Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Siyo kweli kwamba makonda ana akili sana, bali wafuasi wake wengi wana akili kama yeye, hapa Tanzania std 7 wengi hawajui kuandika na kusoma vizuri na wana akili za maisha mitaani nyingi Sana. Ona graduates wanavyodhalilika mitaani kwa kujifunza kukaanga chips na bodaboda wakiwa watu wazima sana hawa hawampendi Makonda wala serikali.Makonda ndiyo habari ya mjini. Ana akili sana Makonda
Hawa UWT hawana akili mkuuUnamaanisha kuwa,
Katibu mwenezi wa CCM ni maarufu kuliko Mwenyekiti wake SSH?
Au Mimi ndo sijaelewaπ
Usimpuuze Kwa majibu ya kejeli,Hawa UWT hawana akili mkuu
π€£π€£saivi hata kibaraka hazungumzwi tena ee alishasema yoteee....Kwema Wakuu!
Sijui anatumia uchawi gani.
Sijui anatumia mbinu gani za kimedani.
Lakini huyu jamaa kwa sasa hakuna mwanasiasa yoyote ambaye anamsogelea kwa umaarufu hata kwa kilometa mia moja.
Kama ni riadha za siasa tunasema Makonda angeshatangazwa ndiye Mshindi kwa sababu tangu aingie kwenye riadha amewaweka wenzake wote pembeni na sio tuu pembeni bali mbali huko.
Jana kwenye Malumbano ya Hoja, ITV Makonda mbele.
Sokoni huko Makonda.
Bodaboda nao Makonda.
Kwenye Daladala Makonda.
Kwani Makonda kafanyaje?
Nilipofuatilia zaidi wengi wa washangiliaji wake wanasema kuwa Makonda ndiye Mtetezi wao, Makonda ndiye Magufuli wao.
Kwamba kwa nchi hii Watanzania waliowengi wanamchukulia Magufuli ndiye Masihi na sasa mrithi wake ni Makonda. Hayo ni mawazo na mtazamo wa watanzania hasa wa hali ya chini ambao ni zaidi ya asilimia 80 hivi.
Sio Chadema, sio ccm, sio Act hakuna mwanasiasa mashuhuri na mwenye ushawishi kwa Tanzania kumzidi Makonda. Hii inamaanisha nini? Kama hali itaendelea hivi basi Watu wataanza kumpenda na upendo siku zote uko na nguvu kuliko Mauti.
Ingawaje mimi sio mfuasi wa siasa za Makonda lakini nikiri kwa ukweli kuwa yeye ndiye amebeba kwa sasa siasa za nchi yetu. Jina lake likiwa kubwa na lenye kuandikwa na kusemwa na waliowengi.
Wasalamu
Kweli kabisa,π€£π€£saivi hata kibaraka hazungumzwi tena ee alishasema yoteee....
Tulimwambie ebana uwe na kiasi unaongea sana bakiza mengine akakataa, saivv hana hoja π€£
π€£π€£mpaka mseme yoteKweli kabisa,
Mwenezi Kwa sasa ni Maarufu kuliko SSH!!
Mvuto huo sio wake bali ni mvuto ule aliokuwa nao Mwendazake !Naona ukiingia YouTube trending kwenye top 20 makonda video zimejaa yeye tu kawapiku Mpaka wasanii.
Ndiyo unielewe sababu naishi nao kitaa ni wajinga sn, sahivi wanamjenga Makonda kisiasa kuliko Mwenyekiti waoUsimpuuze Kwa majibu ya kejeli,
Kuna kitu anakieleza, muhimu sana Kwa angle usoielewa.
Watu wanazikumbuka amsha amsha za Mwamba !!Kweli kabisa,
Mwenezi Kwa sasa ni Maarufu kuliko SSH!!
Hivi unadhani uko sahihiKwema Wakuu!
Sijui anatumia uchawi gani.
Sijui anatumia mbinu gani za kimedani.
