Huku ndoa yake ikipumulia mashine, Jack Wolper apata bwana mpya!

Maisha ya ndoa ni ibada huna Mungu ndani yako sahau kuhusu ndoa
Mungu ana siri kubwa, njia zake Mungu hazichunguziki kamwe, kuhusu mustakabali wa binadamu humpa amtakaye humnyima yeyote. Wangapi wametulia hawana ndoa, wangapi wahuni wana ndoa?!!
Ndoa ni mapenzi ya Mungu akikupangia hata binti awe anajiuza barabarani ataolewa tu hata akiwa hoyahoya atampata wa kumstiri,hata wanaume sisi tuwe walevi kupindukia au hauna maisha utampata wa kukufaa.
Mungu hajali nini wala nini, akitaka kukupa mchongo anakupa tu,hana baya.
 
Leo wadau mnatema madini mazito mazito 🙌🏾🙌🏾

Hii ndio kusema, Mungu ni wetu sote.
 
Wolper angetulia tu asije akavuka mkojo akaenda kwenye majanga zaidi bora ajikite kwenye kazi sasa hvi ni mama
 
Andiko la dhati namna hii lazima ka[emoji485] kahusike pia, otherwise umeandika in a very real and touching!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…