Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Wapo kibao ccm na kwenye mbio za mwengewanawake wa hivyo mnawatoa wapi? mnaangalia mishepu na weupe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo kibao ccm na kwenye mbio za mwengewanawake wa hivyo mnawatoa wapi? mnaangalia mishepu na weupe?
tatizo hillooWapo kibao ccm na kwenye mbi za mwenge
Au alijisahau kua ni mume wake akajua yuko na danga?Mim piah mbn mkuu nimekutwa na hivi vibwanga yani , fikiri nimekula tunda ananiambia nimemkula sana au muda naondoka nyumbn kurejea kazini nitamuongezea Hela niliwaza. Sana tenha sana
nipo kwenye ndoa mwaka Wa 10 lakin chungu kama shubiri soon naivunja.Uliwahi kuoa mkuu?
Achana nayonipo kwenye ndoa mwaka Wa 10 lakin chungu kama shubiri soon naivunja.
Huwezi kupingana na nature (asili). Umeoa mke hujawahi hata kumnunulia chuppi, wala tight, wala bikini, hata skirt tu, au tuseme sidiria, acha kiatu ~ hata malapa tu!!
Hakuna hata siku umemsapraizi na pipi ya 200/=, ukiongea nae ni kwa ukali tu muda wote, huwezi kupiga nae story Kila mmoja yupo bize na simu muda wote.
Hivi mwanamke wa kuishi nae kama hivo analowanaje kule chini ili walau upate utelezi wakati wa kumtombarrr!!?.
Kila binadamu ana mapungufu yake lakini kuvimbiana kuzidi kiasi kwangu mimi sio mpango, kwanza mke wangu kunibania uchi haileti ladha kwen
Namm nilihisi huko kua nikiwa mbali kuna mtu anamkatiaga miunoAu alijisahau kua ni mume wake akajua yuko na danga?
Hawana jema baadhi yao.Watu hawasemi tu wanaugulia ndani kwa ndani.Mim piah mbn mkuu nimekutwa na hivi vibwanga yani , fikiri nimekula tunda ananiambia nimemkula sana au muda naondoka nyumbn kurejea kazini nitamuongezea Hela niliwaza. Sana tenha sana
Yaan ni mwanzo tyu sijaweka ndani alikua ananifanyia hivyoo kweli wanaume wanapitia magumu kilichosahihi nikuanza kufanya matendoHawana jema baadhi yao.Watu hawasemi tu wanaugulia ndani kwa ndani.
Kikubwa fanya venye akili yake imetaka.
Kuna pahala miaka hiyo niliambiwa naona umeamua kuwa na mwingine hunitaki tena..😀😀😀😀😀
Ya nini uteseke...ni utulivu na umakini.Yaan ni mwanzo tyu sijaweka ndani alikua ananifanyia hivyoo kweli wanaume wanapitia magumu kilichosahihi nikuanza kufanya matendo
Uchi wa mwanamke sio kitu kidogo. Ni tiba ya mambo mengi mno kwetu sisi wanaumeVitu vidogo sana hivo kuvichukulia namna hiyo
Mkuu usiivunje atataka mgawane mali. We cha kufanya mpige matukio hasa usimtom** kabisa achana naye apigwe na wengine akija stuka uko mbali sana na ni marufuku kurudiana naye. Mwanaume ulishamsamehe ulipomkuta Hana bikra hiyo ilitosha kabisa hatusamehi Mara mbili.nipo kwenye ndoa mwaka Wa 10 lakin chungu kama shubiri soon naivunja.
Kwan mke wake ni mwanaume?sema mke wAko acha kugeneralize vitu vya kijinga
Ulichoongea ni kweli kipo sana na tunaomba kweli hela Mkuu mt huna hisia si bora uombe hela ukanunue kiwig😞😎🥴Kuna umalaya au udangaji unaendelea kwenye ndoa. Yani ule muda unaomba tendo la ndoa, ndio mke anakukumbushia kitu ambacho ameomba au anakwambia nimechoka, au kama wataka umpe hela.
Ni jambo gumu sana kulifikiria lakin hakuna jinsi ndio uhalisia, inafika wakati unajua kabisa kua umeoa mtu mwenye trait za kimalaya ila unajipa muda.
Kama hujaoa, alichoongea dula makabila waweza kudhan ni uongo ila mimi ni mmoja wa wahanga, unaomba tunda unapewa bili au jambo fulani.
inauma na kufikirisha sana
Nakusabahi mkuu..umemalizaaHuwezi kupingana na nature (asili). Umeoa mke hujawahi hata kumnunulia chuppi, wala tight, wala bikini, hata skirt tu, au tuseme sidiria, acha kiatu ~ hata malapa tu!!
Hakuna hata siku umemsapraizi na pipi ya 200/=, ukiongea nae ni kwa ukali tu muda wote, huwezi kupiga nae story Kila mmoja yupo bize na simu muda wote.
Hivi mwanamke wa kuishi nae kama hivo analowanaje kule chini ili walau upate utelezi wakati wa kumtombarrr!!?.
Kila binadamu ana mapungufu yake lakini kuvimbiana kuzidi kiasi kwangu mimi sio mpango, kwanza mke wangu kunibania uchi haileti ladha kwenye mahusiano baina yetu.
Kila jambo kwa kiasi
😆😆😆Au alijisahau kua ni mume wake akajua yuko na danga?