Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bc tusubiri ale mshahara wake mpaka 2025Hata akiachia atakula posho maisha yake yote🤣🤣🤣
mnaanza kutisha watu!Nasimama na PM..
MAMA ANAIVURUGA NCHI.
Ukiwa kwenye siasa lazima uwe na plan B ili kulinda heshima na misimamo yako. Kama unachumia tumbo na unategemea siasa ili ule. Lazima utakuwa kama bendera inayofuata upepo.Kadiri ya joto la kisiasa linavyopanda na kasi ya mabadiliko tajika nchini kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024-2025. Mbinyo, mgandamizo, songo mbingo, vitimbi, mazonge visa na mikasa ya kisiasa ni dhahiri vitamsukuma muungwana nje ya game na kulazimika kuwajibika mapema kabla ya mwaka ujao.
Nia, Dhamira, Malengo, Lugha ktk masuala kadha wa kadha , mathalani, dipi weldi, 2025 elections n.k. body language, facial expressions, and tones haisikilizani kabisa, from the party to the gov
Usijiuzulu hata kidogo. komaa tu jifanye hamnazo. Labda akufukuze kitu ambacho hawezi maana italeta picha mbaya. Mama ana wasiwasi mkubwa na team JPM (Ndugai, Majaliwa, Bashiru, Polepole na Sukuma Gang). Ukijiuzulu mwenyewe yatakukuta kama yale ya Ndugai.
Endelea kukaa chini ya mnazi ukisubiri papai lidondoke.Kadiri ya joto la kisiasa linavyopanda na kasi ya mabadiliko tajika nchini kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024-2025. Mbinyo, mgandamizo, songo mbingo, vitimbi, mazonge visa na mikasa ya kisiasa ni dhahiri vitamsukuma muungwana nje ya game na kulazimika kuwajibika mapema kabla ya mwaka ujao.
Nia, Dhamira, Malengo, Lugha ktk masuala kadha wa kadha , mathalani, dipi weldi, 2025 elections n.k. body language, facial expressions, and tones haisikilizani kabisa, from the party to the gov
Ha ha ha ha kwamba viungo vya mwili vimegoma kushirikianaKadiri ya joto la kisiasa linavyopanda na kasi ya mabadiliko tajika nchini kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024-2025. Mbinyo, mgandamizo, songo mbingo, vitimbi, mazonge visa na mikasa ya kisiasa ni dhahiri vitamsukuma muungwana nje ya game na kulazimika kuwajibika mapema kabla ya mwaka ujao.
Nia, Dhamira, Malengo, Lugha ktk masuala kadha wa kadha , mathalani, dipi weldi, 2025 elections n.k. body language, facial expressions, and tones haisikilizani kabisa, from the party to the gov
PM ana nafasi kubwa ya kumshauri rais. Asipokubari, Pm anaweza kujiuzuru. Kuka kimya ni wale wale kundi mojaNasimama na PM..
MAMA ANAIVURUGA NCHI.
Majaliwa ya majaliwa yamemjalia kupata msaidizi.Wanamtema kimremamrema.Kadiri ya joto la kisiasa linavyopanda na kasi ya mabadiliko tajika nchini kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024-2025. Mbinyo, mgandamizo, songo mbingo, vitimbi, mazonge visa na mikasa ya kisiasa ni dhahiri vitamsukuma muungwana nje ya game na kulazimika kuwajibika mapema kabla ya mwaka ujao.
Nia, Dhamira, Malengo, Lugha ktk masuala kadha wa kadha , mathalani, dipi weldi, 2025 elections n.k. body language, facial expressions, and tones haisikilizani kabisa, from the party to the gov
Wasije wakaleta ya kwa akina bongo.Kuna mnyukano mkubwa sana unaendelea ndani ya Serikali kuhusinana na dhamira ya Waarabu wa UAE ndani ya Tanzania. Wanachokifanya Loliondo la kuwatorosha wanyama imewakera sana wanajeshi. Tegeni masikio kama yatamwagika nje.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mkuu hapo kwenye kumalizia Uzi wako umenyakua Points zote za Uzi...!Premier Majaliwa alikuwa akiiva sana na Mwendazake na siyo Mama na mpaka sasa Mama kuwa nae Kamheshimu na Kumvumilia mno.
