Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Leo ndio tarehe iliyopangwa kusikilizwa kwa kesi ya katibu wa Jumuiya na mihadhara ya kiislam sheikh Issa Ponda baada ya kuhairishwa kwa jaji kutofika mahakamani.
Swali la msingi kama wafuasi wake wamefungwa miaka kadhaa jela je huyu kiongozi atasalimika?
Updates:
Ulinzi imeimalishwa mtaa wote naona askari kanzu ndio wengi na wale wa FFU kama vile wanaenda vitani
Yani mnashusha hadhi ya Majaji kiasi hiki? kesi ya mpumbavu kama Ponda ipangiwe Jaji wakati Mahakimu wapo? hivi wewe Great Thinker gani usiyejuwa kwamba Majaji wanapatikana Mahakama kuu na Mahakama ya Rufaa peke yake? Mahakama za chini zina Mahakimu tu.