Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyo kijana si tu amemkashifu mh raisi, bali pia ametukana na kudhalilisha wanawake wote, alistahili hicho kifungo.Unataka mpaka kuwe na name calling ndio uone kosa?
Hapo ipo wazi alikuwa akimwongelea mh rais Mia!!!
Kuwa mkweli bwana.
Hyo katiba mpya ndiyo ya kuruhusu matusi? Mna udumavu wa akiliNyie ccm kila siku tunawaambia tuwe na katiba mpya na kutunga sheria zenye kufanya nchi iwe na utawala bora mnaishia kuimba sifa hapa jukwaani.
Sasa sheria za kinyemela na upumbavu wenu unapowarudia mnakuja kuomba wale mliokuwa mnawadharau na kuwaita vibaraka wa mabeberu ndio waje kuwapigania.
Pambaneni na hali zenu shwain nyie mpaka akili za mabadiliko ziwaingie
Huyo kijana alikosea sana kutukana kwa kuweka kigezo cha jinsia, angemkshifu raisi kama raisi, yeye kamkashifu kwa sababu ni mwanamke, Ametukana mawazo ya kike na kukashifu kunyonyesha kana kwamba yeye hakunyonyeshwa..Huyo mama aliyetajwa ni mamako au mamake? Ktk wapumbavu nchi hii we nafikiri unaongoza. Na ma..mbu yako unakuja kuandika huu utopolo. Kama unampenda sana mfuate gerezani. Popoma kweli. Alitakiwa afungwe maisha, unamtukana Rais wa nchi hivyo? We una Mama kweli? Alikuleaje? Na ahasiwe kabisa huyo hatakiwi ht kuwa na uzao atatuzalia vitu vya ajabu km mleta uzi huu
Kama mhusika kakili kosa kisheria inekaaje?ki mtizamo ni sawa lakini,kwenye jicho la kisheria,hasa kwenye nchi ambazo mhimili wa mahakama upo huru,kuna ugumu sana wa kudhibitisha bila kuwepo na shaka yoyote...
Alipewa ukuu wa Wilaya Kama Asante kwa maneno hayo.Sidhani kama huyu alishapandishwa kizimbani, CCM wenyewe wako kimyaaaaa View attachment 2395644
Ukiona Karne ya 21 Rais anabishana na wananchi namna ya kuongea kwenye mikutano ujue mumekwisha yaani tupo 1965
Unataka mpaka kuwe na name calling ndio uone kosa?
Hapo ipo wazi alikuwa akimwongelea mh rais Mia!!!
Kuwa mkweli bwana.
Huyo kijana alikosea sana kutukana kwa kuweka kigezo cha jinsia, angemkshifu raisi kama raisi, yeye kamkashifu kwa sababu ni mwanamke, Ametukana mawazo ya kike na kukashifu kunyonyesha kana kwamba yeye hakunyonyeshwa..
Pumbavu sana, angeongezewa kifungo..
Tatizo hapo ni tusi ama aliyetukanwa. Wewe kusema mwenzako anaongoza kwa upumbavu, kaandika utopolo, popoma kweli, Siyo kutukana? Na wewe ufungwe maisha?Huyo mama aliyetajwa ni mamako au mamake? Ktk wapumbavu nchi hii we nafikiri unaongoza. Na ma..mbu yako unakuja kuandika huu utopolo. Kama unampenda sana mfuate gerezani. Popoma kweli. Alitakiwa afungwe maisha, unamtukana Rais wa nchi hivyo? We una Mama kweli? Alikuleaje? Na ahasiwe kabisa huyo hatakiwi ht kuwa na uzao atatuzalia vitu vya ajabu km mleta uzi huu
Hapo alipotumia jinsia ndio anapo ponea kama akikata rufaa....nchi hii ina wanawake wengi viongozi