Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Hiyo mkuu inaitwa human centric development. Huko hat kama unapeleka miradi ya maendeleo, lazima uwasikilize na wenyew nje ya hapo utajenga maghorofa na nje watalala fisi tuNimewasikia sana hao wasanii,ni maarufu sana kule Sukumaland.
Kama Nyanda madirisha nyimbo zake ni miuno na masoti tu. Yani ukitaka kuona ipupa haoni ndani kwa wasukuma tafuta video zake huyo jamaaNimewasikia sana hao wasanii,ni maarufu sana kule Sukumaland.
Kula chuma hichoSo funny 😂
Na wewe great thinker ukavua?Huyu misso, apewe maua yake, nimeona dogo ana trend mwaka jana, nakumbuka ruangwa pale aliwashaga moto, nilikua kwenye pikipiki. Anatuma watu wavue nguo na wakavua😂😂😂👏🏼Nimeona ana trend nimefurahi sana.
Hivi hii ni Tanzania?
Ndio mkuuHivi hii ni Tanzania?
Hawa ndio vijana wa Arusha?
Kuna msanii anaitwa mwanakang'wa na budagala 😆 wanapendwa sana pande hyo yan SukumaLand except Mwanza mwaka 2021 nlkuwa huko.Hii ni kama Shinyanga vijijini. Kuna mtu anaitwa Nyanda madeleka , Kuna Nyanda madirisha!.
Hao watu hata aje Chris brown hawez kusikilizwa mbele yao
Nimeiona but I never concentrate.Kula chuma hicho
View attachment 2822698
Hii nzuri na inafurahisha [emoji23][emoji23][emoji23]Ndio mkuu
Wee mzee kuna morogoro huko mbagala ikasome nao ni kama lindi tuWatu wa kusini Wana vibe sana,
Kwa Tanzania hapa hakuna wakuwafikia.
Tanzania hio huku ndani ndani huko Nan'dimbuchele ukishakatisha Nan'tumbo unapita Kan'taramba kwa mbele 🤪Hivi hii ni Tanzania?
Nimewasikia pia hao. Mziki wa kisukuma upo juu.Kuna msanii anaitwa mwanakang'wa na budagala 😆 wanapendwa sana pande hyo yan SukumaLand except Mwanza mwaka 2021 nlkuwa huko.
. Msanii aliye baki hapa Tanzania ni DJ Misondo tu..Aisee hii Tanzania ni kubwa sana, niko Mtwara linapokuja suala la burudani kwa mikoa ya Lindi na Mtwara hamna mtu aneyemfikia Dj Missondo kwa kusepa na kijiji.
Huyu jamaa akiwa sehemu anafanya yake hamna msanii yoyote atayethubutu kufanya show, maana itakuwa hasara.
Kwa huku Mtwara, msimamo wa vijana maarufu wenye ushawishi huko tofauti kidogo na Tanzania sehemu nyingine.
Kwa utafiti mdogo niliofanya top 5 yao iko hivi.
1.Dj Miso Misondo
2.Harmonize
3. Diamond
4. Ali Kiba
5. Marioo.
Unawaambia nini wana Mtwara?
Awa wagwantanam nimewaelewa 🤣🤣hawa dam zangu kabisa
Wapo vizuri😀Awa wagwantanam nimewaelewa 🤣🤣hawa dam zangu kabisa
Toto mayai toto chelechele toto dadi dadi yante yante uwez kuelewa hiz..na hawa warugaruga ndio wanakuwa dadi zenu mkienda jela ili manyau yasiwatifue nkunduMinyimbo ya kishamba sana
😀😀😀, Unyama sanaa. Hii thread Nashauri tuzungumze kuhusu missondo tu.