FANALEKI
JF-Expert Member
- Jul 28, 2023
- 237
- 438
Tumemfanyaje sisi wa 90'sKuna jamaa ameandika humu hataki kuwaona vijana wa 90's wakiishi, huku Wolper nae akiwahitaji zaidi vijana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumemfanyaje sisi wa 90'sKuna jamaa ameandika humu hataki kuwaona vijana wa 90's wakiishi, huku Wolper nae akiwahitaji zaidi vijana.
Jamaa aliandika humu kuwa etii mmekuwa kizazi cha laana, na kudai mnatakiwa kufa hahahahaaaaa.....Tumemfanyaje sisi wa 90's
Sasa hawa wa 2000's si ndio manyoka kabisaaJamaa aliandika humu kuwa etii mmekuwa kizazi cha laana, na kudai mnatakiwa kufa hahahahaaaaa.....
Au aligongewa mkeweJamaa aliandika humu kuwa etii mmekuwa kizazi cha laana, na kudai mnatakiwa kufa hahahahaaaaa.....
Hawezi huyo, ameshazoea upuuzi!Hivi akitafuta kamtu 'kyake' kamemzidi umri kiasi, akapendwa vizuri, akadekezwa, mtu ambaye hana umaarufu wowote, hatopata amani kweli..??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] c alisema Nenga alikataa kabisaa, ila nandy had alimshika mguu ndo akakubalii.Alisemaje, nikumbushe jamani
Kwahiyo na wewe unavyokazania mambo ya Israël & Palestine huku ukijua wazi kelele zako haziwezi kubadili chochote, akili yako iko kwenye kundi gani?Akili kubwa zinaongelea maendeleo.
Akili za kawaida zinaongelea matukio.
Akili mbovu zinaongelea watu.
Hata mimi najua hivyo, Nenga alikaza sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] c alisema Nenga alikataa kabisaa, ila nandy had alimshika mguu ndo akakubalii.
🤣🤣KumbeTatizo una nini cha ku-offer? Nao sio wajinga, hawachukui tu watu hovyohovyo!
Mkuu, kila mmoja ana namna yake ya kujipatia riziki iwe nzuri au mbaya tumuachie na maisha yake.Ila tukubaliane kuwa Mange kaamua kutumia roho yake mbaya vizuri na kujichumia utajiri. Yule mwanamke kaamua kwa dhati kabisa kuitumia roho yake mbaya kujipatia pesa.
Hahaha baba Naya ana kitu; atafika mbali sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] c alisema Nenga alikataa kabisaa, ila nandy had alimshika mguu ndo akakubalii.
Wanawake ni tofauti na wanaume.🤣🤣Kumbe
Na alikaza kweli; mwisho wa siku mama Naya akamuomba tu baba Naya aangalie mwenyewe kati yake na huyo girlfriend wake by then; nani atamfaa zaidi. Against all odds; mama Naya, akampata tena baba Naya. Such a beautiful love storyHata mimi najua hivyo, Nenga alikaza sana.
Ilibidi Nandy nae aombe mno hadi kurudiwa.
Kuna siku Nandy alimpost Bill kwenye birthday yake na maneno ya mapenzi, Bill aliwakaaaaa.
Alisema ana girlfriend, Nandy aheshimu hilo.
Ikabidi afute!