Huku ndoa yake ikipumulia mashine, Jack Wolper apata bwana mpya!

Huku ndoa yake ikipumulia mashine, Jack Wolper apata bwana mpya!

Alikuaga na nenga tayari ndo wakaachiaga na koneksheni ya kile kyupi....haya kaenda kwa marehemu huku wapenzi watazamaji tunajua kabisa "kosa la marehemu" halafu tena akarudi kwa nenga, ina maana hapo wote....aaahhh au basi tu
Heshima yako Mwenyekiti gelofriend.

Kipindi cha koneksheni ya kyupi; mama Naya alikuwa na jasiri muongoza njia. Yaani koneksheni ilitoka baadaye wakiwa wameshaachana. Baba Naya mwenyewe alisema alihisi kwa influence ya jasiri; ile issue ingeweza kumaliza career yake kabisa. Lakini jasiri alimsaidia sana hadi wakapata source ya koneksheni; na akawaomba tu wamsamehe aliyewavujishia video yao. Walikuja kurudiana baadaye sana after jasiri kufariki, na mama Naya alipambana sana kurudi kwenye maisha ya baba Naya as tayari alikuwa na binti mwingine. Those two; mimi huwa naona wanapendana kweli
 
Heshima yako Mwenyekiti gelofriend.

Kipindi cha koneksheni ya kyupi; mama Naya alikuwa na jasiri muongoza njia. Yaani koneksheni ilitoka baadaye wakiwa wameshaachana. Baba Naya mwenyewe alisema alihisi kwa influence ya jasiri; ile issue ingeweza kumaliza career yake kabisa. Lakini jasiri alimsaidia sana hadi wakapata source ya koneksheni; na akawaomba tu wamsamehe aliyewavujishia video yao. Walikuja kurudiana baadaye sana after jasiri kufafiki, na mama Naya alipambana sana kurudi kwenye maisha ya baba Naya as tayari alikuwa na binti mwingine. Those two; mimi huwa naona wanapendana kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Za siku nyingi gelofriend.....

Mi pia huwa naona wanapendana.....waendelee kudumu jini mkata kamba apite mbali
 
UNAJUA NI UJINGA NA USHENZI SANA HAWA DADA ZETU WA MJINI WANAOPENDA SPOTLIGHT IRENE PAUL YULE MDADA KAOELEWA NA MTU MWENYE HELA LAKINI LIFE YAKE KAIWEKA PRIVATE NAKUBALI LIFE STYLE YAKE WOLPER NA RICH MITINDO WALIPENDANA ILA SHOW OFF NYINGI YA PENZI SIO LA. KWELI BONGO HAMNA CELEBRITY KUNA SUPERSTAR HALAFU KUNA WALE WAJIVUNI WASHAMBAWASHAMBA WALIOTOKA MKOANI SASAIVI WANAIFANYA DAR YOTE YAO
 
Baada ya kipindi kirefu, nimeweka thread hii ya ubuyu katika jukwaa hili kama sehemu ya kumuenzi rafiki & binamu yangu warumi

Endelea kupumzika kwa amani binamu, niko hapa kuendeleza kile ulichokuwa unakipenda zaidi hapa JF.

Hadi tutakapoonana tena, RIP!
Keep resting family
 
Hapana, ilikuwa bado dear.

Alimuacha Nenga akafuata maokoto, jasiri alipotutoka ndio akarudi kwake sasa japo alipata shida maana Nenga hakumpokea kirahisi alimkazia kwanza.
Nenga naye kalegeza, na mtaji wa duka kapewa na huyo ndege mnana.
 
Nimekuja kugundua Wopler anapenda vivulana vidogo, wakubwa huwa ni madanga tu.

Refer Harmonize, kale kavulana sijui brown, mume Rich ndio hivyo nae mdogo…
Sina ushahidi lakini kwa ninachokiona inawezekana Wolper ndiye msanii aliyetembea na wanaume wengi sana wa bongo fleva
Halafu nahisi Wolper ni maharage ya mbeya duu!
Hivi ni msanii gani hajamuonja Wolper?

Mbususu ya Wolper lazima na yenyewe imepoteza kumbu kumbu kabisa sio kwa kuchanganywa huku aiseeee
 
Sina ushahidi lakini kwa ninachokiona inawezekana Wolper ndiye msanii aliyetembea na wanaume wengi sana wa bongo fleva
Halafu nahisi Wolper ni maharage ya mbeya duu!
Hivi ni msanii gani hajamuonja Wolper?

Mbususu ya Wolper lazima na yenyewe imepoteza kumbu kumbu kabisa sio kwa kuchanganywa huku aiseeee
Humjui Uwoya,wasanii wabongo movie karibia wote kamaliza,ukija kwenye bongo fleva wengi wamemgonga. Tena uwoya anatabia fulani kama za wanaume,akikutaka anakutongoza mwenyewe, ila ukishamgonga anataka kila mtu na hamsini zake.Linex alijaribu kung'ang'ania akamwambiwa hana hela ya kumtunza.

Ukipata story za hawa wasanii makambini inaweza ukachoka,kwani huko huwaga ni mwendo wa kugongana.
 
Sina ushahidi lakini kwa ninachokiona inawezekana Wolper ndiye msanii aliyetembea na wanaume wengi sana wa bongo fleva
Halafu nahisi Wolper ni maharage ya mbeya duu!
Hivi ni msanii gani hajamuonja Wolper?

Mbususu ya Wolper lazima na yenyewe imepoteza kumbu kumbu kabisa sio kwa kuchanganywa huku aiseeee
Hamna jamani unamuonea! Na huwezi kuwa na uhakika hasa ni nani kinara maana hayo mambo hufanyika sirini.
 
Back
Top Bottom