Tetesi: Huenda Waziri mkubwa akaachia ngazi wakati wowote

Tetesi: Huenda Waziri mkubwa akaachia ngazi wakati wowote

Kadiri ya joto la kisiasa linavyo panda na kasi ya mabadiliko tajika nchini kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024-2025. Mbinyo, mgandamizo, songo mbingo, vitimbi, mazonge visa na mikasa ya kisiasa ni dhahiri vitamsukuma muungwana nje ya game na kulazimika kuwajibika mapema kabla ya mwaka ujao.

Nia, Dhamira, Malengo, Lugha ktk masuala kadha wa kadha , mathalani, dipi weldi, 2025 elections n.k. body language, facial expressions, and tones haisikilizani kabisa, from the party to the gov
Kuna mnyukano mkubwa sana unaendelea ndani ya Serikali kuhusinana na dhamira ya Waarabu wa UAE ndani ya Tanzania. Wanachokifanya Loliondo la kuwatorosha wanyama imewakera sana wanajeshi. Tegeni masikio kama yatamwagika nje.
 
Kuna mnyukano mkubwa sana unaendelea ndani ya Serikali kuhusinana na dhamira ya Waarabu wa UAE ndani ya Tanzania. Wanachokifanya Loliondo la kuwatorosha wanyama imewakera sana wanajeshi. Tegeni masikio kama yatamwagika nje.
Hata Mimi nimekerwa Sana urithi wa wajukuu wangu kuchukuliwa kirahisi tu.
Hivi kwanini viongozi wetu wanatanya vitu as if there in no tomorrow?
Utasikia mzungu Fulani kapewa ekari milioni mbugani, wakurya na wasukuma wanatakiwa kuondoka kwenye eneo Fulani, wamasai wanatakiwa kuondoka ngorongoro waende Handeni kwenye ukame. Why?
 
Haipo hiyo. Akiachia na Baraza zima linavunjika. Mnataka kuwapa wateule presha tena.

UCHAGUZI Una maajabu gani? Kwa katiba na tume ipi?
Mkuu kwani kuvunja baraza kuna gharama yoyote?
Anaweza kuvunja baraza asubuhi, jioni akatangaza wale wale! Ni tofauti na kuvunja bunge ambapo inabidi utangaze uchaguzi tena!
 
100💯 hili hata mimi nimeliwaza na nikataka kulianzishia uzi!!

Hisia zangu zinaniambia ndani ya wiki 2 hadi mwezi MAJALIWA ATAJIUZURU!!!....

Unabii Huwa haudanganyi wala si wa kupuuzwa...!...

Voice from within tangu jana inanimbia hilo lazima litokee...!

Kwa sasa anasubiri upepo wa huu uteuzi mpya upite, naibu waziri mkuu aapishwe... Then ataachia ngazi iwe kwa shinikizo! Ama kwa utashi wake mwenyewe!!!

Time wii tell.... stay here....
Hapana. Ameabiwa akae kama Shadow worker, ili astaafu salama akalime.


Kitaalam akiachia ataruhusu Sheria imdake na kugunguliwa mashtaka kadhaa. Mf anajua wakina azori walipo ataitwa akajibu
 
Premier Majaliwa alikuwa akiiva sana na Mwendazake na siyo Mama na mpaka sasa Mama kuwa nae Kamheshimu na Kumvumilia mno.

Haihitaji Akili Kubwa kujua kuwa Kitendo cha Kumtea / Kumteulia Naibu Waziri Mkuu ni Kumtumia ujumbe kuwa humtaki ila huna jinsi na kutaka tu Kumtesa Kisaikolojia.

Kitakachotokea sasa ni Premier Majaliwa kufanya Kazi kwa Wasiwasi, kuhisi hakubaliki na Kuharibu kabisa Utendaji kwakuwa muda mwingi atautumia katika Kuwaza na Kuyashangaa yaliyotokea hasa la Kuteuliwa Naibu Waziri Mkuu.

Waziri Mkuu Majaliwa omba Kujiuzuru mapema kwani ukiona Anayetroti ( Anayepasha ) Nje ni Kipa jua haingii Beki.
kwa cheo kama hicho kuishi kwa kutegema mood ya mtoto wa kike ni upuuzi,kama akina nyakoro na asuman walimkazia live live akaamua awafurushe sembuse yeye!!!awe mwanaune,maana cheo chake ni kama jipu kwenye koromeo,ukitumbua hovyo unakufa au kuparalaizi.

toka mwanzo ilifaa aonyeshe msimamo wake kama akina nyakoro,hawakuremba mpaka vijembe kwenye kila press vikaanza.
 
Mkuu kwani kuvunja baraza kuna gharama yoyote?
Anaweza kuvunja baraza asubuhi, jioni akatangaza wale wale! Ni tofauti na kuvunja bunge ambapo inabidi utangaze uchaguzi tena!
Analivunjaje Bunge wakati yeye mwenyewe ndio chanzo cha kuvunja katiba ya nchi? ...

Wakati umefika wa kufanya ukarabati wa nchi, kuanzia Muungano, Katiba na uchaguzi wa viongozi.
 
Back
Top Bottom