Huku kwenye ndoa wake zetu wanatuuzia penzi

Huku kwenye ndoa wake zetu wanatuuzia penzi

Kuna umalaya au udangaji unaendelea kwenye ndoa. Yani ule muda unaomba tendo la ndoa, ndio mke anakukumbushia kitu ambacho ameomba au anakwambia nimechoka, au kama wataka umpe hela.

Ni jambo gumu sana kulifikiria lakin hakuna jinsi ndio uhalisia, inafika wakati unajua kabisa kua umeoa mtu mwenye trait za kimalaya ila unajipa muda.

Kama hujaoa, alichoongea dula makabila waweza kudhan ni uongo ila mimi ni mmoja wa wahanga, unaomba tunda unapewa bili au jambo fulani.

inauma na kufikirisha sana
Na wewe siku akiomba hela ya mezani sema vua chupi.
Mnawaendekeza sana wanawake ne deni nao taliban style thu hao
 
Huwezi kupingana na nature (asili). Umeoa mke hujawahi hata kumnunulia chuppi, wala tight, wala bikini, hata skirt tu, au tuseme sidiria, acha kiatu ~ hata malapa tu!!

Hakuna hata siku umemsapraizi na pipi ya 200/=, ukiongea nae ni kwa ukali tu muda wote, huwezi kupiga nae story Kila mmoja yupo bize na simu muda wote.

Hivi mwanamke wa kuishi nae kama hivo analowanaje kule chini ili walau upate utelezi wakati wa kumtombarrr!!?.

Kila binadamu ana mapungufu yake lakini kuvimbiana kuzidi kiasi kwangu mimi sio mpango, kwanza mke wangu kunibania uchi haileti ladha kwenye mahusiano baina yetu.

Kila jambo kwa kiasi
 
Kubaliana na ukweli kuwa penzi Lina expire kama chemicals hapa maabara!


Ukishaona Dana dana kibao usililie atakutesa ingia mzigoni,ishi maisha yako kabla ya ndoa ulivyoishi unakumbuka!!?
Ukijifanya mfia dini utagundua wanawake wengi wanapenda wafia dini coz wanawamudu Hadi kitandani na Wana wa twist watakavyo!na sio eti "mume wangu anampenda Mungu nafurahi sana!No big no no kwamba wafia dini wengi ni mazezeta Kwa wake zao !make anakunyima na huna pa kwenda zaidi ya kunyenyekea!!

Ongeza make au nunua!hakuna namna!
 
Binadamu bila kupewa kipigo huwa si muelewa kabisa. Siungi mkono domestic violence lakini.
 
Hilo n tatizo kubwa kwa karne hii mwingine atakukumbusha makosa yako yote pindi tu unapotaka unyumba...atataka umuamkie kwanza ili akupe kiujumla ndoa zimekuwa ndoano ful kulingishiana...kwasasa sina hamu na ndoa ndoa ni utumwa..nahamia kataa ndoa.
Uliwahi kuoa mkuu?
 
Kuna umalaya au udangaji unaendelea kwenye ndoa. Yani ule muda unaomba tendo la ndoa, ndio mke anakukumbushia kitu ambacho ameomba au anakwambia nimechoka, au kama wataka umpe hela.

Ni jambo gumu sana kulifikiria lakin hakuna jinsi ndio uhalisia, inafika wakati unajua kabisa kua umeoa mtu mwenye trait za kimalaya ila unajipa muda.

Kama hujaoa, alichoongea dula makabila waweza kudhan ni uongo ila mimi ni mmoja wa wahanga, unaomba tunda unapewa bili au jambo fulani.

inauma na kufikirisha sana

Kuna mtu nje anampa bila masharti; ewe mwanaume mwenzangu, kamwe usidanganyike mke atamaliza mwezi nyege hazimsumbui, ni uongo!
 
Kuna mdau kaongea la maana sana. Kumbuka ulivyoishi kabla ya kuoa. Hapa iko Siri kubwa sana. Wanawake asilimia kubwa ndani ya ndoa ni makahaba.
 
Back
Top Bottom