Hata huku kwetu hakuna umeme.
Mashine hazifanyi kazi so wale mafundi carpentry wategemeao umeme kuendesha mashine zao hawana kazi leo.
Ni aibu aibu aibu aibu kwa nchi kukosa umeme
Ukiwa na Viongozi wa namna hiyo jua hakuna watu hapo mkuu eti tuuze Umeme wakati hapa tu hakuna hapo Panama wanafikiri kutengeneza Bwawa la ziada la kutunza maji ili kwenye ile Canal yao wanayopitisha meli yakipungua maji yaweze kuwasaidia sisi huku tukiwa na Vyanzo vya maji mengi kila mwaka tunatangaza maji machache Mtera tunataka Mwalimu Nyerere aje tena kujenga Bwawa la ziada la kutunza maji na kutumia makaa ya mawe kwa ajili ya kuzalisha Umeme..Na ndicho wanachokifanya
Hii nchi ina vituko sana yaani wauze umeme zambia wakati hapa ndani bado hali ni mbaya. Alieturoga kafa
Nashukuru mkuu, Ila Bora hata umeme ahuusiki ktk kufanya tendo la ndoa😂😂😂😂😂 pole mkuu subiri urudi saa 12 jioni
😂😂 kuna watu wangekufaNashukuru mkuu, Ila Bora hata umeme ahuusiki ktk kufanya tendo la ndoa😂😂😂
Maana tungeteseka na upwiru Sana 😂😂😂
Ni aibu kwa uongozi wetu wanapaswa kubadilikaUkiwa na Viongozi wa namna hiyo jua hakuna watu hapo mkuu eti tuuze Umeme wakati hapa tu hakuna hapo Panama wanafikiri kutengeneza Bwawa la Zidane la kutunza maji ili kwenye ile Canal yao wanayopitisha meli yakipungua maji yaweze kuwasaidia sisi huku Maji mengi kila mwaka tunatangaza maji machache Mtera tunataka Mwalimu Nyerere aje tena kujenga Bwawa la ziada la kutunza maji na kutumia makaa ya mawe kwa ajili ya kuzalisha Umeme..
😂😂hyo ni knondoni,kawe,msasani,masaki,mikocheni,magomeni kati ya hzo sehemuKwa maeneo niliyopo umeme haukuwahi kukatika licha ya hali ya ukosekanaji wa umeme kwa muda unaondelea kwenye baadhi ya maeneo nchini.
Leo naamka umeme hakuna nikajua ni luku imeisha kumbe tayari washachukua umeme wao.
Hali ni tete kwa wanaotegemea umeme kwenye kuendesha biashara zao, sijui hii changamoto itadumu mpaka lini?
TANESCO TANESCO TANESCO
Nchi imefunguka nadhan mtalishuhdia hiliHaupo
Kwakweli uongozi wa safari hii ni wa hovyo mno
njoo apa tanesko tucheze draft mkuu maan kukaa ndaNi jauNiko mitaa mikocheni feza huku hakuna umeme
Ova
unapikia rice kuka?...saa 12 asubuhi tu nilikua nimebakiza kama dk 10 wali uive... Dah wali wangu dah...
Poleni wakuuNiko mitaa mikocheni feza huku hakuna umeme
Ova
Umeme hakuna sehemu nyingi sana nje ya ulizozitaja.😂😂hyo ni knondoni,kawe,msasani,masaki,mikocheni,magomeni kati ya hzo sehemu
Mnaliwa bila chumviUnakuwa mtalii wa ndani ghafla
Kwa hiyo Hadi tanesco hawana umeme hahahahnjoo apa tanesko tucheze draft mkuu maan kukaa ndaNi jau
mpka tanesco nao hawan kitu wanruka ruka t apaKwa hiyo Hadi tanesco hawana umeme hahahah
Mulemule😂 mwanae kipara ?
Akamtoa na maharage mapema kabisa
Wametoka nje ya jengo hamna AC ndani?mpka tanesco nao hawan kitu wanruka ruka t apa
Upo mikocheni gani kuna mikocheni ya viongozi kule huwa hawakati umemeNiko mitaa mikocheni feza huku hakuna umeme
Ova