ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 3,971
- 4,440
Machangudoa waliozenji ni WA bara na sio wazanzibar halisi.Mbona machangudoa wa bara hawalii lakini wa Zanzibar wanalia hatari kitandani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Machangudoa waliozenji ni WA bara na sio wazanzibar halisi.Mbona machangudoa wa bara hawalii lakini wa Zanzibar wanalia hatari kitandani?
Fanya u prove bhasi! Weka japo picha[emoji115][emoji115]Mule mule wapi? Uongo ulioandika haufanani na maelezo yangu! Acha uongo!!
Kuna siku nilikuwa kwenye dala dala dada moja akasema "konda niweke tobo la pili" tulijikuta dala dala nzima tunacheka
Ndio maana machogo hamtakiwi makafir wakubwa, mnawaharibia nchi yao.Mpaka sasa condom ni ishu mpaka uwe mzoefu.
Sehemu za pombe ziko kibao siku hizi
Hajauliza yeye ni nani na kaenda wapi au unataka wakushushe tobo la pili michezaniWewe ni askari umeenda kwaajili ya mishe za uchaguzi?
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Mkuu huo ndio ukweli,Wewe uongo zambi
Tuambie Wewe unayejuaAliyekuambia naye kaambiwa!Ukitaka kuijua Zenj ustaarabu ulipoanzia ili kusambaa huku bara nenda mwenyew katembee Zenji
Unataka picha ya nini kwa mfano?Fanya u prove bhasi! Weka japo picha
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Kuna shule inatwa kidoti.. skuli ya kidoti nikajua kidoti huyu tumjuae kumbe ni jina la eneo..[emoji23]
sheheh wa mzigo bakwata yeye anaita sumaku😅😅Vutu=anus
Vutu wewe
Ukienda Pemba ndio utachokaKiukweli ni pazuri na pa kipekee sana asikuambie mtu!
Kuhusu pisi sijui mkuu mimi ni KE ila kuhusu lafudhi na lugha yao kwa sisi wabara tulivyo na vichwa vibovu huwa tunaishia kushangaa na kucheka wanavyoongea vile maana sisi tunaona kama matusi kumbe wenzetu kule kwao hayo maneno ni ya kawaida tu!
Hata nikivaa kanzu siwapati!!?Mkulungwa kupata papuchi kazi sana hadi upate mbara mwenzako!
Siyo kweli. Hivi chief unapata raha gani kuongea uongo.
Sardine = upapa
Bila kusahau kilima nyege[emoji23][emoji23] [emoji1787][emoji1787]
Makazi (Nyumba) wanaita Makalio
Utasikia mafuriko yameharibu makalio ya watu zaidi ya 600
Kubisha wanaita Kudinda
Utasikia mie nilimuambia fanya hivi usifanye vile yeye akadinda
Majina ya maeneo sasa ndiyo utacheka uzimie sijui Mchamba wima mara Kibanda maiti! Kuna sehemu inaitwa sijui Banda la Karafuu kata ya Pita na Zako!