Huku ndoa yake ikipumulia mashine, Jack Wolper apata bwana mpya!

Warumi apumzike ktkt amani
Mbele yeye nyuma sisi, Mungu atujaalie vifo vyema,๐Ÿ™
 
Hapa tunarudi kwenye wazazi na malezi, wazazi wa hovyo waliwaacha watoto wao wakatumbukia kwenye shimo la umaarufu sasa hivi wanagombana na vijana wadogo wawaoe watoto wao waliokwisha kukubuhu!

Na wakati mwingine ni binti kujisimamia mwenyewe vilevile.

Mfano mzuri Sintah wa Juma Nature, alishtuka mapema akarudi shule sasa hivi yuko pazuri hana njaa.
 
Hivyo vivulana sio wanaume Mkuu. Yani mtu uoe mwanamke wa hovyo kisa amekuzalia?

Sisi tu wanawake hatuolewi hovyo na wanaume tuliowazalia bwana.
Billnas na mwenzie๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ baada ya mimba ndoa ikaharakishwa na huyo Wolper nae.
 
[emoji15][emoji15][emoji15] niffer kwani warumi alikufa? Lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