Huku Mtwara msimamo wa watu maarufu uko tofauti kidogo namba 1. Misso Misondo, 2. Harmonize, 3. Chibu, 4. Alikiba

Huku Mtwara msimamo wa watu maarufu uko tofauti kidogo namba 1. Misso Misondo, 2. Harmonize, 3. Chibu, 4. Alikiba

Hii ni kama Shinyanga vijijini. Kuna mtu anaitwa Nyanda madeleka , Kuna Nyanda madirisha!.

Hao watu hata aje Chris brown hawez kusikilizwa mbele yao
Hahaha na zile nyimbo zao watu wanacheza na kuruka huku msanii anataja maduka ya mwanza na Geita ka mix na mdundo dah kwenye bulabho ilikuwa kazi sana baada ya kukaa kule kwa mda nikajikuta naanza kupenda zile ngoma
Alikuja Ney kapiga show watu hawaelewi alivyopanda nyanda madirisha dah!!
 
Hahaha na zile nyimbo zao watu wanacheza na kuruka huku msanii anataja maduka ya mwanza na Geita ka mix na mdundo dah kwenye bulabho ilikuwa kazi sana baada ya kukaa kule kwa mda nikajikuta naanza kupenda zile ngoma
Alikuja Ney kapiga show watu hawaelewi alivyopanda nyanda madirisha dah!!
Mm nimekaa kule nikawa naona nyimbo Kali mno mana walikuwa wanazungusha viuno mpka jasho... Asee balaa
 
Aisee hii Tanzania ni kubwa sana, niko Mtwara linapokuja suala la burudani kwa mikoa ya Lindi na Mtwara hamna mtu aneyemfikia Dj Missondo kwa kusepa na kijiji.

Huyu jamaa akiwa sehemu anafanya yake hamna msanii yoyote atayethubutu kufanya show, maana itakuwa hasara.

Kwa huku Mtwara, msimamo wa vijana maarufu wenye ushawishi huko tofauti kidogo na Tanzania sehemu nyingine.

Kwa utafiti mdogo niliofanya top 5 yao iko hivi.
1.Dj Miso Misondo
2.Harmonize
3. Diamond
4. Ali Kiba
5. Marioo.
Unawaambia nini wana Mtwara?
We Miso Misondo umepigaje hapo?
 
Aisee hii Tanzania ni kubwa sana, niko Mtwara linapokuja suala la burudani kwa mikoa ya Lindi na Mtwara hamna mtu aneyemfikia Dj Missondo kwa kusepa na kijiji.

Huyu jamaa akiwa sehemu anafanya yake hamna msanii yoyote atayethubutu kufanya show, maana itakuwa hasara.

Kwa huku Mtwara, msimamo wa vijana maarufu wenye ushawishi huko tofauti kidogo na Tanzania sehemu nyingine.

Kwa utafiti mdogo niliofanya top 5 yao iko hivi.
1.Dj Miso Misondo
2.Harmonize
3. Diamond
4. Ali Kiba
5. Marioo.
Unawaambia nini wana Mtwara?

Maokoto
 
Back
Top Bottom