Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Kuna shule inatwa kidoti.. skuli ya kidoti nikajua kidoti huyu tumjuae kumbe ni jina la eneo..😂
 
Kuna siku nilikuwa kwenye dala dala dada moja akasema "konda niweke tobo la pili" tulijikuta dala dala nzima tunacheka

Konda anamwambia dereva zuia mkunazini (Anamaanisha shusha mkunazini).
 
Sasa uko walipokutoeni hawakuwafundisha vitu basic kama ivo? 😀 maskini wanakuteseni kweli, kwani mnarudi tarehe 30 au 28 na boti ya jioni?
 
Wewe uongo zambi
Mkuu huo ndio ukweli,
Aslimia kubwa sanaa ya machangudoaa waliopo Zanzibar ni kutoka Bara.
Tatizo leo nyinyi watu wa bara munapenda kuyachukulia maneno munayo yasikia,
Na kuyamini kwa aslimia kubwa bila kufanya uchunguzi.
Naona humu munapigana uongo mwingi kuhusu Zanzibar yetu but hatupo kama munavyodhani.
 
Kuna shule inatwa kidoti.. skuli ya kidoti nikajua kidoti huyu tumjuae kumbe ni jina la eneo..[emoji23]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Ukienda Pemba ndio utachoka

Au hapo Unguja nenda tumbatu au makunduchi. Unaweza usielewe wanaongea lugha gani
 
Bila kusahau kilima nyege
 
Ahahahahaa.
Sikutokea kupafurahia kwa mara 2 ambazo nimekwenda huko.Sijapapenda bado labda ile go&return on samesae day
 
Hata wakili wanaita vakili.....
ofisi wanaita afisi
watu wa ajabu sana wale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…