Huku ni kukomoana, sijawahi kuona wala kusikia kama hili duniani, TRA mjiangalie

Huku ni kukomoana, sijawahi kuona wala kusikia kama hili duniani, TRA mjiangalie

Pamoja na umachinga wangu, bado nikasema nisaidie nchi yangu kwa kulipa kodi, nimechukua tin namba nikakata leseni nikafungua kiosk, nikakadiriwa nilipe laki nne kwa mwaka, kila miezi mitatu 100,000/=.

Nimelipa vizuri mara tatu, mara ya nne nimechelewa kwasababu zilizo nje ya uwezo wangu ikiwemo biashara kuchechemea,

Wiki iliyopita nikakopa ili nilipe deni la serikali nakuta kuna 100,000/= principal,
1500/= riba na 150,000/= adhabu au faini ajili ya kuchelewa kulipa,

Hivi kweli mimi nitafanya biashara halali tena?

Serikali na nyie tra mjiangalie sasa
Kws hiyo jumla wamekata sh ngapi?
 
Shida ni kujazana ujinga, mada za kodi zinataka uelewa wa sheria za kodi.

TRA awawezi amka asubuhi na kuamua wanakudai kiasi gani, sheria lazima itasema ukichekewa kulipa how much they can charge you.

Laki nne kwa mwaka, wewe ni mlipa kodi wa aina gani?

Kodi zipo tofauti VAT na income tax.

VAT Tanzania ulipi kama una mauzo ya tsh 200 million. Income Tax uwezi pangiwa it’s based on percantage.

Mada ni hadithi tupu.

Labda elezea hiyo kodi gani ambayo TRA wanaweza panga.

Uongo mtupu
Kaka ulishawahi kufanya biashara hata genge la Nyanya? Mbona ni mweupe hivi?
 
Pamoja na umachinga wangu, bado nikasema nisaidie nchi yangu kwa kulipa kodi, nimechukua tin namba nikakata leseni nikafungua kiosk, nikakadiriwa nilipe laki nne kwa mwaka, kila miezi mitatu 100,000/=.

Nimelipa vizuri mara tatu, mara ya nne nimechelewa kwasababu zilizo nje ya uwezo wangu ikiwemo biashara kuchechemea,

Wiki iliyopita nikakopa ili nilipe deni la serikali nakuta kuna 100,000/= principal,
1500/= riba na 150,000/= adhabu au faini ajili ya kuchelewa kulipa,

Hivi kweli mimi nitafanya biashara halali tena?

Serikali na nyie tra mjiangalie sasa
Cha kufanya unakijua. Kodi ndio inatumika kuteka watu
 
Hii taasisi for the most part inaendeshwa ki unprofessional sana. Kuna mwaka nilienda kumsajilia jamaa yngu biashara yake. Nikafika nikawaelezea vizuri kabisa hawa maafsa mchongo nao wakajidai wamenielewa. Sasa baada ya kuwakabidhi nyaraka zote za mshkaji wakaziingiza kwenye system dakika za mwisho wakaniambia sasa unatakiwa uweke kidole gumba hapo mimi nikashangaa sana!
Nikawauliza hii inakuwaje taarifa za mtu mwingine then mimi niweke biometric zangu si italeta shida? Wakasema hapana haina shida kuthibitisha akaniita kwenye screen kabisa kunionyesha taarifa za jamaa kila kitu kimekamilika..... Kishingo upande nikapunch japo nilikuwa na mashaka sana akilini WTF mistake??
Siku naenda kufungua tin yangu sasa nikiwa wilaya nyingine kabisa ofsa anaangalia kwenye system akaniambia wewe kupata tin kuna changamoto mfumo unakataa namuuliza sababu nini akasema ata yeye hajui. Hangaika sana pale ikabidi nimweleze ile scenario miaka kadhaa nyuma ya jamaa yangu akaniambia nimtajie hiyo tin ya jamaa yalaaaah!.... System inaonesha picha yangu na fingerprint ila majina na taarifa zingine zote za jamaa dah nikasema hii nilijua tu ni bomu hili ila ms*nge yule dada nikamwambia akajifanya hamna tatizo lolote we punch tu kumbe wakati napanch akanipiga na picha aisee

Wenzetu mbele taasisi kama hizi zina WELEDI sana nashangaa huku kwetu sijui ni kama tumerogwa vile... Hii kitu imeniletea shida sana dah sitamani kabisa kukumbuka.
Humo serikalini kumejaa watu wa ajabu ajabu
 
Kuna Kodi nyingi sana serikali kupitia TRA inapoteza kwa kulazimisha watu wachache wabebe mzigo wa waTZ wote.
Mfano Wamachinga hasa kkoo kwenye hizzi meza,madalali,mawinga,wauza dawa asili/tiba lishe,mafundi,wauza vyakula/vibanda vya chips/mama ntilie/migahawa/wauza juice/vinywaji n.k

Hawa watu wanaingiza pesa vibaya mnooo,ajabu tunabanwa watu na vimitaji vyetu vidogo vya kuunga unga,Lazima wafanyie kazi ili makali ya Kodi yapungue kwa walioamua kwa hiari kulipa Kodi ili wasije juta.

Kodi iqe lazima kwa wote bila ubaguzi,Hata madalali wajisajili na wapewe mashine ya EFD kama wengine na vimitaji vya million5 Tena ya mikopo tukalazimishwa tubblebe mashine za EFD.
Kodi ambayo inalipika italipwa ila wanachokifanya wanatengeneza amzingira ya kula rushwa hapo ndip tutakimbizana
 
Kuna Kodi nyingi sana serikali kupitia TRA inapoteza kwa kulazimisha watu wachache wabebe mzigo wa waTZ wote.
Mfano Wamachinga hasa kkoo kwenye hizzi meza,madalali,mawinga,wauza dawa asili/tiba lishe,mafundi,wauza vyakula/vibanda vya chips/mama ntilie/migahawa/wauza juice/vinywaji n.k

Hawa watu wanaingiza pesa vibaya mnooo,ajabu tunabanwa watu na vimitaji vyetu vidogo vya kuunga unga,Lazima wafanyie kazi ili makali ya Kodi yapungue kwa walioamua kwa hiari kulipa Kodi ili wasije juta.

