...Nakumbuka kama alipata ajali jijini Dar gari likamlalia Mkono ikabidi ukatwe. Niko tayari kusahihishwa.Eleza pia chanzo cha kukatwa mguu.
Usieleze kama vile tunajua.
Halafu huko huko Lindi aliyewahi kuwa Mbunge wa Mchinga Bwana Mudhihiri Mohamed Mudhihiri aliwahi kupata ajali akaumia mkono. Sikumbuki kama alikatwa au alikuwa kilema!
Pole sana Bwana Bwege mbunge maarufu Afrika ya Mashariki na Kati.
Huyo Kesi alikuwa mzee mmoja hamnazo sana, pamoja na kujipendekeza kwa Jiwe, walimla kichwa ubunge.Unaemuongelea wewe niAlly Kesi, alikua mbunge wa Nkasi.
Akili zake zilikua fyonto sana yule jamaa.Huyo Kesi alikuwa mzee mmoja hamnazo sana, pamoja na kujipendekeza kwa Jiwe, walimla kichwa ubunge.
Mimi mwenyewe sina kumbukumbu sana. Ninakumbuka nilikuwa sekondari na ni kabla ya 2010....Nakumbuka kama alipata ajali jijini Dar gari likamlalia Mkono ikabidi ukatwe. Niko tayari kusahihishwa.
Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
Ajabu ni kwamba sijui kama ndiye mwanzilishi wa huu msemoπKenya alitrend na "UMESIKIA WAPI"
Lakini kijiografia si yuko sawa? π€£Asante mkuu kwa kunikumbusha
Wale wabunge kutoka Zanzibar ambao ni sawa na wenyeviti wa vijiji huku bara walichukia sana ile kauli Ally Kesi.
Huyo ni Mudhihiri Mohamed Mudhihiri naye ni wa huko huko kusini.........Nakumbuka kama alipata ajali jijini Dar gari likamlalia Mkono ikabidi ukatwe. Niko tayari kusahihishwa.
Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
Upo mkuu?Sukari hiyo, pole Sana kwake.
Dah πHuyu ndiye aliyesema majimbo ya uchaguzi Zanzibar ni kama vijiji ukipuliza mluzi jimbo zima wanasikia.
Au nasema uongo ndugu zangu.
Hapana sio dar nafikiri ilikuwa Mafinga kule Iringa walikuwa kwenye safari za kamati za bunge...Nakumbuka kama alipata ajali jijini Dar gari likamlalia Mkono ikabidi ukatwe. Niko tayari kusahihishwa.
Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
Hata huyo aliyekuweka kwenye dunia isiyo chochote ana tatizo la Low I.QTatizo low I. Q.
Ok ahsante [emoji120] mkuu apo umefanya nikumbuke vyema mi nilikuwa nahisi huyu ndo yule mbunge wa mchingaEleza pia chanzo cha kukatwa mguu.
Usieleze kama vile tunajua.
Halafu huko huko Lindi aliyewahi kuwa Mbunge wa Mchinga Bwana Mudhihiri Mohamed Mudhihiri aliwahi kupata ajali akaumia mkono. Sikumbuki kama alikatwa au alikuwa kilema!
Pole sana Bwana Bwege mbunge maarufu Afrika ya Mashariki na Kati.
Hapana bossOk ahsante [emoji120] mkuu apo umefanya nikumbuke vyema mi nilikuwa nahisi huyu ndo yule mbunge wa mchinga
Ama jina maarufu Ally mabodiUnaemuongelea wewe ni Ally Kesi, alikua mbunge wa Nkasi.
Nipo mkuu unaendeleaje?Upo mkuu?
Sio wote bhana, CCM kuna watu wema pia.Kama watawala wanapitaga humu naomba waione hii wajue utawala wao wameupata kibahati bahati na muda wao utapita watapata saratani kila kona ya mwili wanajiona bora wanatunyanyasa wananchi sjui wanatuonaje ila watakufa kifo kibaya πππ
Sjapenda nilivyoandika ila lolote baya liwakute watawala wote wa ccm
Hujachanganya madawa kweli? Aliyesema kwamba Zanzibar ukisimama darajani ukapuliza filimbi Zanzibar nzima wanakusanyika ni Ali Kessy mbunge wa Namanyere, Nkansi Rukwa.Huyu ndiye aliyesema majimbo ya uchaguzi Zanzibar ni kama vijiji ukipuliza mluzi jimbo zima wanasikia.
Au nasema uongo ndugu zangu.