Hukumu zenye utata kama hii ya Askari Morogoro huwa zinasababishwa na nini?

Hukumu zenye utata kama hii ya Askari Morogoro huwa zinasababishwa na nini?

Kuna kesi ya askali magereza aliyekuwa na tuhuma za kubaka mtoto huko Morogoro.

Alipelekwa mahakamani na ikathibitika pasi na shaka kwamba alitenda kosa hilo na hakimu msomi akaitolea hukumu ile kifungo cha maisha jela. (Hiki ni kifungo cha kikatili ambacho lazima kusiwe na chembe ya mashaka ya ushahidi)

(Kama kulizingatiwa ushahidi basi ushahidi wake naimani ulikuwa active kwa muda huo kutokana na mazingira, vielelezo na hata vipimo vya matabibu)

Baada ya mtuhumiwa kukata rufaa hukumu ile;

Miezi sita baadae mahakama ya rufaa imekuja na hukumu nyingine ya kutengua hukumu na kumwachia huru mtuhumiwa baada ya kujiridhisha hakubaka.

(Kama kulizingatiwa ushahidi katika rufaa hii basi walitumia vielelezo vilivyopo ambavyo kutokana na muda mrefu kupita huenda vikawa na majibu tofauti na ya awali, kama ni damu inaweza kuwa imekauka, kama ni bikira inaweza ikawa imerudi maana kuna bikra za michongo kurudisha bikra, n.k)

Hivyo kwa maoni yangu bikira haifai kutumika kama kielelezo kwasababu kwanza inatengenezeka sikh hizi, pili ni hatari kwa mtuhumiwa kwasababu zinaweza tokea tuhuma za ubakaji kwa mbakwaji ambaye hana bikira, yamkini anakuwa kashatolewa na watu wengine kabla!

Je, wataalam hawaoni wanaweza mfunga mtu maisha kimakosa kwa kielelezo cha ubikira?

Je, katika kesi kama hizi mahakama ya awali hadi kumfunga mtu maisha huwa wanatumia ushahidi upi, na wanaokuja kubatilisha hukumu huwa wanatumia ushahidi gani?

Tunashukuru askali kaachiwa huru katika rufaa lakini watuhumiwa wangapi wamefungwa maisha?
Umeandika 'askali'. Basi story yako yote inapoteza mantiki na uzito. Ni utahira kushindwa kuandika vizuri kwa kiswahili, matamshi sio tatizo ila kuandika haivumiliki.
 
Kuna kesi ya askali magereza aliyekuwa na tuhuma za kubaka mtoto huko Morogoro.

Alipelekwa mahakamani na ikathibitika pasi na shaka kwamba alitenda kosa hilo na hakimu msomi akaitolea hukumu ile kifungo cha maisha jela. (Hiki ni kifungo cha kikatili ambacho lazima kusiwe na chembe ya mashaka ya ushahidi)

(Kama kulizingatiwa ushahidi basi ushahidi wake naimani ulikuwa active kwa muda huo kutokana na mazingira, vielelezo na hata vipimo vya matabibu)

Baada ya mtuhumiwa kukata rufaa hukumu ile;

Miezi sita baadae mahakama ya rufaa imekuja na hukumu nyingine ya kutengua hukumu na kumwachia huru mtuhumiwa baada ya kujiridhisha hakubaka.

(Kama kulizingatiwa ushahidi katika rufaa hii basi walitumia vielelezo vilivyopo ambavyo kutokana na muda mrefu kupita huenda vikawa na majibu tofauti na ya awali, kama ni damu inaweza kuwa imekauka, kama ni bikira inaweza ikawa imerudi maana kuna bikra za michongo kurudisha bikra, n.k)

Hivyo kwa maoni yangu bikira haifai kutumika kama kielelezo kwasababu kwanza inatengenezeka sikh hizi, pili ni hatari kwa mtuhumiwa kwasababu zinaweza tokea tuhuma za ubakaji kwa mbakwaji ambaye hana bikira, yamkini anakuwa kashatolewa na watu wengine kabla!

Je, wataalam hawaoni wanaweza mfunga mtu maisha kimakosa kwa kielelezo cha ubikira?

Je, katika kesi kama hizi mahakama ya awali hadi kumfunga mtu maisha huwa wanatumia ushahidi upi, na wanaokuja kubatilisha hukumu huwa wanatumia ushahidi gani?

Tunashukuru askali kaachiwa huru katika rufaa lakini watuhumiwa wangapi wamefungwa maisha?
Moja ya shida ya Nchi hii, ni kila mtu ni mjuaji wa kila jambo. Si ajabu kukuta kijana mwenye Bachelor yake ya vitunguu swaumu ana mchallenge prof wa Sheria na watu wanamuunga mkono, si ajabu viongozi wengi wanaofanikiwa kufika ngazi za juu ni vilaza.
On huyu jamaa, ona alichoandika, ni wazi hata hajui hiyo Mahakama ya rufaa inafanyaje kazi, lakini tayari hapa analalamika. Poor Tanzania
 
Kuna kesi ya askali magereza aliyekuwa na tuhuma za kubaka mtoto huko Morogoro.