Kodi iqe lazima kwa wote bila ubaguzi,Hata madalali wajisajili na wapewe mashine ya EFD kama wengine na vimitaji vya million5 Tena ya mikopo tukalazimishwa tubblebe mashine za EFD.
Mambo ya Kutanua Tax Base
 
Kaka ulishawahi kufanya biashara hata genge la Nyanya? Mbona ni mweupe hivi?
Ndugu kodi ni sheria sio takwa la mtu.

Na hata kama kuna kiwango, kuna fines ukichelewa.

Yote hayo yatakuwa kwenye sheria.

TRA ni administrator tu wa sheria za kodi, zinazopitashwa hawana mamlaka juu ya hapo.

Mtu ambae anasema kaonewa na TRA kwa maana nyingine hajui how taxation works.

TRA awawezi kukuonea kwenye maswala ya kodi; kama unaelewa maswala ya kodi.

Huo ndio uhalisia, mengine; ni uelewa mdogo tu siwezi laumu (I can see, why; sema story ni ndefu).

Asilimia 99 ya wachangiaji wa mada za kodi, awaelewi mambo ya kodi (including business’s) ndio ukweli.

Utasikia wewe una biashara, what has that got to do na uelewa wa kodi.

Ni kwamba hujui tu computation zake na sheria zake.
 
Tena mimi siongei sana na-screenshot namtumia yeye mwenyewe amalize wasinichoshe basi atajisemesha mpk basi 😹😹😹
Na kuniacha hawezi inabidi awe mpole
Huyo ni mmeo, boyfriend au baby daddy, mbona unaongea kama vile Unampiga vizinga kwa kumkomoa Lamomy
 
Pamoja na umachinga wangu, bado nikasema nisaidie nchi yangu kwa kulipa kodi, nimechukua tin namba nikakata leseni nikafungua kiosk, nikakadiriwa nilipe laki nne kwa mwaka, kila miezi mitatu 100,000/=.

Nimelipa vizuri mara tatu, mara ya nne nimechelewa kwasababu zilizo nje ya uwezo wangu ikiwemo biashara kuchechemea,

Wiki iliyopita nikakopa ili nilipe deni la serikali nakuta kuna 100,000/= principal,
1500/= riba na 150,000/= adhabu au faini ajili ya kuchelewa kulipa,

Hivi kweli mimi nitafanya biashara halali tena?

Serikali na nyie tra mjiangalie sasa
hakunaga adhabu ya kuchelewa kulipa ,ni interest
 
Na hawakuhurumii wala kujiuliza kwann unafunga biashara,

Cha ajabu Tra officer wakistaafu, nao wanatafuta kukwepa Kodi!

Mfumo huu mbovu ubadilishwe.

Katiba mpya ni sasa
 
We ni mfanyabiashara? Chelewesha wiki moja kulipa utapata jibu la uhakika, hapa sina njia nyingine ya kukusaidia kuelewa zaidi ya nilivyoandika
Wewe ni sole propriator ,so nimekujibu hivyo kuna kodi ingine sio kusema penalty 150,000 ya kutolipa . Labd hukufany makadirio 2 months ikaja hio 150,000 before 2024 june au wewe unakadiriwa dirishani

Tra toa raarifa , file kwa wakati , kuchelewesha kodi kunaongeleka kwa sasa wanaingilika kukubaliana
 
Je, ilitoka Taarifa Kwa mamlaka husika juu ya Madhira yako ya kiuchumi na mategemeo yako ya uchelewaji Wa ulipwaji Wa Deni???

Sasa umepangwa nyumba ya Mtu, Mda Wa kulipa na tarehe zinakaribia Mpaka zimepita umwvunga Tu kana Kwamba nyumba ni Yako, mwenye nyumba kaamua kukurushia Vitu nje unaanza kulalamika kuwa ni mbaya.

Watanzania tunatabia ya kuchukulia Vitu poapoa...

Tanzania ni nchi salama Kwa Uwekezaji, Biashara na ujasiliamali tena Kwa Kodi nafuu.

Nchi zingine za watu, Sasa hivi ungekuwa unaangaika na kutafuta mawakili. Na wakati huo Kodi ni 35% bado mapenati.

Tusikimbilie Tu kulalamika, Je, tulijaribu kutimiza wajibu itupasvyo??
Kwanza,Elewa maana ya machinga aliyejitolea kulioa kodi
Nimelipa hii vizuri ningekuwa nimechangia serikalini 400,000/= mimi kama machinga ni fahari kwangu,
So far nimeshachangia 300,000/= tena kwa hiyari na furaha, ila sheria inabidi ziangaliwe,
Sio msahafu in magu's voice
 
Wewe ni sole propriator ,so nimekujibu hivyo kuna kodi ingine sio kusema penalty 150,000, wewe unakadiriwa dirishani

Tra toa raarifa , file kwa wakati , kuchelewesha kodi kunaongeleka kwa sasa wanaingilika kukubaliana
Ndivyo nilivyoandikiwa kwamba
Principal 100,000/=,riba 1500/= na adhabu kwa mujibu wa sheria ni 150,000/=

Tena nimeekewa kabisa kwa mujibu wa sheria kwa msisitizo
 
Back
Top Bottom