- Thread starter
- #41
Wanadai kuwa yeye huwa anatafsiri kilicholetwa mahakamani na kuhukumu endapo upande wa pili utashindwa kujibu hojaZibadilishwe zisilinde ujuha. Itofautishe professional liability na ujinga binafsi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanadai kuwa yeye huwa anatafsiri kilicholetwa mahakamani na kuhukumu endapo upande wa pili utashindwa kujibu hojaZibadilishwe zisilinde ujuha. Itofautishe professional liability na ujinga binafsi
Hili nalizingatia sana sana tena sana. Sitakagi ukaribu wowote na vitoto.Kaa mbalina watoto na mabinti usio na nasaba nao
Hata lift usitoeHili nalizingatia sana sana tena sana. Sitakagi ukaribu wowote na vitoto.
Kweny kipikpik changu watoto no. Awe wa kiume au wa kike, wa chekechea au sekondari. Nayapenda makurubembe. Hayanaga kesi hayo.Hata lift usitoe
JamanKweny kipikpik changu watoto no. Awe wa kiume au wa kike, wa chekechea au sekondari. Nayapenda makurubembe. Hayanaga kesi hayo.
'Usifikili.' hakuna mtu ata kuchulia serious. Tuliza munkari, anza kujipa mazoezi ya ra re ri ro ruuu, rudia tena, kwa wiki mbili, tatizo linaisha. Ni aibu.Tatizo ni ujinga kuamini kila mtu anajua kiswahili! Mi sikijui kiswahili bro!
Usifikili wote tulisoma kiswahili! Wahindi kibao kariakoo wanafanya biashara kwa kiswahili hikohiko kibovu!
Unataka watu wote tuwe kama wafanyakazi wa BAKITA
Asante kwa ushauri! Walimu wa viswahili ndivyo mlivyo! Mna gubu kama lote! Ndiyo maana hamuendelei!'Usifikili.' hakuna mtu ata kuchulia serious. Tuliza munkari, anza kujipa mazoezi ya ra re ri ro ruuu, rudia tena, kwa wiki mbili, tatizo linaisha. Ni aibu.
Sasa wewe kiswahili hujui, kingereza chali. Shida unazo wewe.Asante kwa ushauri! Walimu wa viswahili ndivyo mlivyo! Mna gubu kama lote! Ndiyo maana hamuendelei!
Wengi mnamalapa mabovu, maisha mabovu, ujuaji mwingi mfukoni hamna kitu,
Haiwezekani watu wote tukaijua lugha kama walimu!
Wazungu kibao hawajui lugha, wachina kibao hawajui lugha, wahindi n. Na wanamarndeleo makubwa!
Wewe na lugha yako inakusaidia nini! Hujawahi hata kuandika hoja humu kazi kukosoa!
Mahakama za mwanzo ni za hovyo saana mkuu...ni rahisi kuhonga sana hapo...nikiwa na kesi sitarajii kupata haki mahakama za mwanzo...nadhani pia mahakimu wake huwa sio wabobevu sana kwenye sheria za aina mbali mbali. Inawezekanaje watu waliokaa darasani kwa muda unaofanana wakasoma kitu kile kile na wakafanyia mazoezi halafu waje wahukumu tofauti kiasi hicho? Hapo Kuna mlungula boss.Kuna kesi ya askari magereza aliyekuwa na tuhuma za kubaka mtoto huko Morogoro.
Alipelekwa mahakamani na ikathibitika pasi na shaka kwamba alitenda kosa hilo na hakimu msomi akaitolea hukumu ile kutumikia kifungo cha maisha jela. Hiki ni kifungo cha kikatili ambacho lazima kusiwe na chembe ya mashaka ya ushahidi.
.Kama kulizingatiwa ushahidi basi ushahidi wake naimani ulikuwa active kwa muda huo kutokana na mazingira, vielelezo na hata vipimo vya matabibu.
Baada ya mtuhumiwa kukata rufaa hukumu ile;
Miezi sita baadae mahakama ya rufaa imekuja na hukumu nyingine ya kutengua hukumu na kumwachia huru mtuhumiwa baada ya kujiridhisha hakubaka.
Kama kulizingatiwa ushahidi katika rufaa hii basi walitumia vielelezo vilivyopo ambavyo kutokana na muda mrefu kupita huenda vikawa na majibu tofauti na ya awali, kama ni damu inaweza kuwa imekauka, kama ni bikira inaweza ikawa imerudi maana kuna bikra za michongo kurudisha bikra, n.k.
Hivyo kwa maoni yangu bikira haifai kutumika kama kielelezo kwasababu kwanza inatengenezeka siku hizi, pili ni hatari kwa mtuhumiwa kwasababu zinaweza tokea tuhuma za ubakaji kwa mbakwaji ambaye hana bikira, yamkini anakuwa kashatolewa na watu wengine kabla!
Je, wataalam hawaoni wanaweza mfunga mtu maisha kimakosa kwa kielelezo cha ubikira?
Je, katika kesi kama hizi mahakama ya awali hadi kumfunga mtu maisha huwa wanatumia ushahidi upi, na wanaokuja kubatilisha hukumu huwa wanatumia ushahidi gani?
Tunashukuru askari kaachiwa huru katika rufaa lakini watuhumiwa wangapi wamefungwa maisha kwa style yake?
Mimi najua kichina mbona wewe hujui! 一只大猫Sasa wewe kiswahili hujui, kingereza chali. Shida unazo wewe.
Kazi kwelikweliUkubali hapo ni rushwa na uchawi tu.
Usijipige kifua kuhalalisha ubakaji wa watoto. Siku wambake mtoto wako uone how it reacts.
Mpaka kufikia kifungo cha maisha ushahidi ulikuwepo wa kutosha.
Au tuseme walifikia makubaliano na wazazi alipe tu .
Hivi mtaalam wa kazi yake pale anapo jikosesha kazi yake kwa kutofuata sheria kwa makusudi,alafu upande wa pili unakata rufaa kwa kutumia hayo mapungufu kwa makusudi kabisa ya kunyanganya haki za watu, mi huwa naona huo unakua ni mpango.wa watu wabaya!!Nafikiri hukumu kama hizo zinatakiwa abebe hakimu wa mwanzo. Apewe hiyo miaka kwa ujinga alioufanya mwanzo. Sheria zinafilishwe