Alipelekwa mahakamani na ikathibitika pasi na shaka kwamba alitenda kosa hilo na hakimu msomi akaitolea hukumu ile kifungo cha maisha jela. (Hiki ni kifungo cha kikatili ambacho lazima kusiwe na chembe ya mashaka ya ushahidi)

(Kama kulizingatiwa ushahidi basi ushahidi wake naimani ulikuwa active kwa muda huo kutokana na mazingira, vielelezo na hata vipimo vya matabibu)

Baada ya mtuhumiwa kukata rufaa hukumu ile;

Miezi sita baadae mahakama ya rufaa imekuja na hukumu nyingine ya kutengua hukumu na kumwachia huru mtuhumiwa baada ya kujiridhisha hakubaka.

(Kama kulizingatiwa ushahidi katika rufaa hii basi walitumia vielelezo vilivyopo ambavyo kutokana na muda mrefu kupita huenda vikawa na majibu tofauti na ya awali, kama ni damu inaweza kuwa imekauka, kama ni bikira inaweza ikawa imerudi maana kuna bikra za michongo kurudisha bikra, n.k)

Hivyo kwa maoni yangu bikira haifai kutumika kama kielelezo kwasababu kwanza inatengenezeka sikh hizi, pili ni hatari kwa mtuhumiwa kwasababu zinaweza tokea tuhuma za ubakaji kwa mbakwaji ambaye hana bikira, yamkini anakuwa kashatolewa na watu wengine kabla!

Je, wataalam hawaoni wanaweza mfunga mtu maisha kimakosa kwa kielelezo cha ubikira?

Je, katika kesi kama hizi mahakama ya awali hadi kumfunga mtu maisha huwa wanatumia ushahidi upi, na wanaokuja kubatilisha hukumu huwa wanatumia ushahidi gani?

Tunashukuru askali kaachiwa huru katika rufaa lakini watuhumiwa wangapi wamefungwa maisha?
Ushahidi pekee unaoweza kumtia mtu hatiani, ni

1.) ushuhuda wa mtu kukuona kwa macho ukifanya ubakaji

2.) ushahidi wa CCTV ukionyesha unafanya ubakaji

3.) Kukutwa live kwa kufumaniwa ukifanya ubakaji

4.) Kipimo cha DNA kionyesha mbegu zilizomo ni za kwako
 
Mkuu mtoa hoja ,President Trump alipotamka kuwa tunaishi in a shithole country hakututukana,ndio ukweli wenyewe!,wenzetu wanajielewa wana kitu kinaitwa rape evidence kit,hii ilitakuwa vituo vyote vya police viwe navyo na kila kituo kiwe na desk maalum la kukusanya ushahidi wa cases za namna hii, hatuna hizi kits matokeo yake tunahukumu suspects kimihemko na status ya suspect
 
Ushahidi pekee unaoweza kumtia mtu hatiani, ni

1.) ushuhuda wa mtu kukuona kwa macho ukifanya ubakaji

2.) ushahidi wa CCTV ukionyesha unafanya ubakaji

3.) Kukutwa live kwa kufumaniwa ukifanya ubakaji

4.) Kipimo cha DNA kionyesha mbegu zilizomo ni za kwako
Huu ni utupolo mkubwa,na inaonyesha ni jinsi gani middle class wana uwezo gani wa kufikiri, bila ya kuwa na raping evidence collection kit ni shida
 
Ushahidi pekee unaoweza kumtia mtu hatiani, ni

1.) ushuhuda wa mtu kukuona kwa macho ukifanya ubakaji

2.) ushahidi wa CCTV ukionyesha unafanya ubakaji

3.) Kukutwa live kwa kufumaniwa ukifanya ubakaji

4.) Kipimo cha DNA kionyesha mbegu zilizomo ni za kwako
Naomba tofauti ya 1 na 3 please
 
Sheria yetu inasema hivi.... hata kuingiza kichwa tu ni kubaka!

1675325689998.png
 
Kuna kesi ya askali magereza aliyekuwa na tuhuma za kubaka mtoto huko Morogoro.

Alipelekwa mahakamani na ikathibitika pasi na shaka kwamba alitenda kosa hilo na hakimu msomi akaitolea hukumu ile kifungo cha maisha jela. (Hiki ni kifungo cha kikatili ambacho lazima kusiwe na chembe ya mashaka ya ushahidi)

(Kama kulizingatiwa ushahidi basi ushahidi wake naimani ulikuwa active kwa muda huo kutokana na mazingira, vielelezo na hata vipimo vya matabibu)

Baada ya mtuhumiwa kukata rufaa hukumu ile;

Miezi sita baadae mahakama ya rufaa imekuja na hukumu nyingine ya kutengua hukumu na kumwachia huru mtuhumiwa baada ya kujiridhisha hakubaka.

