Tetesi: Huenda Waziri mkubwa akaachia ngazi wakati wowote

Tetesi: Huenda Waziri mkubwa akaachia ngazi wakati wowote

Kadiri ya joto la kisiasa linavyopanda na kasi ya mabadiliko tajika nchini kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024-2025. Mbinyo, mgandamizo, songo mbingo, vitimbi, mazonge visa na mikasa ya kisiasa ni dhahiri vitamsukuma muungwana nje ya game na kulazimika kuwajibika mapema kabla ya mwaka ujao.

Nia, Dhamira, Malengo, Lugha ktk masuala kadha wa kadha , mathalani, dipi weldi, 2025 elections n.k. body language, facial expressions, and tones haisikilizani kabisa, from the party to the gov
Ukiwa kwenye siasa lazima uwe na plan B ili kulinda heshima na misimamo yako. Kama unachumia tumbo na unategemea siasa ili ule. Lazima utakuwa kama bendera inayofuata upepo.
 
Usijiuzulu hata kidogo. komaa tu jifanye hamnazo. Labda akufukuze kitu ambacho hawezi maana italeta picha mbaya. Mama ana wasiwasi mkubwa na team JPM (Ndugai, Majaliwa, Bashiru, Polepole na Sukuma Gang). Ukijiuzulu mwenyewe yatakukuta kama yale ya Ndugai.

haya ni mawazo ya mtu asiyejua namna serikali inavyofanya kazi, endeleeni kupiga ramli ikifika 2025 mnakosa Sera mnapigwa mchana kweupe Samia anatuvusha tena hadi 2030
 
Kadiri ya joto la kisiasa linavyopanda na kasi ya mabadiliko tajika nchini kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024-2025. Mbinyo, mgandamizo, songo mbingo, vitimbi, mazonge visa na mikasa ya kisiasa ni dhahiri vitamsukuma muungwana nje ya game na kulazimika kuwajibika mapema kabla ya mwaka ujao.

Nia, Dhamira, Malengo, Lugha ktk masuala kadha wa kadha , mathalani, dipi weldi, 2025 elections n.k. body language, facial expressions, and tones haisikilizani kabisa, from the party to the gov
Endelea kukaa chini ya mnazi ukisubiri papai lidondoke.
 
Kadiri ya joto la kisiasa linavyopanda na kasi ya mabadiliko tajika nchini kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024-2025. Mbinyo, mgandamizo, songo mbingo, vitimbi, mazonge visa na mikasa ya kisiasa ni dhahiri vitamsukuma muungwana nje ya game na kulazimika kuwajibika mapema kabla ya mwaka ujao.

Nia, Dhamira, Malengo, Lugha ktk masuala kadha wa kadha , mathalani, dipi weldi, 2025 elections n.k. body language, facial expressions, and tones haisikilizani kabisa, from the party to the gov
Ha ha ha ha kwamba viungo vya mwili vimegoma kushirikiana
 
Kadiri ya joto la kisiasa linavyopanda na kasi ya mabadiliko tajika nchini kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024-2025. Mbinyo, mgandamizo, songo mbingo, vitimbi, mazonge visa na mikasa ya kisiasa ni dhahiri vitamsukuma muungwana nje ya game na kulazimika kuwajibika mapema kabla ya mwaka ujao.

Nia, Dhamira, Malengo, Lugha ktk masuala kadha wa kadha , mathalani, dipi weldi, 2025 elections n.k. body language, facial expressions, and tones haisikilizani kabisa, from the party to the gov
Majaliwa ya majaliwa yamemjalia kupata msaidizi.Wanamtema kimremamrema.
 
Kuna mnyukano mkubwa sana unaendelea ndani ya Serikali kuhusinana na dhamira ya Waarabu wa UAE ndani ya Tanzania. Wanachokifanya Loliondo la kuwatorosha wanyama imewakera sana wanajeshi. Tegeni masikio kama yatamwagika nje.
Wasije wakaleta ya kwa akina bongo.
 
Premier Majaliwa alikuwa akiiva sana na Mwendazake na siyo Mama na mpaka sasa Mama kuwa nae Kamheshimu na Kumvumilia mno.

