mwekwa ntandu
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,040
- 2,428
naona wapambe wa dj missondo wamejipanga sawa sawa kwenye hii thread wakianzisha uzi huku wakijijibu wenyewe,hii nchi ngumu sana ila ugali kuupata ni ngumu zaidi NI MWAKA WA KUFORCE MAMBO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa mwenye kofia kaivalia upande ndo anaonekana social icon mana kila style yake wengine wanafata
Ni jina la kijana mtafutaji wala si takataka kama ulivyosema.Misondo ndio takataka gani?
We zombi haujui"We miso misondo umepigaje hapo"....
Hahaha na zile nyimbo zao watu wanacheza na kuruka huku msanii anataja maduka ya mwanza na Geita ka mix na mdundo dah kwenye bulabho ilikuwa kazi sana baada ya kukaa kule kwa mda nikajikuta naanza kupenda zile ngomaHii ni kama Shinyanga vijijini. Kuna mtu anaitwa Nyanda madeleka , Kuna Nyanda madirisha!.
Hao watu hata aje Chris brown hawez kusikilizwa mbele yao
Mm nimekaa kule nikawa naona nyimbo Kali mno mana walikuwa wanazungusha viuno mpka jasho... Asee balaaHahaha na zile nyimbo zao watu wanacheza na kuruka huku msanii anataja maduka ya mwanza na Geita ka mix na mdundo dah kwenye bulabho ilikuwa kazi sana baada ya kukaa kule kwa mda nikajikuta naanza kupenda zile ngoma
Alikuja Ney kapiga show watu hawaelewi alivyopanda nyanda madirisha dah!!
We Miso Misondo umepigaje hapo?Aisee hii Tanzania ni kubwa sana, niko Mtwara linapokuja suala la burudani kwa mikoa ya Lindi na Mtwara hamna mtu aneyemfikia Dj Missondo kwa kusepa na kijiji.
Huyu jamaa akiwa sehemu anafanya yake hamna msanii yoyote atayethubutu kufanya show, maana itakuwa hasara.
Kwa huku Mtwara, msimamo wa vijana maarufu wenye ushawishi huko tofauti kidogo na Tanzania sehemu nyingine.
Kwa utafiti mdogo niliofanya top 5 yao iko hivi.
1.Dj Miso Misondo
2.Harmonize
3. Diamond
4. Ali Kiba
5. Marioo.
Unawaambia nini wana Mtwara?
Hakika jay z,rivk ross wote nawazid haoo mkuu ukanda huuHii ni kama Shinyanga vijijini. Kuna mtu anaitwa Nyanda madeleka , Kuna Nyanda madirisha!.
Hao watu hata aje Chris brown hawez kusikilizwa mbele yao
Ni km usukumani huko kuna wasanii wao wa kisukuma sisi hatuwajuiHuyo Miso Musonda ndo Nani ? Yaani mtu awe maarufu hata hajulikani
Sahihi kabisaaaaHii ni kama Shinyanga vijijini. Kuna mtu anaitwa Nyanda madeleka , Kuna Nyanda madirisha!.
Hao watu hata aje Chris brown hawez kusikilizwa mbele yao
Wanamizuka sana wana balaa sipendi kucheza ila hawa wanashawishiWanaleta mzuka sana hawa majamaa, cheza yao sasa🙌
Aisee hii Tanzania ni kubwa sana, niko Mtwara linapokuja suala la burudani kwa mikoa ya Lindi na Mtwara hamna mtu aneyemfikia Dj Missondo kwa kusepa na kijiji.
Huyu jamaa akiwa sehemu anafanya yake hamna msanii yoyote atayethubutu kufanya show, maana itakuwa hasara.
Kwa huku Mtwara, msimamo wa vijana maarufu wenye ushawishi huko tofauti kidogo na Tanzania sehemu nyingine.
Kwa utafiti mdogo niliofanya top 5 yao iko hivi.
1.Dj Miso Misondo
2.Harmonize
3. Diamond
4. Ali Kiba
5. Marioo.
Unawaambia nini wana Mtwara?
We utakuwa unacheza kimarekani, au sio?Wanamizuka sana wana balaa sipendi kucheza ila hawa wanashawishi
Kihalf americanWe utakuwa unacheza kimarekani, au sio?
Achaga dharau jomba [emoji23]Mimi Niko Mtwara na huyo misondo hata simjui...
Ukija kwenye suala la burudani Harmonize ni baba lao
Yaani we acha tu..Wanaleta mzuka sana hawa majamaa, cheza yao sasa🙌
😀😀 nilidhani ni mimi peke yangu tuYaani we acha tu..
Hako ka tune kamenikaa kichwani....
🎵Turututututu...tuu..tu...Turututututu...tuu..tuu...tututuuu...tutututu u🎵...