Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tufanye subira..
Uhuru kamili wa Mahaka umebaki Mahakama Ya Rufani, maana huko angalau kuna jopo la Majaji ambao hupiga kura ya siri.Mahakama ni chombo huru,idhihirishe uhuru wake kwa kutenda haki.
Hakuna kuleft wala kuright!! ni hapa hapa mpaa kieleweke.Jaman tuambien mapema tuanze kuleft jf
Hatukuelewi mbona au umetumwa na Katibu mwenezi wa propaganda za kifisaadi utuvuruge?Jaman tuambien mapema tuanze kuleft jf
... Osama Bin Laden 😉😉😉Hawa miungu watu wanasahau kuwa baada ya kufa jina linaendelea kuishi mfano; Ibrahim,Joseph, David, Nuhu, Samson, .....bila kumsahau Mwangosi, Lisu, Lema, Max Melo ....... kwa upande wa pili majini kama; Caini, pilato, Saul, Farao...idi amini. nafikiri ukiitwa hayo majina hata kutongoza utapata shidaaa bila kusahau huduma za jamii. Namuomba mshauri wa hawa Wagalatia (Makomeo, Bashite, Chenge, Mwakyembe, Lipumba....) awashauri kuwa je wanataka majina yao yawe na kikomo au yaendelee baada ya kifo? kama wanataka basi watuache tutete haki zotu kwani watapungukiwa na nini?
[emoji120] [emoji120] [emoji120] kwa jina LA yesu tutashinda1 Utokapo kwenda vitani kupigana na adui zako, na kuona farasi, na magari, na watu wengi kuliko wewe, usiwaogope; kwa kuwa Bwana Mungu wako, yu pamoja nawe, aliyekukweza kutoka nchi ya Misri.