HUKUMU: Levinus Kidanabi, hajamkashifu Rais Samia, Kaonewa

Huyo pumbafu muache kwanza achezee kifir... huko magereza ndiyo akili imkae sawa. Anayesema hajatukana akumbuke hata yeye katukaniwa mama yake.

Siasa za matusi hazina nafasi. Nani kamuambia kuwa kwa vile ana mapu..mbu basi ndiyo ana akili kuliko mwanamke?
 
Wewe ndio unahisi hivyo na umetafsiri hivyo kwani taifa hili si lina Ummy mwalimu waziri wa afya? Si lina Ndalichako?
Nyie acheni kujidai mnaleta uselamavi, umy ndio kiongozi wa taifa? Walioshindwa kumtetea ni mawakili wasomi, unafikiri hawakuziona hizo arguments zenu za vijiweni? Au mnafikiri mahakamani ni kama ubishi wa Simba na Yanga?
 
Huyo kijana si tu amemkashifu mh raisi, bali pia ametukana na kudhalilisha wanawake wote, alistahili hicho kifungo.
Plus mama yake. Mtu Wa hovyo sana huyu. Hivi inakuwaje mtu azaliwe na mama (wanamke), akatunzwa na kulelewa then akikua anaona mama hana maana. Kwamba yeye ndo mwenye akili na uwezo wa kuongoza kuliko aliyemzaa?
 
Plus mama yake. Mtu Wa hovyo sana huyu. Hivi inakuwaje mtu azaliwe na mama (wanamke), akatunzwa na kulelewa then akikua anaona mama hana maana. Kwamba yeye ndo mwenye akili na uwezo wa kuongoza kuliko aliyemzaa?
Tatizo la mfumedume ukichanganya na ujinga inakuwa shida kubwa, nahisi huyu kijana ni wale wafuasi wa mwendazake waliolewa u uvccm.
 
Nataka kuuliza swali moja tu:

Kwa hiyo nikiweza ku establish alikuwa anamwongelea Rais kosa la kukashifu na hukumu ni sawa?
 
Hili suala limekuzwa na chawa wanaotafuta u jaji na teuzi nyingine.

Naiomba mahakama kupitia tena maamuzi yake na kumuachia mhukumiwa huru. The court and justice system is being abused by some few people for personal gain.

Sioni maneno ya mhukumiwa kama yamefikia threshold ya kuwa mashtaka.
Sisi wana siasa tuna ngozi ngumu ya kuvumilia maneno mabaya, makali na magumu yanayosemwa dhidi yetu. Pia tuna uwezo wa kujizuia kuleweshwa na sifa zinazotokana na utendaji wetu uliotukuka.

Maadam maza alishakiri mwenyewe kuwa yeye 'ana ngozi ngumu', sioni kama kuna haja ya kutekeleza hukumu hii kwa kuwa mama yetu mwenye ngozi ngumu 'is in no way to be affected' na maneno ya mchangia mada ambaye sasa ni mhukumiwa.

Pia nawaomba wote kujizuia ku express our negative emotion kwa kutumia maneno makali yanayoweza kuleta tafrani kwenye jamii.
 
Wanapokosea ni wanaomwita kiongozi wetu " Mama".

Yule Si mamaetu, Mamaetu ni Tanzania.

Pia Rais kama mtu ana jinsia,dini, na kabila.

Bt RAIS kama taasisi Hana jinsia, dini, kabila, Wala ukanda ni WA wote.

Kumuita kiongozi wetu Mama kunasababisha tumhurumie, tusimuhoji, Wala kumuwajibisha anapokosea, na mawaziri wengine wanatumia nafasi hiyo kutupiga halafu wanaenda kudeka.😠😠
 
Ninachoamin hii kesi sababu jamaa ni wa ccm ndo maana kina kibatala wameachaa akaangwe ila HAKUNA KESI HAPO.
 
Viongozi wa kiafrika mwiko kukosolewa
Kikubwa kuweni wapole, na kufata mnayo ambiwa

Ova
 
Unamfahamu mke wa Mr. Tundu A Lissu anayedai ni Rais mpokonywa? Yule mmama nwenye uso mwangavu na lugha ya staha katika familia hiyo, kizaa mapacha Kulwa na Doto? Imagine nikianza kumtukana kupitia kwa mume wake bila kumtaja jina, niseme tu hiyo lugha yake matusi yake lafudhi yake na maumbo yake. Then mwisho niseme ni Mshashi, kwani kuna Washashi wangapi hapa duniani - je, utafurahi? Na baada ya hapo nikuandame wewe na mtu maaroof kama Fatuma Karume, au Mwalimu Shule, au Zuchu, mathalani, je, utafurahi? Usilolipenda wewe usimfanyie mwenziyo.
 
Mtu wa kwanza kabisa hapa duniani kuitumia taaluma ya sheria vibaya kabisa kama ulivyofanya wewe hapa, alikuwa Kaini.

Kaini alimuua nduguye Habili na baada ya hapo Mungu alimwendea Kaini na kumuuliza "Yuko wapi Habili ndugu yako?" Kaini alimjibu Mungu kwa swali akisema "Sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu"

Kisheia jibu la Kaini kwa Mungu lilikuwa sahihi kabisa; ila kiuhalisia au kiubinadamu lilikuwa ni upumbavu wa kiwango cha juu sana.

Kwa hiyo tahadhari yangu kwako ni kwamba unatakiwa ujue kuwa ukibobea sana kwenye sheria ni lazima uutangulize ubinadamu kwanza! Analysis yako hapa kisheria iko perfect kabisa kwa 100%, ila kibinadamu ni 0%. Principle moja kubwa kabisa ya matumizi mazuri kabisa ya sheia ni kwamba mwanasheria yeyote yule katika mazingira yoyote yale, anatakiwa atangulize ubinadamu kwanza halafu sheria ndiyo ifuate, na siyo kutanguliza sheria kwanza huku ubinadamu ukiwa uko nyuma!
 
Hivi yule mwingine (Nyani Ngabu) alikuwa yuko Marekani anatukana viongozi wote wa Tanzania, siku hizi yuko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…