miviga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2024
- 1,721
- 6,037
Hivi huoni kama ni kama unajiuza? Yani unalipwa kwa kuto…a?Ulichoongea ni kweli kipo sana na tunaomba kweli hela Mkuu mt huna hisia si bora uombe hela ukanunue kiwig😞😎🥴
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huoni kama ni kama unajiuza? Yani unalipwa kwa kuto…a?Ulichoongea ni kweli kipo sana na tunaomba kweli hela Mkuu mt huna hisia si bora uombe hela ukanunue kiwig😞😎🥴
We umeona ni kujiuza ..relax .yapo sana tu...tukiomba helakipnd hcho tunapewa....Hivi huoni kama ni kama unajiuza? Yani unalipwa kwa kuto…a?
Miaka 10 bado hamjazoeana?nipo kwenye ndoa mwaka Wa 10 lakin chungu kama shubiri soon naivunja.
Ukiona hivyo ni kwa sababu huyo analipwa na wajanja mtaani, kishaona utamu wa kulipwa kwa ujira autoao.Kuna umalaya au udangaji unaendelea kwenye ndoa. Yani ule muda unaomba tendo la ndoa, ndio mke anakukumbushia kitu ambacho ameomba au anakwambia nimechoka, au kama wataka umpe hela.
Ni jambo gumu sana kulifikiria lakin hakuna jinsi ndio uhalisia, inafika wakati unajua kabisa kua umeoa mtu mwenye trait za kimalaya ila unajipa muda.
Kama hujaoa, alichoongea dula makabila waweza kudhan ni uongo ila mimi ni mmoja wa wahanga, unaomba tunda unapewa bili au jambo fulani.
inauma na kufikirisha sana
Hujui tu, inashusha sana mapenzi na hadhi yenu. Yani tunaona ni kama huyu ni malaya.We umeona ni kujiuza ..relax .yapo sana tu...tukiomba helakipnd hcho tunapewa....
mwanzo ilikuwa tam sahv shubiri ambayo haizoleki..inapekea kukusa amani ya moyo unapokuwa naye anakukera makusudiMiaka 10 bado hamjazoeana?
kweli aisee wanatukomoa tu.Kuna mtu nje anampa bila masharti; ewe mwanaume mwenzangu, kamwe usidanganyike mke atamaliza mwezi nyege hazimsumbui, ni uongo!
HahahaKuna umalaya au udangaji unaendelea kwenye ndoa. Yani ule muda unaomba tendo la ndoa, ndio mke anakukumbushia kitu ambacho ameomba au anakwambia nimechoka, au kama wataka umpe hela.
Ni jambo gumu sana kulifikiria lakin hakuna jinsi ndio uhalisia, inafika wakati unajua kabisa kua umeoa mtu mwenye trait za kimalaya ila unajipa muda.
Kama hujaoa, alichoongea dula makabila waweza kudhan ni uongo ila mimi ni mmoja wa wahanga, unaomba tunda unapewa bili au jambo fulani.
inauma na kufikirisha sana
Asante mie mzima hofu kwakoNakusabahi mkuu..umemalizaa
Maaaaamae wee bwege kweli na wee unakubali?, wewe hiyo ni Mali yako umeitolea mahari, Mali yako iendeshe wewe, usikubali ikuendeshe, mwanamke ni chombo kama vyombo vingine Tena Cha starehe.Kuna umalaya au udangaji unaendelea kwenye ndoa. Yani ule muda unaomba tendo la ndoa, ndio mke anakukumbushia kitu ambacho ameomba au anakwambia nimechoka, au kama wataka umpe hela.
Ni jambo gumu sana kulifikiria lakin hakuna jinsi ndio uhalisia, inafika wakati unajua kabisa kua umeoa mtu mwenye trait za kimalaya ila unajipa muda.
Kama hujaoa, alichoongea dula makabila waweza kudhan ni uongo ila mimi ni mmoja wa wahanga, unaomba tunda unapewa bili au jambo fulani.
inauma na kufikirisha sana