(Kama kulizingatiwa ushahidi katika rufaa hii basi walitumia vielelezo vilivyopo ambavyo kutokana na muda mrefu kupita huenda vikawa na majibu tofauti na ya awali, kama ni damu inaweza kuwa imekauka, kama ni bikira inaweza ikawa imerudi maana kuna bikra za michongo kurudisha bikra, n.k)

Hivyo kwa maoni yangu bikira haifai kutumika kama kielelezo kwasababu kwanza inatengenezeka sikh hizi, pili ni hatari kwa mtuhumiwa kwasababu zinaweza tokea tuhuma za ubakaji kwa mbakwaji ambaye hana bikira, yamkini anakuwa kashatolewa na watu wengine kabla!

Je, wataalam hawaoni wanaweza mfunga mtu maisha kimakosa kwa kielelezo cha ubikira?

Je, katika kesi kama hizi mahakama ya awali hadi kumfunga mtu maisha huwa wanatumia ushahidi upi, na wanaokuja kubatilisha hukumu huwa wanatumia ushahidi gani?

Tunashukuru askali kaachiwa huru katika rufaa lakini watuhumiwa wangapi wamefungwa maisha?
Masuala ya kisheria yana uwanja mpana kuliko unavyodhania.

Kukata rufaa na kutemwa haimaanishi mtuhumiwa hakutenda kosa.

Suala la kuachiliwa huru laweza kutokea kutokana na uzembe wa waandika mashitaka kuadika mashitaka kizembe zembe wakiacha vifungu muhimu nk nk.

Rufaa hufuatilia kipengele kwa kipengele kuanzia ukamataji hadi hukumu kama procedure ilifuatwa.

Dosari yoyote katika mfumo mzima wa mashitaka waweza kumwachilia huru mhalifu.

Lawama hapo ni kuzipeleka kwenye sheria zetu zenye utata, kuwa na matundu mengi ambayo wajanja hutumia kulikwepa rungu la adhabu na kupoteza haki za watu.
 
Ngja nikusanue, Kesi nyingi za ubakaji huwa na makosa mengi sana ya kisheria kutokana na matukio jinsi yalivyo..Hali hii hupelekea mahakama za chini kufanya maamuzi under pressure kutokana na mobb psyhology ya jamii husika...hivyo kutenguliwa baadayee inakuwa rahisi. Kesi nyingi sana za ubakaji kuchomoka katika mahakama za wilays ni ngumu sana. Mf mwalimu katuhumiwa kubaka Kesi dizain hii inavuta hisia kubwa, ghafla, mwl anaachiwa usalama wa mwl na Hakimu unakuwa mdogo.. hivyo solution ni rufaa...
Nimekuelewa
 
Umeandika 'askali'. Basi story yako yote inapoteza mantiki na uzito. Ni utahira kushindwa kuandika vizuri kwa kiswahili, matamshi sio tatizo ila kuandika haivumiliki.
Tatizo ni ujinga kuamini kila mtu anajua kiswahili! Mi sikijui kiswahili bro!
Usifikili wote tulisoma kiswahili! Wahindi kibao kariakoo wanafanya biashara kwa kiswahili hikohiko kibovu!
Unataka watu wote tuwe kama wafanyakazi wa BAKITA
 
Sijaongelea report ya Dr, nimeongelea definition ya kubaka. Kwa mfano mtu akagusisha uume wake juu ya uke wa mwanamke bila kumuingilia kabisa, je atakuwa amebaka?
Ndo hapo sasa
 
Kabaka MTOTO!
Anaachiwa kwa sababu zipi huyo alipaswa akatwe uume wake na aendelee kutumikia taifa akiwa jela
 
Naomba tofauti ya 1 na 3 please
Hiyo 1 inaweza ikawa ni rafiki yako aliyekuwa amekusaidia kumleta huyo mhanga wa kubakwa, pengine hakutegemea ubake, ila nae akaogopankusema akabaki amekaa anakuangalia tu unavyobaka. Hiyo ya 3 ni mtoto umefumwa nae na wazazi au ndugu, hata kama huyo mtoto alikubali, bado ukifumwa ni ubakakaji
 
Awali walipomfunga mtuhumiwa walipima vipimo gani! Na je hiyo bikira ya sasa ni original?
Nafikiri hukumu kama hizo zinatakiwa abebe hakimu wa mwanzo. Apewe hiyo miaka kwa ujinga alioufanya mwanzo. Sheria zinafilishwe
 
Back
Top Bottom