Hukumu Kesi ya Kikatiba ya Jamii Media: Mahakama yakiri Sheria Makosa ya Mitandao inahitaji kanuni

Hukumu Kesi ya Kikatiba ya Jamii Media: Mahakama yakiri Sheria Makosa ya Mitandao inahitaji kanuni

Kwa maagizo ya watukufu uchwara kama kina daudi na genge lake si ajabu kusikia jf imeshindwa ili mabwana wa daudi wafurahi.
 
Hawa miungu watu wanasahau kuwa baada ya kufa jina linaendelea kuishi mfano; Ibrahim,Joseph, David, Nuhu, Samson, .....bila kumsahau Mwangosi, Lisu, Lema, Max Melo ....... kwa upande wa pili majini kama; Caini, pilato, Saul, Farao...idi amini. nafikiri ukiitwa hayo majina hata kutongoza utapata shidaaa bila kusahau huduma za jamii. Namuomba mshauri wa hawa Wagalatia (Makomeo, Bashite, Chenge, Mwakyembe, Lipumba....) awashauri kuwa je wanataka majina yao yawe na kikomo au yaendelee baada ya kifo? kama wanataka basi watuache tutete haki zotu kwani watapungukiwa na nini?
 
Hawa miungu watu wanasahau kuwa baada ya kufa jina linaendelea kuishi mfano; Ibrahim,Joseph, David, Nuhu, Samson, .....bila kumsahau Mwangosi, Lisu, Lema, Max Melo ....... kwa upande wa pili majini kama; Caini, pilato, Saul, Farao...idi amini. nafikiri ukiitwa hayo majina hata kutongoza utapata shidaaa bila kusahau huduma za jamii. Namuomba mshauri wa hawa Wagalatia (Makomeo, Bashite, Chenge, Mwakyembe, Lipumba....) awashauri kuwa je wanataka majina yao yawe na kikomo au yaendelee baada ya kifo? kama wanataka basi watuache tutete haki zotu kwani watapungukiwa na nini?
... Osama Bin Laden 😉😉😉
 
Ahsante mkubwa!!!! Huyu MTU ikifika sehemu yoyote ukasema kuwa alikuwa rafiki yako utakuwa ndio mwisho wako. mwingine ni Hitler Wa ujerumani.

Sent from my V700+ using JamiiForums mobile app
 
Eeeh mwenyezi Mungu tusimamie ili uhuru wetu wa mawazo usivurugwe maana ukivurugwa tu hizi avatar zitatobolewa sura zetu zitaonekana na hakutakuwa na kutililika bila hofu ya bando kukata tena.
 
1 Utokapo kwenda vitani kupigana na adui zako, na kuona farasi, na magari, na watu wengi kuliko wewe, usiwaogope; kwa kuwa Bwana Mungu wako, yu pamoja nawe, aliyekukweza kutoka nchi ya Misri.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] kwa jina LA yesu tutashinda
 
Mwisho wa siku mahakama imesemaje? Ee Mungu endelea kuwafungua ufaham waamuzi wa haki ili kila uovu unaotupiwa kwao wajitenge nao na kutoa haki stahiki kwa kila raia wa nchi hii, AMEN.
 
Back
Top Bottom