macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Ipi tena jamani? Nikumbushe...😍Na ile sifa yetu pia? 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipi tena jamani? Nikumbushe...😍Na ile sifa yetu pia? 😅
Jaribu kufanya hivyo kama hutolia mdomo waziMshahara/kipato cha miezi 2 cha anayeishi Marekani, kwa Tanzania ni mtaji tosha.
Ukiwa Marekani unawatumia pesa watu wakufunyie biashara. Ukirudi Tanzania unakuta mambo mazuri
Kule bana mtani kuanzia basement ni mbao..kuta ni mbao sijui ni mbao zile au mabanzi..nyumba inajengwa na nini bibie..?
Eti tunapenda sana 🍆 (inasemekana lakini)Ipi tena jamani? Nikumbushe...
Dah umehaso sana pole mungu asikie kilio chako upate unapohitaji dah difficult situationKawaida mzee
Nmekaa
Texas
London
Na new york kule chini
Nlikua nalala kwenye toyota NOAH umehaso sana yangu nliokua nabebea takataka
Maisha yakawa yanaenda poa kabisa
Shida ni ilikua mfano nisahau kutoa li palachichi au masalu ya nyanya ile harufu yake 🙌🏻
Nasema uwongo Kelsea ?
A secure bure baba baba hiyo rent ya viable land unaipata wapiMimi nitanunua container la 40 ft
Ila juu nitaezeka vizuri then ndo niweke container nitapata chumba , sebure jiko na choo haitozidi 10M
🤣🤣🤣🤣utajuta likifika bandarini utalitelekezaMi naomba waniokotee range nasikia wanatupa huko watu wanaokota 😹
😹😹😹🤣🤣🤣🤣utajuta likifika bandarini utalitelekeza
🤣🤣🤣🤣🤣Halafu atasema sijui nini nini Fallacy...hamna atanielekeza vizuri hana bayahuyo ataanza kukuuliza kweli ndio nini...?🤣
Muombe kaka Kiranga akuokotee ila ushuru utalipia mwenyewe TIHARAHEI😹😹😹
Hebu muungwana mmoja ajaribu nione km nitashindwa
Kuna watu wengine wana matatizo ya akili, wengine wana matatizo ya madawa ya kulevya, wengine wamefukuzwa kazi hawawezi kulipia nyumba, wanaishia kukaa kwenye magari. Ila si wengi kihivyo.Labda athibitishe Kiranga ndio nitaamini, eti mkuu ni kweli?
We toka nijue kuwa ndiye dada mkubwa mwenyewe unayetoa password hakuna fallacy wala farasi 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣Halafu atasema sijui nini nini Fallacy...hamna atanielekeza vizuri hana baya
Mkuu nyumba huku, watu wananunua kwa ma agent na uchumi wa nchi una determine market price yake, eneo pia hu determine price na factor nyingine.Hearsay stories