TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Umenikumbusha kuna ndugu zangu wako hapo Dar miaka zaidi ya 25 sasa hawana hata mia. Kila ukiwaambia jamani tokeni hapo kaangalieni fursa sehemu nyingine wanakataa kata kata kwa madai kwamba Dar ndio kuna mishe. Sasa hua najiuliza hizo mishe zina faida gani kama hazijaweza kukusaidia miaka yote hiyo..?Huko kwa nyumba za bei hio ni Kama Lindi au Mbinga ya Marekaniš hamna mtu anapenda kuishi Lindi Compared to Dar au Arusha za Marekani. Watu wanataka ishi New York, Atlanta, Florida au California ndio kwenye mishe.
Inakuaje mtu aone ni bora kulala kwenye boksi ilimradi awe anaishi mjini, kuliko kulala kwenye nyumba nzuri ila nje ya mji?