Hukumu ya "Waliotumwa na Afande" kutolewa leo Jumatatu, Septemba 30, 2024

Za chini ya godoro zinasema wameshinda kesi.kesi imeamuliwa hawakutenda kosa.lakini inasemekana jaji alipigiwa simu japo hiyo simu haikujulikana ni ya nani
Wanaongezaaaa wabakaji na walawiti ngoja tusikie
 
Hakuna kesi pale. Wale jamaa walifikishwa mahakamani sababu ya shinikizo la halaiki lakini hakukua na dhamira ya kuwafungulia kesi.

Hukumu itatoka wahukumiwe kifungo maisha, watakata rufaa na watashinda.
 
Za chini ya godoro zinasema wameshinda kesi.kesi imeamuliwa hawakutenda kosa.lakini inasemekana jaji alipigiwa simu japo hiyo simu haikujulikana ni ya nani
Kwa case ile hakuna wa kufungwa, ndo maana hata case za RC zimeyeyuka km upepoo.
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
 
Naangaliataarifa ya habari kwa ufupi upendo TV wanassema ile kesi ya kubaka kabinti mpaka kuitaa naomba maji inaamuliwa leo

Wenye kutujuza .mtujuze nn kimeamuliwa huko..

Pole sana kabinti
Hukumu ni saa 8 mchana.
 
Ob
Obvious hii ngoma ishakua nyepes maana polita walipeleka ushahid lege lege Kwa makusud
 
Mimi siamini katika hili.naamini watu wanafungwa kama kuna ushahidi wa hili jambo basi tupe ili tuamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…