Huko ughaibuni ni kweli watu wanaishi kwenye magari kwasababu kodi ya pango ni kubwa

Kwahiyo Kiranga Anaishi kama tumbili na kuruka ruka hatulii sehemu moja?

Hebu comrade njoo ututoe tongotongo
Mkuu,

Hata mabilionea wenye majumba mengi kila sehemu wanaishi kama tumbili wanarukaruka hawatulii sehemu moja.

Mimi sijafikia level hiyo bado nina viunga vichache tu, sijafikia level ya "I got cribs in the the suburb, the hood and the city" like AZ.

Msikilize Mnyamwezi wa ukweli wa Queens New York City huyu kwanza.


View: https://youtu.be/BsY8dJXf5ko?si=9Ri2WiWXIeYrjPXM
 
Wewe umeelezea kiupana na umeeleweka....asante sana.....ila hapo kwenye dollars 1 kununua nyumba umenichanganya medulla umekosea au?
 
🤣🤣🤣🤣unajua naweza kukuharibia kwenye moja na mbili?I respect ur respect 🙏
Mwenyewe nimepita sehemu, nikaambiwa "Ngoja tumuulize dada mkubwa kwanza".

Haya, dada mkubwa mwenyewe kutoka sasa ikabidi tu nicheke kwanza.
 
Wewe umeelezea kiupana na umeeleweka....asante sana.....ila hapo kwenye dollars 1 kununua nyumba umenichanganya medulla umekosea au?
Kuna miji imepigika haina watu, ina nyumba zinaharibika, wanatafuta watu waje kukaa, kuzitengeneza hizo nyumba zisiharibike zaidi, na wapate walipa kodi.

Kwa hivyo kuna sehemu nyumba walikuwa wanauza mpaka $1.
 
Kweli kabisa kumiliki nyumba kama usa unatakiwa uwe una kipato aswa kwanza ardhi ni garama kubwa kuzipata na asilimia kubwa wengi ni wapangaji
 
Kuna miji imepigika haina watu, ina nyumba zinaharibika, wanatafuta watu waje kukaa, kuzitengeneza hizo nyumba zisiharibike zaidi, na wapate walipa kodi.

Kwa hivyo kuna sehemu nyumba walikuwa wanauza mpaka $1.
Aiseee hii kali....kumbe kulala kwenye gari kupenda
 
Huko ughaibuni mbona nasikia Wabongo wengi kazi yao kuhudumia wazee na wenye utindio wa ubongo mshahara wake kwa Mwezi n kama 15m anashimdwaje kulipa kodi....huko maisha safi sana mshahara wa Mbunge huo kwa Bongo
 
Karibu home pale kwenye lile gorofa....

 
Dah umehaso sana pole mungu asikie kilio chako upate unapohitaji dah difficult situation
Ahsante sana mkuu
Maisha haya yanataka kupambana
Texas pazuri sana ,mfano wali na mboga mboga inagonga dolla 1,
New York maisha ni ghali sana
Wali tu wenye mbilimbi dolla 3
Kelsea usichafue gazeti tafadhali 😁
 
Ahsante sana mkuu
Maisha haya yanataka kupambana
Texas pazuri sana ,mfano wali na mboga mboga inagonga dolla 1,
New York maisha ni ghali sana
Wali tu wenye mbilimbi dolla 3
Kelsea usichafue gazeti tafadhali 😁
Endelea kuota 😃😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…