Vice J
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 530
- 766
Wamepata wanachostahiliUkatili walioufanya hao vijana unaujua? Mmojawapo ni kuwapasua wajawazito matumbo..!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamepata wanachostahiliUkatili walioufanya hao vijana unaujua? Mmojawapo ni kuwapasua wajawazito matumbo..!!!
Acha uzwazwa apo kwenye hilo kundi kuna watoto adi wa vigogo.....kuna wengine ndo first na last born kwa mama zao wapo kwenye hayo makundiEti wanasema "ninazaa mtoto. Kila mtoto anakuja na rizki yake"..
Pambaf kabisa. Low income kuzaa zaa hovyo, haya ndio matokeo yake..
Wewe ulijulishwa kuwa imetekelezwa kama nani? Ahahahahaha!!!We unadhani ikitekelezwa utajulishwa wewe kama nani
Hao vijana zaidi ya 200 tayari washakuwa
Ukibisha shauri yako
Viongozi wa nchi hii masnitch sana. Hadharani wanavunga watakatifu hawataki damu mikononi mwao hata mtu awe kastahili vipi kisheria.Tanzania hapa Kuna Marais eti wanaogopa Kusini sheria hiyo matokeo yake wanazidi kulea uovu.
Kweli DRC imefeli na imefelishwaKuluna DRC ni matokeo ya kufeli kwa mamlaka.
Hili ni tatizo kwa Africa yote, tunapenda Sana kudeal na tatizo na sio mzizi wa tatizo lenyewe.
Mbona hatusikii UAE, Kuwait, Qatar, UK, Uswisi, Germany, France, USA, Finland, Denmark, Norway nk vijana wakifanya haya matendo?
Hii adhabu ya kifo hapa kwetu inatekelezwa vizuri tuTanzania hapa Kuna Marais eti wanaogopa Kusini sheria hiyo matokeo yake wanazidi kulea uovu.
mwafrika unaandika huu useng3 unahis hao ICC wanaserve interest zko mtu wa chini ? wanahuku viongoz wasioserve interest zao , waafrika tuungane kutetea viongoz wanaojitoa kupambania wananchiAsubiri siku ICC wakimhitaji aende Kwa bashasha
Kweli DRC imefeli na imefelishwa
Lakini sio sababu ya uharifu
Uharifu uko nchi zote
Nigeria, Colombia, USA, South Africa, Italy n. K
Sasa wewe hoja yako Nini?Ni kweli uhalifu uko kila mahala, kwenye mfano wako ondoa nchi za kiAfrica ambako kuna tatizo lilelile la mamlaka kufeli na Taifa kiujumla kushindwa kutengeneza future na mazingira mazuri kwa watu wake kuishi.
Sijawahi kusikia USA vijana/vibaka mitaani wanaua na kukata kata watu mapanga hovyo hovyo au vibaka kuvamia watu majumbani hovyohovyo.
Uhalifu Italy upo lakini unaongelea mafia gang wanaofanya biashara za madawa,casinos, madanguro nk na wako sticky kwenye biashara zao.
Siku akibakwa Binti yako, mamako, mkeo na wahuni zaidi ya 30 utakuja hapa uwahumieHao walitakiwa kufungwa maisha gerezani,na wakiwa huko ndipo wangeuliwa kwa siri,sio huu unyama wa kutangaza hadharani kuwa tumeua ni makosa makubwa. Binadamu hata atende kosa gani hata aue lakini bado yeye ana haki ya kuishi. Hawa walitakiwa wahukumiwe jera maisha,kisha huko gerezani wawaue.
Sasa wewe hoja yako Nini?
USA huo uharifu upo
Tena Bora hata Congo
Hujasikia wahuni wanabaka, wanamimina risasi shuleni, super market n.k
Waulize waliofika USA wakusimulie
Typically, I don't argue with people of your Calibre..Acha uzwazwa apo kwenye hilo kundi kuna watoto adi wa vigogo.....kuna wengine ndo first na last born kwa mama zao wapo kwenye hayo makundi
Hivi mtu anakuja kwenye familia yako. Wewe baba haupo upo kwenye mishe, unarudi home unakuta wanao na mkeo wamebakwa kisha kukatwa katwa mapanga.Hukumu ya kifo imekaa kikatili sana,
Nikiona video namna walivyokuwa wanalia Kwa lililopo mbele yao ni huruma ni kweli ni vibaka lakini ni afadhali wangefungwa maisha
sitetei uharifu na uhuni wa hawa vijana huko DRC LAKINI adhabu ya kifo ishafutwa na badala yake kifungo maisha ni adhabu stahiki. Nchi itaona namna gani itawafanya hawa watu, ikiwa ni pamoja na kuwaua kwa siri.Siku akibakwa Binti yako, mamako, mkeo na wahuni zaidi ya 30 utakuja hapa uwahumie
Hao sio watu
Hakuna sababu ya msingi ya mtu kufanya uharifuHao vijana wa DRC ndio sehemu ya maisha yao na wengi ni maisha mabovu na kukosa uelekeo wa maisha ndio kunawapelekea kukosa option nakuwa vibaka wa hovyohovyo mitaani.
Hao wanaomiminia watu risasi USA ni mtu mmoja mmoja kwa sababu maalumu nk, na wengi sio suala la maisha na kukosa uelekeo wa maisha bali issue binafsi ambazo lawama lazima uzirudishe kwa mhusika na ujinga wake.
Hawa wa USA sio vibaka au watu waliokosa uelekeo wa maisha.
Huku Africa hawa vijana unakuta hata Kesho yao hawaijui, hawana makazi, umasikini uliotukuka nk. Matokeo wanajikuta hawana option wala matumaini yeyote.
Wahuni 200 hawawezi kuachwa watese mamilion ya watusitetei uharifu na uhuni wa hawa vijana huko DRC LAKINI adhabu ya kifo ishafutwa na badala yake kifungo maisha ni adhabu stahiki. Nchi itaona namna gani itawafanya hawa watu, ikiwa ni pamoja na kuwaua kwa siri.