Haihitaji Akili Kubwa kujua kuwa Kitendo cha Kumtea / Kumteulia Naibu Waziri Mkuu ni Kumtumia ujumbe kuwa humtaki ila huna jinsi na kutaka tu Kumtesa Kisaikolojia.

Kitakachotokea sasa ni Premier Majaliwa kufanya Kazi kwa Wasiwasi, kuhisi hakubaliki na Kuharibu kabisa Utendaji kwakuwa muda mwingi atautumia katika Kuwaza na Kuyashangaa yaliyotokea hasa la Kuteuliwa Naibu Waziri Mkuu.

Waziri Mkuu Majaliwa omba Kujiuzuru mapema kwani ukiona Anayetroti ( Anayepasha ) Nje ni Kipa jua haingii Beki.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mkuu hapo kwenye kumalizia Uzi wako umenyakua Points zote za Uzi...!
 
Kadiri ya joto la kisiasa linavyopanda na kasi ya mabadiliko tajika nchini kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024-2025. Mbinyo, mgandamizo, songo mbingo, vitimbi, mazonge visa na mikasa ya kisiasa ni dhahiri vitamsukuma muungwana nje ya game na kulazimika kuwajibika mapema kabla ya mwaka ujao.

Nia, Dhamira, Malengo, Lugha ktk masuala kadha wa kadha , mathalani, dipi weldi, 2025 elections n.k. body language, facial expressions, and tones haisikilizani kabisa, from the party to the gov
Sio rahisi kiasi hiko. Majaliwa tayari ana siri nyingi hawezi kuondolewa au kujiuzulu kwa namna yoyote ile kabla ya 2025.

JK katika utawala wake aliwahi kuunda Wizara ya Afrika Mashariki ili tu Samwel Sitta awe Waziri na kupunguza fujo zake bungeni baada ya kutumbuliwa Uspika
 
Kuna mnyukano mkubwa sana unaendelea ndani ya Serikali kuhusinana na dhamira ya Waarabu wa UAE ndani ya Tanzania. Wanachokifanya Loliondo la kuwatorosha wanyama imewakera sana wanajeshi. Tegeni masikio kama yatamwagika nje.
Walishatangaza operation ya kukamata wenye nguo zinazolandana na jeshi!!

Mi nikatafakari hata;-

1.ina maana mabaka baka hawa hawaamini jeshi la polisi!!?

2.ina maana hawa jamaa hawamwamini anaeamrisha jeshi la polisi kuwa ANAWEZA kuamrisha jeshi hilo likafanya operation HADI WAO kutaka KUINGIA mzigoni!?

Sijui hiyo operation kama utaanza au ni tishio tu TUSUBIRI!!
 
Kadiri ya joto la kisiasa linavyopanda na kasi ya mabadiliko tajika nchini kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024-2025. Mbinyo, mgandamizo, songo mbingo, vitimbi, mazonge visa na mikasa ya kisiasa ni dhahiri vitamsukuma muungwana nje ya game na kulazimika kuwajibika mapema kabla ya mwaka ujao.

Nia, Dhamira, Malengo, Lugha ktk masuala kadha wa kadha , mathalani, dipi weldi, 2025 elections n.k. body language, facial expressions, and tones haisikilizani kabisa, from the party to the gov
Mungu hawatupi waja wake hata siku moja,naazidi kutulinda na kutetea zidhi ya mbinyo wa hawa viumbe wake na mbinyo kwa taifa.
 
Kadiri ya joto la kisiasa linavyopanda na kasi ya mabadiliko tajika nchini kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024-2025. Mbinyo, mgandamizo, songo mbingo, vitimbi, mazonge visa na mikasa ya kisiasa ni dhahiri vitamsukuma muungwana nje ya game na kulazimika kuwajibika mapema kabla ya mwaka ujao.

Nia, Dhamira, Malengo, Lugha ktk masuala kadha wa kadha , mathalani, dipi weldi, 2025 elections n.k. body language, facial expressions, and tones haisikilizani kabisa, from the party to the gov
Let things fall apart !!!
 
Back
Top Bottom