Hukumu Kesi ya Ponda, ahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja nje

Status
Not open for further replies.

Yani mnashusha hadhi ya Majaji kiasi hiki? kesi ya mpumbavu kama Ponda ipangiwe Jaji wakati Mahakimu wapo? hivi wewe Great Thinker gani usiyejuwa kwamba Majaji wanapatikana Mahakama kuu na Mahakama ya Rufaa peke yake? Mahakama za chini zina Mahakimu tu.
 
Je unajuwa kuwa kuna mahakama huko Tanzania zinazoshughulikia masuala ya ardhi? Je mahakama ya kisutu ndio yene dhamana hiyo?

usikurupuke katika hili hebu pitia hati ya mashitaka uone ameshitakiwi kwa lipi?

Pole sana
kwa hiyo Barubaru unadhani mpaka sasa hata kabla mahakama haijatoa hukumu,je! imefuata sheria au haijafuata? kama haijafuata; ni sheria gani iliyovunjwa? je! hiyo sheria iliyo vunjwa unadhani ni kwa nini imevunjwa? je! wewe unaamini kwamba mahakama ndicho chombo sahihi cha kutoa hukumu? kama huamini; unadhani ni chombo gani ambacho kinaweza kuwa sahihi zaidi katika kutoa hukumu za haki? watu kukwepa kujibu mambo haya ndiko kunakoleta shida za kitafsiri.
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo ili udai haki lazima uwe na hati?, kwa hiyo mtu asiekuwa na kazi ni haki kumbabikizia kesi ili akose mdhamana...hivi unatumia akili kweli kufikilia!?

Sijui Kufikilia ni nini labda kama ulimaanisha kufikiria nikujibu. Pili acha kukurupukia post ambayo huelewi chanzo chake ni nini huyo niliyemjibu anaelewa tulikoanzia...tulia soma toka mwanzo utaelewa mantiki ya hoja yangu.
 
daa!!!!! kuingia kisutu nao ni mpekenyuo wa hatari, utadhani unaingia ikulu flani hivi.:whoo:
 
mifano yako ni dhaifu sana mkuu
 
hawa magaidi ni kuwapiga za maisha na bado yule Ilunga
 
Je unajuwa kuwa kuna mahakama huko Tanzania zinazoshughulikia masuala ya ardhi? Je mahakama ya kisutu ndio yene dhamana hiyo?

usikurupuke katika hili hebu pitia hati ya mashitaka uone ameshitakiwi kwa lipi?

Pole sana

Mkurupukaji wewe, mahakama za ardhi hazihusiki na jinai...ile ni jinai...uvamizi na uporaji....Pole wewe usiyejuwa hilo.
 
Lema Kesi ya Uchochezi alipewa dhamana,mbona Ponda hapewi kesi hiyo hiyo?Huu ni uonevu na double standard
Mkuu juzi nilikua kwenye mkutano wa Lema ngarenaro Arusha, Lema aliwaambia watu wa arusha wasije wakaingia kwenye mkumbo wa kushangilia Sheikh Ponda kunyimwa dhamana, Lema alizidi kusema kuwa makosa yanayopaswa kushitakiwa nayo Sheikh Ponda ni bailable offence na he has rights as suspect na sio kama jeshi la polisi linavyom-treat.
So nakubaliana na wewe mkuu kabisa huu ni uonevu kama Lema alivyosema pia.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hukumu ifuate misingi ya Haki ila kwa sababu najua hukumu haitoki bila memo sijaelewa kama serikali imesomaje upepo na memo inasemaje?
 

sumu imekuathiri mpaka kwenye ubongo wako! Kwaio tumsamehee?? Alikua wap kuhamia chadema??angetetewa na mawakili nguli kama tundu lissu na mabere malando! Yeye c yuko cuf? Aya mwache anyeshewe mvua za kutosha mahakaman, na aya ndo madhara ya common law wa2 wa nje ya mahakama wanakua na nguvu sana! Kunywa maziwa wewe urudi ktk hali yako!
 

Hivi huyu hakuhusika kuchoma makanisa Mbagala huyu?
 
mahakama za bongo homa za vipindi tu......hazina muendelezo wa kutoamaamuzi mazuri........kwa mfano kwenye ishu ya dhamana nchi za watu hadi watuhumiwa wa mauaji wanaachiwa huru itakuwa kuvamia kiwanja.......kilichopo hapo ni Ponda vs Bakwata + serikali....... sijui
 
Sijui Kufikilia ni nini labda kama ulimaanisha kufikiria nikujibu. Pili acha kukurupukia post ambayo huelewi chanzo chake ni nini huyo niliyemjibu anaelewa tulikoanzia...tulia soma toka mwanzo utaelewa mantiki ya hoja yangu.
Kadiri muda unavyokwenda ndiyo ambavyo heshima yako inazidi kupungua Mkirua, Jibu hoja badala ya kusingizia uandishi, matamshi na post zilizopita... Crushwise amekuuliza swali la msingi kuwa kukosa Hati ndo imemsababishia Ponda kufunguliwa kesi ya ugaidi na kukosa dhamana? Mkuu Barubaru anakuuliza toka lini mahakama ya kisutu ikahusika na migogoro ya ardhi?...

Hii Provocations za kuwataka Waislam wahamanike kisha mpate kisingizio cha kuwaita magaidi hazitafanikiwa Mkuu... Waislam wanasubra kubwa sana, wamevumilia kabla na baada ya uhuru, wameonewa sana, wamenyanyaswa sana, wamefanywa wakimbizi katika nchi yao, mufti amewahi kutimuliwa usiku wa manane!, Waislam wamenyimwa ajira, waislam wamekoseshwa elimu, waislam wamenyimwa fursa za kimaendeleo katika mikoa walioko kwa wingi wao LAKINI waislam ndo hao hao walioleta uhuru wa nchi hii, waislam ndo hao hao waliomlisha Baba wa Taifa na Familia yake...Waislam hao hao ndo wanaongoza kwa kulipa kodi hapa Tanzania! Tunashuhudia mashirika ya upande wa pili yanavyo kwepa kodi na mengine yanaingia mikataba ya kishenzi... Haya yote huwezi kuona kwakuwa Upogo wa udini umekujaa kupitiliza mkuu...
Kaa chini sikiliza hoja za waislam, hapana shaka utagundua kuwa hoja zinamshiko kwa maslahi na ustawi wa Watanzania wote tofauti kabisa na mashinikizo ya WB, IMF na MNC's zinazoendesha shughuli zake hapa Tanzania kwa mgongo wa Kanisa...
 
Updates plz sio malumbano yasokuwa na mana!!
 
Aksante kwa kuthibitisha kuwa huna majibu, after all wewe unamchango gani katika hiyo server?
Nilidhani ni upogo wa dini umekutawala kumbe hata shule nayo inasumbua? can't you read between the lines...majibu gani unataka? kwamba mlinzi wa nondo alikuwa sheikh Ponda? Nani ana uwezo wa kuthibitisha kuwa ni kweli mliweka nondo kwenye kiwanja cha Waislam? wewe unaviwanja vingapi ambavyo havina hati? Ukiambiwa kuwa hiki kiwanja ni cha kanisa the mmiliki anakuwa ni Padri ama waumini wa hilo kanisa?... nijibu kwanza hayo machache kisha tuendelee Mkirua...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…