Lakini huyu jamaa kwa sasa hakuna mwanasiasa yoyote ambaye anamsogelea kwa umaarufu hata kwa kilometa mia moja.
Kama ni riadha za siasa tunasema Makonda angeshatangazwa ndiye Mshindi kwa sababu tangu aingie kwenye riadha amewaweka wenzake wote pembeni na sio tuu pembeni bali mbali huko.
Jana kwenye Malumbano ya Hoja, ITV Makonda mbele.
Sokoni huko Makonda.
Bodaboda nao Makonda.
Kwenye Daladala Makonda.
Kwani Makonda kafanyaje?
Nilipofuatilia zaidi wengi wa washangiliaji wake wanasema kuwa Makonda ndiye Mtetezi wao, Makonda ndiye Magufuli wao.
Kwamba kwa nchi hii Watanzania waliowengi wanamchukulia Magufuli ndiye Masihi na sasa mrithi wake ni Makonda. Hayo ni mawazo na mtazamo wa watanzania hasa wa hali ya chini ambao ni zaidi ya asilimia 80 hivi.
Sio Chadema, sio ccm, sio Act hakuna mwanasiasa mashuhuri na mwenye ushawishi kwa Tanzania kumzidi Makonda. Hii inamaanisha nini? Kama hali itaendelea hivi basi Watu wataanza kumpenda na upendo siku zote uko na nguvu kuliko Mauti.
Ingawaje mimi sio mfuasi wa siasa za Makonda lakini nikiri kwa ukweli kuwa yeye ndiye amebeba kwa sasa siasa za nchi yetu. Jina lake likiwa kubwa na lenye kuandikwa na kusemwa na waliowengi.
Wasalamu
Wanafanya vizuri sababu wanakibomoa chama Chao Kwa kuifanya Serikali nzima ionekane Si kitu mbele ya Mwenezi.Ndiyo unielewe sababu naishi nao kitaa ni wajinga sn, sahivi wanamjenga Makonda kisiasa kuliko Mwenyekiti wao
Kassim, Lissu au Gwajima ndo wanaweza kuvaa viatu vya JPM na vikawaenea.Watu wanazikumbuka amsha amsha za Mwamba !!
Makonda ana akili za kuzaliwa, ni mzalendo na mchapa kazi. Mungu ambariki sana Makonda wetu.Siyo kweli kwamba makonda ana akili sana, bali wafuasi wake wengi wana akili kama yeye, hapa Tanzania std 7 wengi hawajui kuandika na kusoma vizuri na wana akili za maisha mitaani nyingi Sana. Ona graduates wanavyodhalilika mitaani kwa kujifunza kukaanga chips na bodaboda wakiwa watu wazima sana hawa hawampendi Makonda wala serikali.
Hivi unadhani uko sahihi
Hivi hujui kama kila goti litapigwa.......
Hivi hujui kwamba duniani hakuna haki
Hivi hujui kwamba Mungu atawalipia waliodhulumiwa
Hivi hujui kwamba Mungu ana adhabu kali saana.
Hivi alikwisha ungama
Ngoja tuone ! π πWanafanya vizuri sababu wanakibomoa chama Chao Kwa kuifanya Serikali nzima ionekane Si kitu mbele ya Mwenezi.
Wananchi tunafurahia move hii kama tu itasababisha chama kuangukia pua 2025.
Tatizo watanzania wanamuona Jpm kwa Makonda. Na sio uongo Jpm anawafuasi wengi sanaMakonda atumbuliwe Jukwaani na Maza uone Vigelegele vitakavyolipuka Kitaa, Watanzania wanapenda kuona aliyejuu anashushwa chini.
Mfano mwingine Maza akimfilisi Mo Dewji Jukwaani Popularity yake itapanda mara dufu.
Hao ndio WATANZANIA halisi.
Hayo mengine ni mbwembwe tu.
Jamaa anajua kucheza na beat iliyopo mioyoni mwa watu wengi !Tatizo watanzania wanamuona Jpm kwa Makonda. Na sio uongo Jpm anawafuasi wengi sana
T