Taifa lipi kasema,au kiongozi mwanamke ni mmoja tu duniani?.Amesema taifa limekuwa kama lina wanawake wote, kwa hiyo anamzungumzia kiongozi wa taifa.
Basi kaonewa tu, alikuwa anamaanisha mwanamke kiongozi wa Taifa la Sierra leone, siyo wa Tanzania.Taifa lipi kasema,au kiongozi mwanamke ni mmoja tu duniani?.
Nyie acheni kujidai mnaleta uselamavi, umy ndio kiongozi wa taifa? Walioshindwa kumtetea ni mawakili wasomi, unafikiri hawakuziona hizo arguments zenu za vijiweni? Au mnafikiri mahakamani ni kama ubishi wa Simba na Yanga?Wewe ndio unahisi hivyo na umetafsiri hivyo kwani taifa hili si lina Ummy mwalimu waziri wa afya? Si lina Ndalichako?
Plus mama yake. Mtu Wa hovyo sana huyu. Hivi inakuwaje mtu azaliwe na mama (wanamke), akatunzwa na kulelewa then akikua anaona mama hana maana. Kwamba yeye ndo mwenye akili na uwezo wa kuongoza kuliko aliyemzaa?Huyo kijana si tu amemkashifu mh raisi, bali pia ametukana na kudhalilisha wanawake wote, alistahili hicho kifungo.
Tatizo la mfumedume ukichanganya na ujinga inakuwa shida kubwa, nahisi huyu kijana ni wale wafuasi wa mwendazake waliolewa u uvccm.Plus mama yake. Mtu Wa hovyo sana huyu. Hivi inakuwaje mtu azaliwe na mama (wanamke), akatunzwa na kulelewa then akikua anaona mama hana maana. Kwamba yeye ndo mwenye akili na uwezo wa kuongoza kuliko aliyemzaa?
Kabisa! Yale majambazi yakiyokuwa yanapoteza watu wakisingizia wasiojulikana.Tatizo la mfumedume ukichanganya na ujinga inakuwa shida kubwa, nahisi huyu kijana ni wale wafuasi wa mwendazake waliolewa u uvccm.
Nimesoma hukumu nzima sijaona kosa lake zaidi ya uonevuHii Hapa nakala ya hukumu ,aliyofungwa Kada wa CCM Miaka 7 kwa kumkashfu SSH MTANDAONI SIMIYU
Na hakuna sehemu ametajwa ni uonevu wa kijinga tupuHili suala limekuzwa na chawa wanaotafuta u jaji na teuzi nyingine. Naiomba mahakama kupitia tena maamuzi yake na kumuachia mtuhumiwa huru...
Yep. Mfumo uwape 'sukuma gang' uhuru wa kutema nyongo zao mpaka ziishe.Na hakuna sehemu ametajwa ni uonevu wa kijinga tupu
Kwahiyo kafungwa miaka 3. Ni michache sana!Wanakulana wenyewee kwa wenyewee
Mtu wa kwanza kabisa hapa duniani kuitumia taaluma ya sheria vibaya kabisa kama ulivyofanya wewe hapa, alikuwa Kaini.Salaam Wakuu,
Tusaidiane kuangazia hii kesi, tupo huru kuongea sababu Hukumu imeshatoka.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Simiyu ilimhukumu kifungo cha miaka saba na faini ya Tsh 15 milioni, Levinus Kidanabi maarufu kama 'Chief Son's kwa makosa matatu ikiwamo kumkashifu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan. Hukumu iliyotolewa Oktoba 19, 2022 na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Matha Mahumbuga SIMIYU: Levinus Kidanabi Jela miaka saba na faini mil 15 kwa kumkashifu Rais Samia
Baada ya kuona Makosa yake, nikagundua hakuna hata sehemu moja alipomkashifu Rais Samia. Tujikite kwenye Makosa Mawili ya kumashifu Rais Samia.
Wakili wa Serikali Daniel Masambu na Mwendesha mashitaka wa Polisi Johndon Buhure Walidai Makosa hayo alitenda kwenye Group la WhatsApp la "Simiyu Breaking News".
Walidai Kosa la kwanza alilitenda 3/12/2021 kwamba aliandika:
"Mzazi mwenzao anawatetea Wazazi Wenzake, Mkiongozwa na Mwanamke Lazima mtafanywa kama wote mnanyonyesha; taifa limekuwa kama lina wanawake wote. Kila siku tunaongelea mambo ya kike kike"
Kosa la pili wanadai alilitenda 4/12/2021. Kwamba alitoa taarifa za Uongo:
"Mama yenu anakaribia kuugua ukichaa kitaalam tunaita anachokifanya hallucinations. Aka kamuungano tufungeni tumuombe Mungu kavunjwe ipo siku Hawa watu was kuvuka maji watatuingia kwenye Madeni madeni Makubwa maana Wanapenda starehe kuliko kazi"
Wakili wa Serikali Daniel Masambu alidai kuwa alikuwa akimkashifu Mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
View attachment 2395648
MASWALI YANGU:
1. Ni wapi Levinus Kidanabi kamtaja Mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan?
2. Mtu kusema Mama yenu inakuwa inamanisha Mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan?
3. Ni watu gani Wanavuka maji?
4. Je, Kumuomba Mungu aingilie kati kuvunja kitu ni kosa?
Hii kesi ikibidi Kibata au Jebra Kambole, achangiwe aende kumtetea huyu Mwana CCM. Natamani kuona Tanganyika Law Society TLS, Watetezi mko wapi?
View attachment 2395811
View attachment 2395638
Kafungwa miaka 7 na atalipa Mil 15
Hivi yule mwingine (Nyani Ngabu) alikuwa yuko Marekani anatukana viongozi wote wa Tanzania, siku hizi yuko wapi?Huyo mama aliyetajwa ni mamako au mamake? Ktk wapumbavu nchi hii we nafikiri unaongoza. Na ma..mbu yako unakuja kuandika huu utopolo. Kama unampenda sana mfuate gerezani.
Dopoma kweli. Alitakiwa afungwe maisha, unamtukana Rais wa nchi hivyo? We una Mama kweli? Alikuleaje? Na ahasiwe kabisa huyo hatakiwi ht kuwa na uzao atatuzalia vitu vya ajabu km mleta uzi huu