Haihitaji Akili Kubwa kujua kuwa Kitendo cha Kumtea / Kumteulia Naibu Waziri Mkuu ni Kumtumia ujumbe kuwa humtaki ila huna jinsi na kutaka tu Kumtesa Kisaikolojia.
Kitakachotokea sasa ni Premier Majaliwa kufanya Kazi kwa Wasiwasi, kuhisi hakubaliki na Kuharibu kabisa Utendaji kwakuwa muda mwingi atautumia katika Kuwaza na Kuyashangaa yaliyotokea hasa la Kuteuliwa Naibu Waziri Mkuu.
Waziri Mkuu Majaliwa omba Kujiuzuru mapema kwani ukiona Anayetroti ( Anayepasha ) Nje ni Kipa jua haingii Beki.
MAMA ATAANGUSHA KISHIDA HADHIRANI, WE MWACHE TU.Sawia!... Kitendo cha kumchagua kaimu "Waziri Mkuu" tena mwenye portfolio nyingine ni kiashiria tosha kuwa.... Hamkani!... Lakini si shwari tena. Yanayoendelea kiutawala kwa sasa hakuna tofauti na management za Simba na Yanga. 😭
Sio rahisi kiasi hiko. Majaliwa tayari ana siri nyingi hawezi kuondolewa au kujiuzulu kwa namna yoyote ile kabla ya 2025.Kadiri ya joto la kisiasa linavyopanda na kasi ya mabadiliko tajika nchini kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024-2025. Mbinyo, mgandamizo, songo mbingo, vitimbi, mazonge visa na mikasa ya kisiasa ni dhahiri vitamsukuma muungwana nje ya game na kulazimika kuwajibika mapema kabla ya mwaka ujao.
Nia, Dhamira, Malengo, Lugha ktk masuala kadha wa kadha , mathalani, dipi weldi, 2025 elections n.k. body language, facial expressions, and tones haisikilizani kabisa, from the party to the gov
Walishatangaza operation ya kukamata wenye nguo zinazolandana na jeshi!!Kuna mnyukano mkubwa sana unaendelea ndani ya Serikali kuhusinana na dhamira ya Waarabu wa UAE ndani ya Tanzania. Wanachokifanya Loliondo la kuwatorosha wanyama imewakera sana wanajeshi. Tegeni masikio kama yatamwagika nje.
Mungu hawatupi waja wake hata siku moja,naazidi kutulinda na kutetea zidhi ya mbinyo wa hawa viumbe wake na mbinyo kwa taifa.Kadiri ya joto la kisiasa linavyopanda na kasi ya mabadiliko tajika nchini kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024-2025. Mbinyo, mgandamizo, songo mbingo, vitimbi, mazonge visa na mikasa ya kisiasa ni dhahiri vitamsukuma muungwana nje ya game na kulazimika kuwajibika mapema kabla ya mwaka ujao.
Nia, Dhamira, Malengo, Lugha ktk masuala kadha wa kadha , mathalani, dipi weldi, 2025 elections n.k. body language, facial expressions, and tones haisikilizani kabisa, from the party to the gov
Kwani banda ni la majogoo wote😂ni myukano haswaa,si mchezo!
Let things fall apart !!!Kadiri ya joto la kisiasa linavyopanda na kasi ya mabadiliko tajika nchini kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024-2025. Mbinyo, mgandamizo, songo mbingo, vitimbi, mazonge visa na mikasa ya kisiasa ni dhahiri vitamsukuma muungwana nje ya game na kulazimika kuwajibika mapema kabla ya mwaka ujao.
Nia, Dhamira, Malengo, Lugha ktk masuala kadha wa kadha , mathalani, dipi weldi, 2025 elections n.k. body language, facial expressions, and tones haisikilizani kabisa, from the party to the gov