Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
- Thread starter
- #141
Kumba Irene ni baharia? LolsHumjui Uwoya,wasanii wabongo movie karibia wote kamaliza,ukija kwenye bongo fleva wengi wamemgonga. Tena uwoya anatabia fulani kama za wanaume,akikutaka anakutongoza mwenyewe, ila ukishamgonga anataka kila mtu na hamsini zake.Linex alijaribu kung'ang'ania akamwambiwa hana hela ya kumtunza.
Ukipata story za hawa wasanii makambini inaweza ukachoka,kwani huko huwaga ni mwendo wa kugongana.
Ila yeye ndio akanasa kwa Dogo Janja sasa, ama kweli ndege mjanja nae hunasa.