Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Nadhani ni uoga tuu Ila wanapenda Sana mapigo ya kibongoHivi kwanini ni wabaguzi sana hawatupendi sisi ikiwa Dada zetu wanawatafuna?
Hao jamaa wamekaa kivyao vyao sana
Mjomba wangu huko alipoenda akarudi kabadili dini anaitwa alli
La sivyo utafute walitalikiwa, wanatoa vizuri sanaMkulungwa kupata papuchi kazi sana hadi upate mbara mwenzako!
Acha uongo.Mgeni akifika Zanzibar, watu wa huku ukiwatizama wanazuga kama hawana tyme nae!
Lakini lazima huwa wanamfuatilia nyuma nyuma kuona anaelekea wapi na ni mgeni wa nani!
Wakishajiridhisha mahala ulipofikia wakikuona tena!!
Utawasikia " Huyu si aishi pale kwa Ariiiiii!!" (Yaani mgeni wa Ally)
Wanawake huku Zanzibar waoga sana kusemeshwa njiani na mtu wa bara, yaani hata ukimsalimia anaitikia kwa sauti ya chini wala hasimami!
Huku Zanzibari;
Hakika huku Zanzibar ni tabu tupu, nasubiri tarehe 30 nirudi zangu bara!
- Round about inaitwa (ikipinda) au (mviringo), kwenye daladala utasikia Shusha hapo ikipindaaah! Maana yake shusha round about
- Huku Zanzibar sufuria linaitwa dishi,
- Kisima cha maji kinaitwa kisima cha kuvuta
- Huku hakuna fundi bomba Bali kuna fundi mfereji, ukitaka maji ya bomba inabidi useme unaomba maji ya mferejini
- Pombe wanaita- moja moto moja baridi
- Ukitafuta chupi utazunguka sana hupati hadi useme unatafuta HAFU
- Shule huku zinaitwa skuli
- Ukitaka kununua chepe/koleo huku hawalijui hadi useme unataka Li-PAULO
Jane hujambo?Ha ha haaa eti chupi inaitwa Hafu. Hatari sana
Yaani mtu akikuita mmakunduchi, ana maanisha wewe ni mjinga was mwisho. Ya wamakunduchi wale jamaa ni zero brain kabisaLakini mbona kwao kwenyewe kuna mji unaitwa Makunduchi! Tena nasikia kiswahili wanachoongea wa kule Makunduchi ndiyo balaa bora hata cha wa huko mjini!
Kuna siku nilikuwa kwenye dala dala dada moja akasema "konda niweke tobo la pili" tulijikuta dala dala nzima tunachekaKushuka kwenye daladala utaambiwa tuweke, au tuache
Tuache mkunazi wa pili
Tuweke kisonge
Acha uongo!Wanasema maeneo hayo yalikuwa na majani yenye miiba (mbigiri) enzi hizo kabla ya maji ya mfereji kuna, walikuwa wanachamba kwa kuburuza Makarios mchangani , sasa eneo hilo walishindwa kwasababu ya miba miba; Hivyo ikabidi wawe wanachamba wima kwa majani kama tissue! NDO PAKAZOELEKA MCHAMBA WIMA
[emoji23][emoji23][emoji23] poro ni mfuko was kiroba."Konda nishushie poro langu au wanasema kiporo"[emoji23][emoji23] poro ni mzigo kama vile unga wa kilo 25 au mchele.. akienda dukani kununua mchele wa kilo 25 au unga wanaita poro la sembe au poro la mchele.. for the first time kwenye gari kuna mama alikuwa anashuka akamwambia konda nishushie kiporo changu [emoji23][emoji23] mi nikajua uporo chakula kilicholala hatari tupu.[emoji28]
Na pia ndio nchi ya kwanza kuwa na jengo lenye lift Africa nzimaONGEENI YOOOTE ILA MSISAHAU KWAMBA ZENJI NDIO NCHI YA KWANZA KUWA NA TELEVISHENI YA RANGI AFRIKA NZIMA.
Siyo kweli. Hivi chief unapata raha gani kuongea uongo.Dagaa mchele wanaita UPAPA[emoji16][emoji16][emoji16].
ZANZIBAR napapenda sanaaa.
Msivunje Muungano nyie ni ndugu zetu..
Sio kweli.Nafikiri Zanzibar salamu ya "shikamoo" hawaitumii
Mpaka sasa condom ni ishu mpaka uwe mzoefu.Kuna kipindi Zanzibar pombe ilikuwa mahotelin Tu na bar moja ya CCM.
Sijui sasa
Sasa condoms aisee zilikuwa zinauzwa Duka moja tu pale mjini
Ni Televisheni ya kwanza ya rangi kwa Afrika Mashariki na kati na sio Afrika nzima.Yeah mwaka 1972
Wewe uongo zambiMachangudoa walio Zanzibar ni WA bara na kwenda kufanyia ufuska Zanzibar. Hakuna changudoa mzanzibar.
Tatizo watu hawaelewi, Zanzibar ilikuwa chini ya tawala mbili kwa wakati mmoja.Na wanaoita markiti labda watu/wazee wazamani.
MulemuleAcha uongo!
Kuchamba ni kutawadha.
Wima ni ukiwa umesimama.
Eneo linaloitwa Mchamba wima, chanzo chake eneo hilo ilikuwa ikinyesha mvua wakati wa kupita maji yalikuwa yanajaa, hivyo ukipita inakuwa nisawa na unatawadha (kuchamba) ukiwa umesimama. Ndio maana ya kuitwa mchamba wima.
[emoji115][emoji115]Mule mule wapi? Uongo ulioandika haufanani na maelezo yangu! Acha uongo!!Wanasema maeneo hayo yalikuwa na majani yenye miiba (mbigiri) enzi hizo kabla ya maji ya mfereji kuna, walikuwa wanachamba kwa kuburuza Makarios mchangani , sasa eneo hilo walishindwa kwasababu ya miba miba; Hivyo ikabidi wawe wanachamba wima kwa majani kama tissue! NDO PAKAZOELEKA MCHAMBA WIMA
Wanajamii forum, naomba kuuliza. Hivi mtu huwa anajiskia raha gani kuongea uongo au kuongelea kitu ambacho hakijui ukweli wake? Kwanini kama mtu hajui maana au tafsiri ya kitu asiulize kwa wenye kujua? Au anapata faida gani kuongea uongo??
Huo ndio ukweli, kuna machangudoa ninaowafahamu, hawapungui 40 ambao wote niliwagonga kupitia badoo, wote wako Zenji kwa sasa.Wewe uongo zambi