Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Acha uongo.
 
Lakini mbona kwao kwenyewe kuna mji unaitwa Makunduchi! Tena nasikia kiswahili wanachoongea wa kule Makunduchi ndiyo balaa bora hata cha wa huko mjini!
Yaani mtu akikuita mmakunduchi, ana maanisha wewe ni mjinga was mwisho. Ya wamakunduchi wale jamaa ni zero brain kabisa
 
Acha uongo!

Kuchamba ni kutawadha.
Wima ni ukiwa umesimama.
Eneo linaloitwa Mchamba wima, chanzo chake eneo hilo ilikuwa ikinyesha mvua wakati wa kupita maji yalikuwa yanajaa, hivyo ukipita inakuwa nisawa na unatawadha (kuchamba) ukiwa umesimama. Ndio maana ya kuitwa mchamba wima.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] poro ni mfuko was kiroba.
 
Dagaa mchele wanaita UPAPA[emoji16][emoji16][emoji16].
ZANZIBAR napapenda sanaaa.
Msivunje Muungano nyie ni ndugu zetu..
Siyo kweli. Hivi chief unapata raha gani kuongea uongo.
Sardine = upapa
 
Wanajamii forum, naomba kuuliza. Hivi mtu huwa anajiskia raha gani kuongea uongo au kuongelea kitu ambacho hakijui ukweli wake? Kwanini kama mtu hajui maana au tafsiri ya kitu asiulize kwa wenye kujua? Au anapata faida gani kuongea uongo??
 
Kuna kipindi Zanzibar pombe ilikuwa mahotelin Tu na bar moja ya CCM.

Sijui sasa

Sasa condoms aisee zilikuwa zinauzwa Duka moja tu pale mjini
Mpaka sasa condom ni ishu mpaka uwe mzoefu.

Sehemu za pombe ziko kibao siku hizi
 
Na wanaoita markiti labda watu/wazee wazamani.
Tatizo watu hawaelewi, Zanzibar ilikuwa chini ya tawala mbili kwa wakati mmoja.
Ilikuwa ni Koloni la Waoman na Waingereza kwa Ujumla, hivyo kuita vyovyote vile ni sawa
English Market = Marikiti
Arabic (السوق) Souk = Soko
Sasa hapo tatizo lipo wapi hapo?
 
Mulemule
 
[emoji115][emoji115]Mule mule wapi? Uongo ulioandika haufanani na maelezo yangu! Acha uongo!!
Wanajamii forum, naomba kuuliza. Hivi mtu huwa anajiskia raha gani kuongea uongo au kuongelea kitu ambacho hakijui ukweli wake? Kwanini kama mtu hajui maana au tafsiri ya kitu asiulize kwa wenye kujua? Au anapata faida gani kuongea uongo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…