Ni Mwathirika wa mawazo ya kikomunistNi maslahi gani ambayo Denmark (walioisaidia Tanzania tangu uhuru) wamebanwa kuyapata hadi waamue kufunga ubalozi? Kwamba nchi nyingine zote ambako hawajafunga balozi zao hawajabaniwa kupata maslahi kama walivyobanwa Tanzania? Huyu jamaa na stori zake za kijinga anakera sana!
Kwanini wanachama wenzie wageuke maadui zake?Mama akija kushituka, itakuwa imekula kwake.
Mama anaaminishwa Mbowe na CHADEMA ndio maaduii wake, kumbe maadui wake wamo humo humo katika chama chake na serikali yake.
Udikteta upi Tena? Si tulikubaliana dikteta ameshakufa kwa corona na Sasa anaoza huko Chato?Eti baada ya kubanwaaa, hao wapo mjini kitambo tangu mwalimu.udikteta ndio umewakimbiza
Pole Mkuu, usiolewe ase..Ungemjuwa wakati hana chama, enzi za katiba ya Warioba, angekuowa kabisa, nilimzimia sana sana, yaani nikisikia sauti ya Pole naacha shughuli zangu namsikiliza, alipotamka rasmi yeye CCM, dah, kwenye ile ya katiba mpya alobakia nnayemwamini ni Warioba tu aisee!
Nimesikiliza mpaka mwisho,sijaona alipoelezea sababu za nchi moja kufunga ubalozi wake,nafikiri hiyo ni majumuisho ya mleta Uzi,zaidi ameelezea kuhusu mifumo ya uporaji wa rasilimali za afrika,na umuhimu wa TZ na DRC katika uchumi na jamii duniani.Pole pole ameelezea jinsi mabeberu wanavyojaribu kutudhoofisha lakini ameweka wazi sababu za nchi moja kufunga ubalozi na kusema ni Mambo ya KIUCHUMI kwani baada ya serikali hiyo kubanwa kupata maslai wameamua kuondoka, msikilize hapa akiongelea uzalendo wa Hali ya juu
Siwezi kumsikiliza mtu huyu hata kidogo!Pole pole ameelezea jinsi mabeberu wanavyojaribu kutudhoofisha lakini ameweka wazi sababu za nchi moja kufunga ubalozi na kusema ni Mambo ya KIUCHUMI kwani baada ya serikali hiyo kubanwa kupata maslai wameamua kuondoka, msikilize hapa akiongelea uzalendo wa Hali ya juu
Mkuu 'Salary', acha kuwastua. Ingependeza zaidi ungechochea kuni ili moto uzidi kukorea!Mama akija kushituka, itakuwa imekula kwake.
Mama anaaminishwa Mbowe na CHADEMA ndio maaduii wake, kumbe maadui wake wamo humo humo katika chama chake na serikali yake.
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji817]Ni maslahi gani ambayo Denmark (walioisaidia Tanzania tangu uhuru) wamebanwa kuyapata hadi waamue kufunga ubalozi? Kwamba nchi nyingine zote ambako hawajafunga balozi zao hawajabaniwa kupata maslahi kama walivyobanwa Tanzania? Huyu jamaa na stori zake za kijinga anakera sana!
Keshanikosa amuowe nani!Pole Mkuu, usiolewe ase..
[emoji120][emoji120][emoji120]Denmark pamoja na nchi za Nordic zimefanya mengi hapa nchini kimaendeleo.
Na hazikuwahi kutawala nchi yoyote kama koloni.
Hivyo kuwaita mabeberu si tu ujinga wa kukosa elimu bali ukosefu wa hekima kiujumla.
Kuna siku za nyuma sana, kabla Bwana Pole pole hajafahamika, niliwahi kukutana nae mara kadhaa kwenye ofisi za Ubalozi wa Denmark. Nilijiuliza maswali mengi, sikupata majibu. Sasa ndio nimepata mwanga.Sijui kama ni memwelewa maana kuna maisha aliyokulia yalisaidiwa na hao anao waita mabeberu sasa sijui hapo anapambanuaje kwakweli
Huo muda wa kuangalia huo ujinga na unafiki wake tunapata wapi?Polepole katoa shule nzuri sana, narecommend watu kuangalia video yote
Kama naanza kukuelewa, kuna siku za nyuma sana, wakati Bwana Polepole hakuwa akifahamika niliwahi kugongana nad mara kadhaa kwenye ofisi za ubalozi wa DenmarkSijui kama ni memwelewa maana kuna maisha aliyokulia yalisaidiwa na hao anao waita mabeberu sasa sijui hapo anapambanuaje kwakweli
Wapumbavu hawa ndio walikuwa 'inner cycle' ya Magufuli. Ndiyo maana misamiati ya kipuuzi hii ya "mabeberu" ilishamiri sana wakati huo.Ni maslahi gani ambayo Denmark (walioisaidia Tanzania tangu uhuru) wamebanwa kuyapata hadi waamue kufunga ubalozi? Kwamba nchi nyingine zote ambako hawajafunga balozi zao hawajabaniwa kupata maslahi kama walivyobanwa Tanzania? Huyu jamaa na stori zake za kijinga anakera sana!