha
Kenge ni baba Yako,ulitaka niwe miti wa wapumbavu nyie?Habis laamar kijana, sabiiihhh matako ya bibi ako kabsa kijana mtiifu wa genge la wahuni ccm kenge wa brown ww
Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Umesha vuta zako ndumu hapo umejibanza Kwa baba room na Infinix Yako na bando la buku yanakutoka tuMdanganyeni tuu kama Lowasa sawa? Mwana ccm yupi wa kupigia kura Machadema Ili mwisho wa siku iwaje? Wawe wapenzi watazamaji au?
Naomba itokee hivyo nione.Rais atashindwa hata Kwa faulo na at any cost.
Na wewe kavute ugoro,ndumu sio Kwa wapumbavuUmesha vuta zako ndumu hapo umejibanza Kwa baba room na Infinix Yako na bando la buku yanakutoka tu
Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
[emoji867]Kenge ni baba Yako,ulitaka niwe miti wa wapumbavu nyie?