Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Mkuu nimeishi Zanzibar miaka 7 kwahiyo ninachokiongea Nina uhakika nacho.

Nimewala Sana wazanzibari; ukiwajulia vizuri ni maharage ya Mbeya Tena take mabichi
Mkuu,kama ww umekaa Zanzibar miaka 7
Mm ndipo nilipozaliwa na kukulia na mpaka saiv naishi Zanzibar.

Kwa maana naijuwa vzr Zanzibar yangu maana nishaishi Pembaa na Unguja pia.

Nasema tena ,tatizo lenu nyinyi munapenda kuyaamini maneno ya kuambiwa wakati mengne ni uwongo.

Ww unasema umekaa miaka 7 ,miaka 7 yenyewe umekaa Makunduchi huko au Bumbwini,sasa ww elezea kuhsu utamaduni wa Makunduchi sio wa Zanzibar .

Halafu unakuja hapa kusema uongo kuhusu utamaduni wa Zanzibar,huoni aibu kuwalisha watu matango pori mkuu?
 
"Sasa hapa tatizo liko wapi?"

Ooh tatizo ni wewe kwa kudhani ni tatizo

Mtoa mada hajasema ni tatizo ila inashangaza na kuchekesha tu
Mkuu tatizo lipo maana mtoa mada ameandika baadhi ya vitu ambavyo si vya kwel,
Na wachangiaji wengine wamekuja kuendeleeza uwongo,
Kwa maana hiyo munawadanganya watu
 
Naomba nikurekebishe sio harage wanasema haragwe.
Yeah wengi wasema hivyo ila hapo mie nimemnukuu yule dereva wa bodaboda aliyenipakia ndiyo alisema "harage"
 
Usiombe uende huko vinijini, wakiongea unaweza usiam ilie kitu[emoji23]
Kabisa yani. Imagine pale mjini tu kuna vitu hauelewi halafu unaambiwa bora wa mjini kule shamba ndiyo kabisa hauelewi kitu.
 
Ukienda Pemba ndio utachoka

Au hapo Unguja nenda tumbatu au makunduchi. Unaweza usielewe wanaongea lugha gani
Kabisa yani. Kule wanaweza wakakufanya ujione haujui kiswahili.
 
Mkuu tatizo lipo maana mtoa mada ameandika baadhi ya vitu ambavyo si vya kwel,
Na wachangiaji wengine wamekuja kuendeleeza uwongo,
Kwa maana hiyo munawadanganya watu
Take it easy, this is JF

Usichukulie kila kitu serious
 
Huko kulitakiwa kuwa sehemu ya mkoa wa Tanga
 
 
 
Pia hakipo, maana hata Mzanzibar akienda Simanjiro, Arusha au Manyara akikutana na Wasandawe wanavyoongea, je kuna cha kuchekesha kwake!?
Inategemea na aina ya mbavu zake, kwani wote tumechekeshwa na ya Zenji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…